Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 28, 2020
- 3,824
- 5,811
So mkuu unadhani kumiliki company ya usafiri wa bajaj ni kama kuibuka tu kutoka mtoni hakuna kuanzia chini.Tofaitisha kumiliki kampuni ya usafiri was bajaji na mimi kuwa dereva was bajaji eti jioni naoeleka kioande kwa bosi au hata kama bajaji ni yangu niwe naendesha mwenyewe ni umbuzi