Wasomi jifunzeni kwa dada Mwasu, dereva wa bajaji msomi mwenye shahada mbili

Would you tell me walianzaje bila mtaji?

Let me ask you a question.

Imagine wewe ni mtoto wa masikini au ni masikini as huyo dada pia umemaliza chuo na elimu yako let say una economics degree na una plans za kumiliki company kubwa ya usafiri.

Wewe ungefanya nini kwenye situation kama hiyo?
Mtaji sio dili mkuu siku hizi kuna francising nyingi sana hapa duniani.

Mfano mimi ningeongea na brand kubwa say Wasafi then nachukua mkopo wa bajaji kma 10 hivi natumia brand yao for marketing then wao wananufaika na advertising from bajaj zangu.

So kwenye redio/nyimbo wanazipaisha.... Trust me watu kibao watataka kujiunga kwenye hiyo fursa na bajaj zingepandwa hadi na masuperstar wa kibongo. Kikubwa tu ni kuzi customize ili ziwe na utofauti hata barabarani mtu akipita tu anajua ileeeee bajaji ya wasafiiiiii.

Trust me zingekodiwa kila kona na mpaka mwaka unaisha unajikuta umekamata Dodoma nzima. That's education

Hata china huko sio kwamba Iphone inatengeza cmu zake zote.... Ni mtu ana kampuni yake anaomba leseni tu atengeneze lets say iphone X so anajua atauza sababu ya ile bran ya Apple then yye kwenye faida unawapa dividends kma 30% hivi hiyo nyingine yako.

Mimi ningefanya hivyo
 
Mtaji sio dili mkuu siku hizi kuna francising nyingi sana hapa duniani.

Mfano mimi ningeongea na brand kubwa say Wasafi then nachukua mkopo wa bajaji kma 10 hivi natumia brand yao for marketing then wao wananufaika na advertising from bajaj zangu.

So kwenye redio/nyimbo wanazipaisha.... Trust me watu kibao watataka kujiunga kwenye hiyo fursa na bajaj zingepandwa hadi na masuperstar wa kibongo. Kikubwa tu ni kuzi customize ili ziwe na utofauti hata barabarani mtu akipita tu anajua ileeeee bajaji ya wasafiiiiii.

Trust me zingekodiwa kila kona na mpaka mwaka unaisha unajikuta umekamata Dodoma nzima. That's education

Hata china huko sio kwamba Iphone inatengeza cmu zake zote.... Ni mtu ana kampuni yake anaomba leseni tu atengeneze lets say iphone X so anajua atauza sababu ya ile bran ya Apple then yye kwenye faida unawapa dividends kma 30% hivi hiyo nyingine yako.

Mimi ningefanya hivyo
Unaandika utumboutumbo bora ukakaa kimya kuliko ma imagination yakifala

Eti nakopa mkopo wa bajaji kumi unakula udongo nini

Naninii nanini
 
Unaandika utumboutumbo bora ukakaa kimya kuliko ma imagination yakifala

Eti nakopa mkopo wa bajaji kumi unakula udongo nini

Naninii nanini
Swali kauliza mwingine unadakia. Ww na huyo Mwasu wote mnaakili zile zile tu. Au hujui unaweza kopa kwa kutumia projected cashflows? Umesoma Project finance au na ww umegraduate UDOM?

Mimi nilianzisha taasisi bila kuwa na senti tano na nikawa napata wateja then naenda tafuta bidhaa nauza, yaani sina mtaji ila nikawa some sort of middle-man. Mwisho wa siku unapata pesa ndio unakua na bidhaa zako.

Graduate wa UDOM kma ww huwezi nielewa.
 
Wewe ni mjinga mmojawapo. Ingefaa basi tuwasifie wale ambao hawakusoma na wanaendesha bajaji na bodaboda kuliko huyu aliesoma halafu anaenda kuwaingilia wasiosoma . Msomi anatakiwa aongeze value kwenye jamii . Huyu Ameongeza value gani kwenye jamii hata yake tuuu. Takataka ya UDOM.
If wewe kweli umesoma na kuelimika hujakariri basi nijibu hili swali.

