Wasomi na kiingereza

Wasomi na kiingereza

Kuna Technical English and Fluency English. Watu wanao soma sayansi wanatumia Technical English sana. Hivyo ukiwaingiza kwenye fluency hawatakuelewa. na wewe wakiungiza kwenye technical hutowaelewa. Watu wanaosoma arts ndio wanatumia fluency English, sana ila nao technical English holaaaa
naongea technical English,

You are in spot of bother, innit? Cat got your tongue, has it?
Giz a butchers at than then will you?
You ain't got bottle to do it, have you?
 
Inakuwaje msomi ama graduate wa chuo kikuu aliespend miaka kama minne chuo kikuu na ana degree,masomo yake yote ni kiingereza tupu anafanikiwa kugraduate, lakini ukimwongelesha kiingereza haelewi

Akiamua yeye sasa Hata kuandika ujumbe kwa kiingereza anashusha broken ya hatari hadI unashangaa?
Wengine wamefanikiwa kupata kazi kabisa unakuta bonge la engineer from ardhi university English mbovu mkichat yuko kwenye bonge la kampuni

Mbaya zaidi graduate kamaliza chuo few days anaambiwa andika barua ya kuomba internship anaweweseka..Mara nipe google..maelezo yake binafsi yanamshinda kujieleza kwa kiingereza anatafuta CV za wengine akopi.sasa najiuliza huyu mtu kafanikiwa kumaliza successful report zake aliandikaje?kama kiingereza cha kuandika anababaika presentation alihudhuriaje akapata marks
Research zake?

Au ndo wale wa kukariri? Sawa basi hata kama kukariri unashindwa kujifunzia hapo mpangilio wa grammar.

Boss mzima ananitext "is you coming or no"
Kiingereza nacho ni kipaji?
Kwani mkuu we elimu yako umeipata humu nchini?? Nakama ndio vip huko chuon ulikuwa huoni madhaifu haya kwa mates wako?? Elimu ya kibongo mtu akosee kingereza afu umshangae kweli?? You won't be serious?
 
Tanzania fifth term general election took place on 28th October 2020
The contestants were Honorable john pombe magufuli from the ruling party cham cha mapinduzi..and honorable tundu Antipas lissu from from the opposition party (chadema).
According to few Tanzanian citizens interviewed,the election was considered as "unfair"

At least I can try
You are very poor in punctuation. John Pombe Magufuli is a person's name, hence a proper noun which can not start with a small letter.
There should be a full stop after 2020.
The quotation marks on the word unfair should be ( ' ) and not ("). You can only use ( ") in a second quotation.
There should be the letter 'a' before few Tanzanian.
Your use of commas and full stops leaves a lot to be desired.
 
12 Apr 2020
Mwakyembe - "Tanzania sasa ina wasomi wanaojua Kiingereza nusunusu na Kiswahili nusunusu".

Makosa ya wasomi wasiokimudu Kiswahili wala Kiingereza

Tanzania sasa ina wasomi wanaojua Kiingereza nusunusu na Kiswahili nusunusu. – Waziri Dr. Harrison Mwakyembe. Hii ni mifano ya makosa utakayosikia kutoka kwa wasomi kama hao.....

Source : Durusu Kiswahili
 
Inakuwaje msomi ama graduate wa chuo kikuu aliespend miaka kama minne chuo kikuu na ana degree,masomo yake yote ni kiingereza tupu anafanikiwa kugraduate, lakini ukimwongelesha kiingereza haelewi

Akiamua yeye sasa Hata kuandika ujumbe kwa kiingereza anashusha broken ya hatari hadI unashangaa?
Wengine wamefanikiwa kupata kazi kabisa unakuta bonge la engineer from ardhi university English mbovu mkichat yuko kwenye bonge la kampuni

Mbaya zaidi graduate kamaliza chuo few days anaambiwa andika barua ya kuomba internship anaweweseka..Mara nipe google..maelezo yake binafsi yanamshinda kujieleza kwa kiingereza anatafuta CV za wengine akopi.sasa najiuliza huyu mtu kafanikiwa kumaliza successful report zake aliandikaje?kama kiingereza cha kuandika anababaika presentation alihudhuriaje akapata marks
Research zake?

Au ndo wale wa kukariri? Sawa basi hata kama kukariri unashindwa kujifunzia hapo mpangilio wa grammar.

Boss mzima ananitext "is you coming or no"
Kiingereza nacho ni kipaji?
Kingereza ni lugha ya wenyewe ww unamuongelesha ya nini??? Ukiongea naye kiswahili hakuelewi????
 
You are very poor in punctuation. John Pombe Magufuli is a person's name, hence a proper noun which can not start with a small letter.
There should be a full stop after 2020.
The quotation marks on the word unfair should be ( ' ) and not ("). You can only use ( ") in a second quotation.
There should be the letter 'a' before few Tanzanian.
Your use of commas and full stops leaves a lot to be desired.
Okay
 
Kingereza ni lugha ya wenyewe ww unamuongelesha ya nini??? Ukiongea naye kiswahili hakuelewi????
Kama lugha ya wenyewe wanaisomea nini
Kiingereza ni lugha ya dunia
Ulishawahi funua vitabu vya aanafunzi sekondari na chuo?
 
Kwani mkuu we elimu yako umeipata humu nchini?? Nakama ndio vip huko chuon ulikuwa huoni madhaifu haya kwa mates wako?? Elimu ya kibongo mtu akosee kingereza afu umshangae kweli?? You won't be serious?
Sijagraduate chuoni japo nimeingia
Sasa hao waliofika mbali wengine degree hadI masters ndo nashangaa
Kwahiyo unatak a kuniambia elimu ya tz ni kiwango duni sana kiasi kwamba mtu asome miaka zaidi ya 16 na asielewe alichofunsishwa?
 
Mbona English haina ugumu wowote kujifunza, kuongea, kusoma wala kuandika.

Au walimu ndio tatizo?
Kama walimu tatizo kwanini wengine waelewe na wengine wasielewe?

Tatizo ni nini?

Mleta mada unadhani tatizo ni nini na solutions ni zipi?

Hutakiwi kulaumu tatizo bali unatakiwa utafute solution.

Swali: mleta mada ulipitia chuo kikuu?
Labda tatizo ni viwango vya kuelewa...ama uzingatiaji wa wanachofundishwa
Unakuta shule hiyohiyo moja anatoka mmoja yuko fluent mwingine hajui
Halafu kiingereza hata usome kayumba misingi yake inaanzia huko
Mfano chekechea wanafundisha numbers,matumizi ya this,that,kufahamu vitu KWA kiingereza mfano sabuni-soap
Embe-mango etc

Sasa kadri unavyopanda ndo mafunzo yanapanda mfano wakifika la saba utakuta wanafundishwa tenses,past tense,future tenses.sasa wakizingatia hapa tayari wamejua,wanavuka wanapenda secondary huko ndo kiingereza tupu kwenye kitabu..
Chuo miaka kibao

Mtu anamaliza masters kuandika paragraph ya kujieleza wanapata ugumu?
 
Back
Top Bottom