Wasio waislamu msilete ujuaji katika mambo ya Uislamu

Wasio waislamu msilete ujuaji katika mambo ya Uislamu

Mkuu jambo muhimu ni BAKWATA kubadilika siasa zao zimesha pita na wakati, mpaka wasio waislamu wameshituka, mkuu acha kupangia watu lipi la kujadili kama wanacho jadili sio Fatua au Quran ila upuuzi wa baadhi ya viongozi wetu sioni shida yote, wambie viongozi wa bakwata wabadilike waislamu wame elimika tayari.
Waelimike katika nini? Kufuata mwezi wa kimataifa au
 
Umeongea jambo la msingi sana
-hata mm huwa nazungumzia sana hz imani, lakini namshkru MUNGU nimefaulu kujiepusha kupanua mdomo wangu kuhusu chochote cha mifungo ya hizi imani mbili
 
[SIZE=5]Waelimike katika nini? Katika kufuata mwezi wa kimataifa au[/SIZE]
Acha kutetea upuuzi huo hao BAKWATA wako wanatudhalilisha mbele ya uso wa dunia, dunia nzima ina sherekea Iddi siku ya Ijumah kasoro hao wa pumbavu wa bakwata , ambieni wa ondowe siasa kwenye dini yetu, mambo yao ya usalama wayapeleke pengine.
 
View attachment 3561352

Kumekuwa na ujinga mwingi sana wa watu ambao hawajui chochote kuhusu Uislamu na kuwa kimbelembele kutoa majibu ya Uislamu,ikiwa wao tu hawajui imani yao vizuri kumjua yupi ni Mungu na yupi ni nabii/mtume ndio wataweza kweli kuujua Uislamu?

Nimepitia post kadhaa kuhusiana na mwandamo wa mwezi,wengi ambao sio waislamu ndio wa kwanza kuiponda Bakwata kwamba ni chombo sijui cha Ccm au sijui cha Serikali,huu ujinga mmeutoa wapi?

Yani kwakuwa tu sikukuu haikuangukia Ijumaa basi ujinga wenu,upuuzi wenu wote mnaulekeza kwa Bakwata, je mnajua kuhusu elimu ya figh ya dini ya kiislamu?

Kama hamjui sasa mnapata wapi gut za kuzungumzia kitu ambacho hamkijui? Yani sawa sawa na Mimi leo kobazi nizungumzie kuhusu Naziri wanazo weka makatekitsi au mafaza au mabraza,though nilipata elimu kidogo kuhusu hili lakini sina gut ya kueleza kama wakatoliki wenyewe

Uislamu katika elimu ya figh/ Sheria ya dini kuhusiana na ibada mbali mbali,inasema kuelekeza njia mbili ambazo waislamu wanaweza kufunga au kufungua kutokana na muandamo wa mwezi

Kuna ile kuona mwezi mahali popote pale na kuna ile kuuona mwezi kutokana na jografia ya zone husika,na hiyo ya kuona kutokana na zone ya nchi husika ukanda husika ndio ambayo imekuwa ikitumika karne na karne,sasa Leo hii Bakwata wakitumia njia hiyo ndio mnawaona vibaraka wa CCM au Serikali?

Stay away from our business!!!

Ni hayo tu!
Mkuu natambua mchango wako wa kuutetea uislamu Mungu akulipe kwa hilo ila sio vizuri kuchanganya dini na siasa, serikali inatambua kuwa kuna taasisi nyingine tofauti na bakwata na taarifa za kuandama kwa mwezi zimetoka alhamis kuanzia saa moja na nusu mpaka saa mbili kuwa kesho yake ijumaa kuna baadhi ya wananchi wa kiislamu wataswali swala ya idd hivyo kwa nini hakukua na tamko la kutokuwepo kwa kazi na shule ijumaa, kuna watu walikosa fadhila za swala ya idd sababu walikuwa shule na makazini, ila serikali huwasikliza hasa bakwata tu, unajua ni misikiti mingapi wananchi wamejichanga kujenga ila ikitokea mgogoro kidogo kwenye uongozi serikali inauchukua msikiti na kuweka chini ya uongozi wa bakwata, hivyo kama serikali inatambua taasisi zipo nyingi kwa nini ina wa favour sana bakwata.
 