Simple question: wewe umeleta value gani kwenye jamii ukiondoa kuajiriwa?

Nijibu hilo swali then let's measure mimi na wewe nani mjinga.
 
Mtaji sio dili mkuu
Maybe ni kwako tu mkuu.
If that was true then hawa graduates karibu mill5 walioko nyumbani basi wasingelalamika mitaji au kutafuta ajira ambazo hazipo.
Mfano mimi ningeongea na brand kubwa say Wasafi then nachukua mkopo wa bajaji kma 10 hivi natumia brand yao for marketing then wao wananufaika na advertising from bajaj zangu.

So kwenye redio/nyimbo wanazipaisha.... Trust me watu kibao watataka kujiunga kwenye hiyo fursa na bajaj zingepandwa hadi na masuperstar wa kibongo. Kikubwa tu ni kuzi customize ili ziwe na utofauti hata barabarani mtu akipita tu anajua ileeeee bajaji ya wasafiiiiii.
Nice business plan but as always everything is easy if you won't take any actions.

Kuanzia kuongea na brand kubwa like wasafi mpaka kupata mkopo wa mamilioni ya bajaj benk kwa mtoto wa masikini sio kitu rahisi mkuu.

If it was that simple then i think wangekuwepo watu zaidi ya wawili wanaofanya hiyo business.
Tena hao watu wawili ni watoto wa masikini.
 
Mkuu zuckeberg alijifunza IT tokea akiwa secondary (Middle school) huko ndio alijua softwares kibao tu na akawa mzuri kwenye software developong alafu chuo alisoma Harvard tofauti ni kwamba hakumaliza tu ila alisoma chuo
I know about that.
Hoja yangu ni hii, jiajiri kwenye eneo lako kuendana na skills zako. Ni aibu msomi kujisifia kufanya kazi ya darasa la 7 ilihali sekta hta ya sosiolojia tupo nyuma.

Mfano ameshindwa kudesign app ya kusaidia watoto ya yatima/wagonjwa kwa mfumo wa automation? Hapo angekua kajiajiri kupitia elimu yake ya sociology.

Well kasomea utawala... Ameshindwa kuja na mradi wa kusaidia taasisi kuanzia vyama vya ushirika mpaka serikali za mitaa kuwa na efficient management information systems za control zinazoeleweka? Hapo anahitaji mtaji wa mamilion?
That's why i said huwezi jua mtu ana nini kichwani mwake na binadamu wote hawawezi kuwa na mawazo sawa.
Narudia tena huyo dada avuliwe hiyo masters maana hajaitendea haki.
Hapana unasema hivyo sababu yeye amejitangaza.

Bila shaka kuna watu watu wana elimu kubwa kiwango cha huyo dada lakini wanaume wapo nyumbani na wanawake wanajiuza.

Hao utasemaje?
 
Kusoma hasa elimu ya juu ni pia ku inspire wengine walioko nyuma wasome.
Wewe umefanya nini kilichoinspire wengine wasome?

Mtu anaye jitambua ahitaji kuwa inspired ili asome bali lazima asome sababu lazima atakuwa anajitambua anataka nini kwenye maisha yake na ataitumia vipi elimu.

Mtu anyehitaji inspiration ili asome basi hajui anahitaji nini maishani mwake hivyo hiyo inatosha kusema mtu huyo hajitambui.
Halafu kazi zipo msidanganye watu kuwa kazi hakuna. Sema ushindani ndio mkubwa.
Huyo dada ni kigezo cha failed system ya nchi.
Unajua kuna graduates wangapi ambao wapo nyumbani hawana ajira?

Unaweza kuniambia kwanini hawana ajira?
 
I do.

Kwani huyo dada hawezi kuwa mmiliki na kumuajiri dereva?
Bajaj na Uber ni one of the same???

