Buyaka
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 1,781
- 2,079
Msamehe bure mkuu,si wote waliokwenda ng'ambo miaka hiyo walikuwa wana elimu ya kutosha,wengine walienda huko wakiwa na elimu ya darasa la saba au form four ile ya mikikimikiki na walipofika huko walianza moja kwa moja na "shit jobs".
Ni kweli kabisa.
Lakini si hao diaspora wa darasa la saba peke yake ambao ni useless kwa Taifa.
Hata wataalam ambao huwa wanaletwa nchini na kuingizwa kwenye kazi maalum kwa hati ya dharura, huwa hawasaidii chochote.
You want me to go down the laundry list?