Tongo Elamu
JF-Expert Member
- Apr 26, 2020
- 2,904
- 4,397
ha
Hakuna cha technical wala ngwini English. Kiazi ni kiazi tu. MeKo anajua kiingereza gani?Kuna Technical English and Fluency English. Watu wanao soma sayansi wanatumia Technical English sana. Hivyo ukiwaingiza kwenye fluency hawatakuelewa. na wewe wakiungiza kwenye technical hutowaelewa. Watu wanaosoma arts ndio wanatumia fluency English, sana ila nao technical English holaaaa