Ukirudi kwenye mada....dada hasifiwi kumiliki bajaj na kuajiri watu bali anasifiwa kuendesha bajaj yake yeye kama yeye. Nna hakika swala lingekuwa kumiliki hata isingekuwa ishu maana mtaani wapo wengi tu wamiliki a.k.a waajiri. Hapo cha ajabu kilichoonekana ni the fact that kaamua yeye kuendesha which shows just how stupid our society is!!!😑😑
 
Mfano wa kuigwa, sio kila siku kulia lia na kulaumu tu, kumbe maisha yako unayo wewe mkononi mwako, yaani wewe ndiyo unatakiwa kuyafanya unavyotaka na si kusubiri hisani kutoka kwa mwingine

Mkuu maisha sio mchezo wa kubahatisha aisee mtu amesomea engineering , ametengenezewa mazingira gani ili aweze kuitumia engineering yake kusolve matatizo yanayomkabili jamii ? mkuu sio kila unachoambiwa unakichukua kama kilivyo, watu wamesoma na ni resources nyingi sana zimepotea ikiwa pamoja na muda alafu waje waendeshe bajaji ? imagine miaka 17 -20 mtu kawekeza shule alafu anakuja kuendesha bajaji basi angeanza toka alivyomaliza elimu ya msingi tu sababu driving ni miez mitatu tu. Huyu dada anafanya shughuli ya kujikwamua kimaisha tu wala sio kwamba she is winning mkuu, she has a family to feed and thats what she is supposed to do for the time being. Msiwasikilize wanasiasa wanadanganya sana, ye anasema watu wajiajiri ila yeye anashinda kwa wachawi ashinde uchaguzi, THINK MZEE..kwanini asijiajiri aachane na huo ubunge ?
 
Kujiajiri ni kama walivyofanya kina Mendes wa KopaGas, MakJuice, Wasafi media, Maxence Melo wa JF.

Ni kampuni sustainable, ambazo unaweza kujua kabisa zitaajiri watu, kukuza kipato na kuvutia uwekezaji hata kama ni kupitia DSE.

Sasa yeye biashara ya Bajaj, akilala na yenyewe inalala.

Well said
 
Hivi kweli UWEZO WETU , wasomi kiwango hata cha diploma, hatuwez kubuni bali kuvamia idea iliyobuniwa na std seveni,? " hii inasikitisha Sana Sana, ina maana IRR(internal rate of return) kwa serikali KUWEKEZA kwenye elimu linakomea kumonitor kutoa tu mikopo, baada ya kumaliza tu biashara imeisha, kuna haja ya mfumo yetu iliangalie hili, kama Kweli msomi nguri kama Huyo anafaa ku-compete Sokoni na wale less than std seven?. Mr.einstern, amewahi sema,"UKIOONA MWANAFUNZI wako hajaelewa, jua wewe una mbinu kidogo na uelewa mdogo kumuelimisha MWANAFUNZI". Naona hili si tatizo la Wanafunzi bali mfumo, kwani same class mmoja anaajiliwa Kampuni A, anafanya vizur, mwingine analaumiwa kwasabab tu mazingira yake sio rafik. !! ".Stefan's Law of black body, alisema, temperature flow from high concentration to low temperatures under certirice per bus" aliimanisha, kuwa joto litatoka palipo na joto kubwa kwenda palipo na joto kidogo, hivyo chenye joto kubwa kitapoteza HARAKA joto lake, ,namuona msomi Huyu akipoteza uwezo wake wa KUFIKIRI kwani anaokutana nao kwenye maeneo yake ya kazi ni std seven (low temperature) kifikra, hivyo atajikuta anafanana nao, Na kuwaza level moja. Siku tukioona msomi mmoja kuwa kundi lisilo lake ni tatizo la sote basi TUTAWAZA SAWA.. iam not voting this kind of entrepreneur as appropriate to be promoted as a legacy to the rest of university graduates.View attachment 1660403View attachment 1660406
Watanzania hamuhishiwi vihoro.
Angekaa bila kazi, mngemlaumu. Amejiajili kwa kiwango cha uwezo wake, mnamlaumu. Duh!
 