View attachment 3561352

Kumekuwa na ujinga mwingi sana wa watu ambao hawajui chochote kuhusu Uislamu na kuwa kimbelembele kutoa majibu ya Uislamu,ikiwa wao tu hawajui imani yao vizuri kumjua yupi ni Mungu na yupi ni nabii/mtume ndio wataweza kweli kuujua Uislamu?

Nimepitia post kadhaa kuhusiana na mwandamo wa mwezi,wengi ambao sio waislamu ndio wa kwanza kuiponda Bakwata kwamba ni chombo sijui cha Ccm au sijui cha Serikali,huu ujinga mmeutoa wapi?

Yani kwakuwa tu sikukuu haikuangukia Ijumaa basi ujinga wenu,upuuzi wenu wote mnaulekeza kwa Bakwata, je mnajua kuhusu elimu ya figh ya dini ya kiislamu?

Kama hamjui sasa mnapata wapi gut za kuzungumzia kitu ambacho hamkijui? Yani sawa sawa na Mimi leo kobazi nizungumzie kuhusu Naziri wanazo weka makatekitsi au mafaza au mabraza,though nilipata elimu kidogo kuhusu hili lakini sina gut ya kueleza kama wakatoliki wenyewe

Uislamu katika elimu ya figh/ Sheria ya dini kuhusiana na ibada mbali mbali,inasema kuelekeza njia mbili ambazo waislamu wanaweza kufunga au kufungua kutokana na muandamo wa mwezi

Kuna ile kuona mwezi mahali popote pale na kuna ile kuuona mwezi kutokana na jografia ya zone husika,na hiyo ya kuona kutokana na zone ya nchi husika ukanda husika ndio ambayo imekuwa ikitumika karne na karne,sasa Leo hii Bakwata wakitumia njia hiyo ndio mnawaona vibaraka wa CCM au Serikali?

Stay away from our business!!!

Ni hayo tu!
Raha ni kwamba wanaowalaumu bakwata ni kobazi wenzio!burudani sanaa
 
Sio mbaya watu wakijadili kwa namna wanavyoona wao muhimu tu maneno yao yasiwatoe kwenye malengo yenu

Hawa jamaa wanataka watu wote wawe na mawazo ya aina moja? Mtu akiwa tofauti na wanavyofikiria wao anakua adui? Hii dunia ingekuwa na akili moja ingefika ilipofika au tungekuwa bado tunakula mizizi na matunda pori hadi leo tukiishi mapangoni, hata karatasi za kuchapisha kuruani yenyewe zingekuwepo?😛😛
 
Achaga ujinga kuufanya uislam ni hakimiliki yenu tu, labda ungekuwa mwarabu hapo ungeeleweka unalinda utamaduni wenu, mila na desturi zenu za huko mashariki ya kati. Na kama ni mbongo ukija na hoja hii basi utakuwa umechanganyikiwa na dini na huujui uislam ulianzishwa wapi. Kasome kitabu how they create islam
 
Mkuu natambua mchango wako wa kuutetea uislamu Mungu akulipe kwa hilo ila sio vizuri kuchanganya dini na siasa, serikali inatambua kuwa kuna taasisi nyingine tofauti na bakwata na taarifa za kuandama kwa mwezi zimetoka alhamis kuanzia saa moja na nusu mpaka saa mbili kuwa kesho yake ijumaa kuna baadhi ya wananchi wa kiislamu wataswali swala ya idd hivyo kwa nini hakukua na tamko la kutokuwepo kwa kazi na shule ijumaa, kuna watu walikosa fadhila za swala ya idd sababu walikuwa shule na makazini, ila serikali huwasikliza hasa bakwata tu, unajua ni misikiti mingapi wananchi wamejichanga kujenga ila ikitokea mgogoro kidogo kwenye uongozi serikali inauchukua msikiti na kuweka chini ya uongozi wa bakwata, hivyo kama serikali inatambua taasisi zipo nyingi kwa nini ina wa favour sana bakwata.
Umetoa ufafanuzi mzuri ila kiuhalisia madhehebu ya dini ya kiislam ni mengi na kila dhehebu lina mtazamo wake katika kutekeleza ibada hivyo basi Serikali haiwezi ku-favor kila dhehebu na kulipa uzani sawa maana kutakuwa na matukio mengi na hivyo kuzuia shughuli nyingine za kiserikali

