Wasomi wengi wabeba boksi wanaikimbia Denmark

Wasomi wengi wabeba boksi wanaikimbia Denmark

[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
wana green card scheme yao ila ni complicated sana inahitaji uwe na masters hili uje. Wengi wanaokuja na hii scheme wanatoka sub-india continent ( India, Pakistan, Nepal na Bangladesh) na mapopo (West Africans) na ni highly professional kwenye it na physicians. Ila wakifika hapa tunafagia na kuosha nao vyombo mdeni eti akupe IT technician au udokta wee nani? Ila nawacheka sana wanafagia huku wanatukana "this is a shit job". Ni nchi yao bwana hawakukunyoshea mtutu uje.

Wanasema Indian Sub-Continent.

Sio sub-Indian continent. Na nchi tunazijua, usituwekee orodha, wewe hujui hata region inaitwaje.

Halafu sema inahitaji Masters ili uje." Sio "hili uje."

Kiswahili kuandika hujui, Kiingeeza hujui, utaacha kufanya "shit jobs"? By the way, wanasema shitty jobs, sio "shit jobs."

Diaspora hawa ndio tunaambiwa eti wakisomea nje wakija nyumbani wanapata ajira kirahisi. Wengine hata kuandika sentensi moja ya Kiswahili au Kiingereza hawawezi. Umekaa Ulaya miaka 10, 20 unasema continent Indian sub
 
Kuamua kujitosa majuu sio suala la kua na masters or degree, bongo elim yetu tunajua ukiwa na degree flan unakua flan no no majuu ni what u know hata km ni apprentice anaeza kukuzid $ na masters yako...manesi oyeee
 
Wanasema Indian Sub-Continent.

Sio sub-Indian continent. Na nchi tunazijua, usituwekee orodha, wewe hujui hata region inaitwaje.

Halafu sema inahitaji Masters ili uje." Sio "hili uje."

Kiswahili kuandika hujui, Kiingeeza hujui, utaacha kufanya "shit jobs"? By the way, wanasema shitty jobs, sio "shit jobs."

Diaspora hawa ndio tunaambiwa eti wakisomea nje wakija nyumbani wanapata ajira kirahisi. Wengine hata kuandika sentensi moja ya Kiswahili au Kiingereza hawawezi. Umekaa Ulaya miaka 10, 20 unasema continent Indian sub
Msamehe bure mkuu,si wote waliokwenda ng'ambo miaka hiyo walikuwa wana elimu ya kutosha,wengine walienda huko wakiwa na elimu ya darasa la saba au form four ile ya mikikimikiki na walipofika huko walianza moja kwa moja na "shit jobs".
 
Wanasema Indian Sub-Continent.

Sio sub-Indian continent. Na nchi tunazijua, usituwekee orodha, wewe hujui hata region inaitwaje.

Halafu sema inahitaji Masters ili uje." Sio "hili uje."

Kiswahili kuandika hujui, Kiingeeza hujui, utaacha kufanya "shit jobs"? By the way, wanasema shitty jobs, sio "shit jobs."

Diaspora hawa ndio tunaambiwa eti wakisomea nje wakija nyumbani wanapata ajira kirahisi. Wengine hata kuandika sentensi moja ya Kiswahili au Kiingereza hawawezi. Umekaa Ulaya miaka 10, 20 unasema continent Indian sub
Kama mtu hajui ndiyo anahukumiwa hivi. Jamaa kakosea mrekebishe kinidhamu tu.

Ila kama nyie mnafahamiana nje ya huu uzi na huwa mnavutana wacha nikae pembeni. Ila kukosea kupo na unamsahihisha mtu kawaida tu .
 
Pole sana, sisi tuko driving school tayari kuanza kusukuma noah, halafu kila ijumaa unaingiziwa mrahaba wamadini, siumesikia ngosha kasema winwin business yaani 50%/50%


za Ngosha changanya na zako
 
wages are very high so do the cost of living and a very very high taxation. Rent Copenhagen ni juu sana. There is no specific minimum wages ila Dishwashers na cleaners sanasana ni Danish krone 130-150 kwa saa. Mimi nafanya masaa 16 hawa wananilima 36% tax but it's worth it. Ila naishi mbali na jiji in a shared apartment
Mkuu, nina mpango wa kuja ulaya kimasomo karibuni, hivi nikiwa na visa ya masomo halafu muda wa kupumzika nikawa napiga kazi mtaani ibaruhusiwa? Au nikikamatwa natimuliwa!
 
Mkuu, nina mpango wa kuja ulaya kimasomo karibuni, hivi nikiwa na visa ya masomo halafu muda wa kupumzika nikawa napiga kazi mtaani ibaruhusiwa? Au nikikamatwa natimuliwa!
Na mm nataka nijue hii
 
50,0000tshs ×16 hours= 800, 000 tshs per day..

800,000 per day of 16 working hours×30 days= 24,000,000.

Sasa kwa mwezi unaingiza 24 milioni za bongo, kama mkurugenzi wa shirika la umma hapa bongo, tena kubwa la enzi la kikwete.

Sidhani gharama za kuishi wewe peke yako zitazidi 6,000,000 tshs. Kodi 8.4 Milioni. Net hapo ni kama milioni 8 kwa mwezi.

Kwa mpunga huo sikushauri uje bongo kaka, komaa maana hapo kamam una akili kwa miaka 5 utakuja na zaidi ya milioni 400.
 
Back
Top Bottom