Usishangae, Masters zenyewe unakuta zinaitwa sijui Diplomatic relation, International sijui nini, Economics .... Hizo unategemea Denmark upate kazi ipi inayoendana na hizi courses ambazo hazijielewi?
Watu wanaopiga masters za kueleweka mfano engineering hasa kwenye computer technology hawabebi maboksi, unakuta wameajiriwa kwenye kampuni au hata vyuoni wanapiga mzigo vizuri tu. Watu wawe wanachagua major vizuri sio kukurupuka tu. Hivi vi major vya mambo ya siasa hivi hupati kazi nchi za watu piga ua, siasa we mbongo ukafanyie nchi ya mtu mwingine toka lini?