chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 20,711
- 31,325
Alimpokea bashite alipoenda marekani,yule jamaa si wa shinyangaHuyu Nyani Ngabu nahisi kama ashaamua kurejea Kolomije au ashapewa u-DC maana michango yake siku hizi humu jukwaani, mmh!
Alimpokea bashite alipoenda marekani,yule jamaa si wa shinyangaHuyu Nyani Ngabu nahisi kama ashaamua kurejea Kolomije au ashapewa u-DC maana michango yake siku hizi humu jukwaani, mmh!
Tena Profesa maji mapana huyuJamaa atakuwa ni Profesa huyo make anajua kila kitu
Ujue watu wanakuona fala.Sema Finland.
Unarudia rudia kuandika Finlend... Finlend... Finlend...
Unaishije Scandinavia miaka thelathini hujui kuandika Finland?
Unajaze fomu ya maombi ya kazi? Nyie diaspora vipi nyie? Ndio mnasema mpewe uraia pacha msaidie kufanya nini? Ku invest?
Ngurumbili mmojaNa Kiswahili nacho hajui?
Diaspora wamekuja juu.
Nategemea watu mliotoka na kuishi nje muwe na exposure zaidi. Sasa unakaa nje miaka 15, 25, unabaki kama ulivyoondoka, huwezi kuandika hata jina la nchi uliyopo. FINELAND... DERNMARK.... CONTINENT SUB-INDIAN...Kiswahili nacho shida, uliombaje visa? Mnaongeza value gani kwa Taifa? Ndio maana mlishindwa kudhihirisha madai ya thamani mtakayoongeza kama mngepewa uraia pacha.
Na Kiswahili nacho hajui?
Diaspora wamekuja juu.
Nategemea watu mliotoka na kuishi nje muwe na exposure zaidi. Sasa unakaa nje miaka 15, 25, unabaki kama ulivyoondoka, huwezi kuandika hata jina la nchi uliyopo. FINELAND... DERNMARK.... CONTINENT SUB-INDIAN...Kiswahili nacho shida, uliombaje visa? Mnaongeza value gani kwa Taifa? Ndio maana mlishindwa kudhihirisha madai ya thamani mtakayoongeza kama mngepewa uraia pacha.
Jamaa atakuwa ni Profesa huyo make anajua kila kitu
Ni maisha yake, Fuata maisha yako na yeye muacha na maisha yake. kwan mgongo ukilemaa si ni yeye?Ukisema mtu ajue kuandika jina la nchi anayoishi, nako ni kujifanya kujua kila kitu?
Elimu yetu Tanzania ni duni, hatukupata msingi mzuri, basi mnapokwenda huko jiendelezeni. Msituletee mbinu za kupiga boxi saa 16 kwa siku.
Eti akipata hela mgongo hausikii tena maumivu. Hata hajui long term effects za kuu stress mgongo. Na nyinyi ndio mnatuletea mpaka furniture zinaitwa ergonomic chairs, kwamba hata kwa kukaa tu unaweza kuumiza mwili kama kiti hakifai. Mtu anakaa nje miaka 20 hayajui haya. Diaspora wa Tanzania bana!
Ni maisha yake, Fuata maisha yako na yeye muacha na maisha yake. kwan mgongo ukilemaa si ni yeye?
You jerk, idiot son of bitch with no commercial value, wat kinda exposure wanna see from em? Compehagen is here tellin what takes place there, kama una wivu wa kike vile go to ur gay fello. Watu tunafuatilia idea sio lugha. Jamaa kama hajui kiswahili jua anazungumza kinyakyusa but we still understand anachokiandika. Asikukwagha inyali ndumyana ugwe.Na Kiswahili nacho hajui?
Diaspora wamekuja juu.
Nategemea watu mliotoka na kuishi nje muwe na exposure zaidi. Sasa unakaa nje miaka 15, 25, unabaki kama ulivyoondoka, huwezi kuandika hata jina la nchi uliyopo. FINELAND... DERNMARK.... CONTINENT SUB-INDIAN...Kiswahili nacho shida, uliombaje visa? Mnaongeza value gani kwa Taifa? Ndio maana mlishindwa kudhihirisha madai ya thamani mtakayoongeza kama mngepewa uraia pacha.
You jerk, idiot son of bitch with no commercial value, wat kinda exposure wanna see from em? Compehagen is here tellin what takes place there, kama una wivu wa kike
Uzubhillah tooba!@nyaningabu na @mwanakijiji,wabeba box sugu ulaya nzima
"an egg laying mammal..!"Enough is Enough. Yalikuwa yamelala sasa umeyaamsha. Umeleta giza kwenye mwanga wangu now get this.
Listen dude am not a low life the way you think.Nina hela ya kutosha I work many hours per day na hela yangu ni clean siyo ya ujanja. Am not desperate. If I want I can live comfortable here and soon Al be granted permanent residence here very soon and the process is going on and Al let you know when it comes out.
You are messing with a wrong person dude here in JF. Nimekuvutia subra na pumz nimesema baas now receive the consequences.
Nimekutengea million arubain. NitKutrak na kukutres na nitakupata tu. Nitakuzaba mfululizo wa makofi kwa muda wa dakika mbili na kila kofi ntakulipa laki. Wait for me am coming to fix you up and the impact will be devastating.
An egg laying mammal
I like you because you are a down to earth person. Hujikwezi na unaongea ukweli kama unavyoujua. Asantelazima una vyeti orijino na ni kati ya wachache competent ndio maana unaniattack. Nisamehe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Enough is Enough. Yalikuwa yamelala sasa umeyaamsha. Umeleta giza kwenye mwanga wangu now get this.
Listen dude am not a low life the way you think.Nina hela ya kutosha I work many hours per day na hela yangu ni clean siyo ya ujanja. Am not desperate. If I want I can live comfortable here and soon Al be granted permanent residence here very soon and the process is going on and Al let you know when it comes out.
You are messing with a wrong person dude here in JF. Nimekuvutia subra na pumz nimesema baas now receive the consequences.
Nimekutengea million arubain. NitKutrak na kukutres na nitakupata tu. Nitakuzaba mfululizo wa makofi kwa muda wa dakika mbili na kila kofi ntakulipa laki. Wait for me am coming to fix you up and the impact will be devastating.
An egg laying mammal