Ni Jukumu la lazima kwa serikali kuajiri watu wake au kuwasaidia wajiajiri. Na wanalipwa pesa za walipa kodi kwa sababu hiyo.

Kama wameshindwa kufanya hilo, wap8she wawaachie wanaoweza.

Huwezi kumlipa mtu alime barabara upite, pesa anakula kila siku halafu anakwambia tatizo lako boss hutaki kujiongeza kulima tu mwenyewe upite.

Na wakati huo huo, hataki kuachia hiyo tenda ya kutengeneza barabara.

Wanachokifanya watawala ni kutafuta namna ya kukwepa wajibu wao ili watafune kodi za walalahoi bila kufanya kazi wala kupigiwa kelele.

Well said , kila mtu afanye kazi yake asitokee mtu akakwepa responsibility yake alafu akatafuta sababu ya coverup , Yan serikali haiwez kuwaajiri watu inaowasomesha kwa hela nyingi alafu coverup yake iwe wajiongeze wajiajiri ? sio kweli...Tunapoteza hela nyingi kwa hii elimu ya bongo bila sababu ya msingi, hizi hela wangezialokate sehemu nyingine basi au kwene namna ya kuweza kujiajiri na vitu kama hivyo sio kuleta maneno na visingizio vingi
 
Mimi pale UDOM (bachelor ) na UDSM (master's) sikusomea kuendesha bajaji. Ningetaka kusomea kuendesha bajaji ningeenda VETA au NIT. yani na B.COM finance yangu na MA-FINANCE plus CPA juu nikawe dereva bajaji kwelii?? Hebu serikali iwe na adabu na elimu za watu.
 
Mimi pale UDOM (bachelor ) na UDSM (master's) sikusomea kuendesha bajaji. Ningetaka kusomea kuendesha bajaji ningeenda VETA au NIT. yani na B.COM finance yangu na MA-FINANCE plus CPA juu nikawe dereva bajaji kwelii?? Hebu serikali iwe na adabu na elimu za watu.
Hata bcom ungekwenda IFM.
 
Bajaj na Uber ni one of the same?
Hapana.

Ila ilianzia chini na haikuibuka tu from nowhere.

Au unataka kusema uber ilitokea tu?
Ukirudi kwenye mada....dada hasifiwi kumiliki bajaj na kuajiri watu bali anasifiwa kuendesha bajaj yake yeye kama yeye. Nna hakika swala lingekuwa kumiliki hata isingekuwa ishu maana mtaani wapo wengi tu wamiliki a.k.a waajiri.
Unajuaje hana idea ya kuwa mmiliki baadae and maybe right now anawekeza kutokana na changamoto zake instead ya kumlipa mtu?

Do you understand kwamba kila mtu anapitia changamoto zake na kila mtu anafight battle binafsi ndani yake?
Hapo cha ajabu kilichoonekana ni the fact that kaamua yeye kuendesha which shows just how stupid our society is!
Mkuu huwezi jua amepanga nini kwenye future yake.
Utajuaje ameamua kufanya mwenyewe kwa period of time ili akiajiri watu ajue kila kinachoendelea na kinachotokea kwenye hiyo biashara.
Utajuaje anachokifanya ni uchunguzi wa biashara hivyo hataki kukurupuka?

And you mean chaajabu sababu ni mwanamke na mwenye elimu kubwa?
Sababu society yetu inaamini mwanamke hatakiwi kufanya kazi za aina hiyo like kuendesha bajaj.
Na society yetu inaamini kwamba elimu ni kuajiriwa tu.
Au kufanya makubwa bila kujua kila kikubwa kilianzia chini.
Na mwenye elimu kubwa hatakiwi kufanya kazi za aina fulani even if kwake analala njaa na ni masikini.

In that way i agree our society is stupid.
 
Back
Top Bottom