Mfano Sunni na Taasisi yao watambulike, halikadharika shia, ahamadia, suffi na kwa upande mwingine kuna Catholic, KKKT, TAG, SABATO nk hapo utakuta kalenda yote ni matukio ya kidini tupu

Hivyo basi kuna ulazima wa nyie wahusika wenyewe kutafuta platform moja ya kuwawakilisha serikalini msipofanya hivyo Serikali itawasaidia kama ifanyavyo sasa
 
BAKWATA ni taasisi ya kisiasa tu
Waislam wenyewe wanaipuuza BAKWATA
Mahakama ishatoa mwogozo kuwa BAKWATA asijipe kiherehere cha kujifanya taasisi ya waislam wote.

BAKWATA inakandamiza waislam wenyewe
Mamia ya mashehe wapo gerezani karibia miaka 20 taasisi Yao BAKWATA ipi kimya kila siku wanaenda ikulu kula tende na ubwabwa

Wanatumiwa na mafisadi kulinda mambo Yao.
Juzi hapa taasisi ya dini kubwa kama BAKWATA inatoka kutetea mauaji ya Watanganyika
 
BAKWATA ni taasisi ya kisiasa tu
Waislam wenyewe wanaipuuza BAKWATA
Mahakama ishatoa mwogozo kuwa BAKWATA asijipe kiherehere cha kujifanya taasisi ya waislam wote.

BAKWATA inakandamiza waislam wenyewe
Mamia ya mashehe wapo gerezani karibia miaka 20 taasisi Yao BAKWATA ipi kimya kila siku wanaenda ikulu kula tende na ubwabwa

Wanatumiwa na mafisadi kulinda mambo Yao.
Juzi hapa taasisi ya dini kubwa kama BAKWATA inatoka kutetea mauaji ya Watanganyika
Unashauri Serikali itumie Taasisi ipi ya kiislamu kutoa matamko ya mapumziko ya siku za sikukuu na masuala mengine ya kiislamu?
 
Unashauri Serikali itumie Taasisi ipi ya kiislamu kutoa matamko ya mapumziko ya siku za sikukuu na masuala mengine ya kiislamu?
Wawaache waislam waunde taasisi Yao upya wa kuwasemea na kuwawakilisha
Sio hao wanafiki wa BAKWATA
Ambao hawakubaliki na waislam wengi
Yaani eti kijiogrofia hivi TANZANIA tuna jiografia tofauti na Kenya, Uganda, Rwanda, Zambia, Malawi n. K

Yani huko kote mwezi uonekane kasoro TANZANIA tu
 
Wawaache waislam waunde taasisi Yao upya wa kuwasemea na kuwawakilisha
Sio hao wanafiki wa BAKWATA
Ambao hawakubaliki na waislam wengi
Yaani eti kijiogrofia hivi TANZANIA tuna jiografia tofauti na Kenya, Uganda, Rwanda, Zambia, Malawi n. K

Yani huko kote mwezi uonekane kasoro TANZANIA tu
Una uhakika wakiunda upya Taasisi hiyo Taasisi itakuwa balanced kwa madhehebu yote ya kisunni, suffi, shia, ahamadia na Al Sunnah waljamaat katika maswala ya hitilafu kama vile muandamo wa mwezi?
 
Back
Top Bottom