ERTUGRUL BEY
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 11,529
- 21,530
- Thread starter
- #101
Wote wapo sahihi,kutofautiana katika uislamu ni rehmaNani alikuwa sahihi kati ya ijumaa na jumamosi maana wapo waislam waliopingana wenyewe kwa wenyewe.
Wote wapo sahihi,kutofautiana katika uislamu ni rehmaNani alikuwa sahihi kati ya ijumaa na jumamosi maana wapo waislam waliopingana wenyewe kwa wenyewe.
😂😂😂Wote wapo sahihi,kutofautiana katika uislamu ni rehma
Yani hii ingekuwa suluhu rahisi sana, sijui kwa nini hawafikirii hivi na wote ni dini moja!Kalenda inasema idd ni siku mbili sio, kwa nini isiwe siku ya kwanza ni ya wanao tumia mwezi wa kimataifa na siku ya pili iwe ni kwa wengine ili wote wanufaike na siku hyo
Sasa nini kiliwashinda serikali kusema Ijumaa na Jumamosi zote ni Idd ili kubalance makundi yote na badala yake wakaenda na BAKWATA tu??Wote wapo sahihi,kutofautiana katika uislamu ni rehma
Nchi hii Ina muft mmoja sio wawiliSasa nini kiliwashinda serikali kusema Ijumaa na Jumamosi zote ni Idd ili kubalance makundi yote na badala yake wakaenda na BAKWATA tu??
Kwanza Asante kwa maoni yako,lakini pili una hoja ya msingi kuhusu kutengana kwa waislamu kwani tumeambiwa katika qur'anMkuu natambua mchango wako wa kuutetea uislamu Mungu akulipe kwa hilo ila sio vizuri kuchanganya dini na siasa, serikali inatambua kuwa kuna taasisi nyingine tofauti na bakwata na taarifa za kuandama kwa mwezi zimetoka alhamis kuanzia saa moja na nusu mpaka saa mbili kuwa kesho yake ijumaa kuna baadhi ya wananchi wa kiislamu wataswali swala ya idd hivyo kwa nini hakukua na tamko la kutokuwepo kwa kazi na shule ijumaa, kuna watu walikosa fadhila za swala ya idd sababu walikuwa shule na makazini, ila serikali huwasikliza hasa bakwata tu, unajua ni misikiti mingapi wananchi wamejichanga kujenga ila ikitokea mgogoro kidogo kwenye uongozi serikali inauchukua msikiti na kuweka chini ya uongozi wa bakwata, hivyo kama serikali inatambua taasisi zipo nyingi kwa nini ina wa favour sana bakwata.
You are an establishment shillKwanza Asante kwa maoni yako,lakini pili una hoja ya msingi kuhusu kutengana kwa waislamu kwani tumeambiwa katika qur'an
“Na shikamaneni nyote kwa pamoja na kamba ya Mwenyezi Mungu, wala msifarikiane. Na kumbukeni neema ya Mwenyezi Mungu juu yenu, mlipokuwa maadui akaziunganisha nyoyo zenu mkawa kwa neema yake ndugu…”
(Surah Aal-Imran 3:103)
Hiyo no aya ambayo inasisitiza sana mshikamano wa waislamu duniani kote,sasa hapa tujiulize je wasomi na wanazuoni wa kiislamu hawaijui aya hii au fundisho au Agizo hili.
Swala la kujiuliza hapa,Je ni uongozi upi unatambulika hapa Tanzania na serikali??
Jibu ni Bakwata,sasa kama Bakwata inatambulika je ungetarajia serikali itambue taasisi nyingine tofauti na Bakwata?
Kwanza ingetakiwa uongozi wa Bakwata utambuliwe na kuheshimiwa na waislamu wote,kisha kama kuna hoja ,marekebisho au mabadiliko yafanyike miongoni mwa taasisi zote,ila huu ujinga wa kila taasisi kuwa na meno ndio unatugawa waislamu
Huko nyuma enzi za Afrika Mashariki, East Afrika ilikuwa na msemaji au chombo kimoja cha waislamu ambacho ndio msemaji wa mwandamo wa mwezi na hakukuwa na shida yoyote ile,swali la kujiuliza je,kimetupata nini sasa hivi.
Hao ambao hawafuati mamlaka ya Uislamu ambayo ndio inatambulika na Serikali wasilaumu kwa kushindwa kupata nafasi ya kula sikukuu kwasababu wameamua wenyewe kufuata mlengo mwingine ambao hautambuliki na serikali
Dini ya, kishetani,View attachment 3561352
Kumekuwa na ujinga mwingi sana wa watu ambao hawajui chochote kuhusu Uislamu na kuwa kimbelembele kutoa majibu ya Uislamu,ikiwa wao tu hawajui imani yao vizuri kumjua yupi ni Mungu na yupi ni nabii/mtume ndio wataweza kweli kuujua Uislamu?
Nimepitia post kadhaa kuhusiana na mwandamo wa mwezi,wengi ambao sio waislamu ndio wa kwanza kuiponda Bakwata kwamba ni chombo sijui cha Ccm au sijui cha Serikali,huu ujinga mmeutoa wapi?
Yani kwakuwa tu sikukuu haikuangukia Ijumaa basi ujinga wenu,upuuzi wenu wote mnaulekeza kwa Bakwata, je mnajua kuhusu elimu ya figh ya dini ya kiislamu?
Kama hamjui sasa mnapata wapi gut za kuzungumzia kitu ambacho hamkijui? Yani sawa sawa na Mimi leo kobazi nizungumzie kuhusu Naziri wanazo weka makatekitsi au mafaza au mabraza,though nilipata elimu kidogo kuhusu hili lakini sina gut ya kueleza kama wakatoliki wenyewe
Uislamu katika elimu ya figh/ Sheria ya dini kuhusiana na ibada mbali mbali,inasema kuelekeza njia mbili ambazo waislamu wanaweza kufunga au kufungua kutokana na muandamo wa mwezi
Kuna ile mkiona mwezi fungeni na ukionekana mwezi fungeni. Na hiyo ya kuona kutokana na zone ya nchi husika au ukanda husika ndio ambayo imekuwa ikitumika karne na karne,sasa Leo hii Bakwata wakitumia njia hiyo ndio mnawaona vibaraka wa CCM au Serikali?
Stay away from our business!!!
Ni hayo tu!
Yaani hawapendani wenyewe kwa wenyewekuna tv moja ya kikobazi nayo inawalaumu bakwata kwa swala hili, kobazi kwa kobazi wanalaumiana
Upo period? Thats why..... Nmeshangaa haya makasiriko ya nini.... Jibu nmepata. Ndo maana unatoa povu sehemu zako zote za waziHati miliki unajua wewe,Mimi wajibu wangu ni kuweka mambo sawa,period
Hapana unakosea ukisema hivyo,tunatambua mawazo na maoni ya kila watu,lakini kuna masuala hayana maoni wala mawazo binafsi,huwezi ukaleta maoni yako kwenye ibadaHawa jamaa wanataka watu wote wawe na mawazo ya aina moja? Mtu akiwa tofauti na wanavyofikiria wao anakua adui? Hii dunia ingekuwa na akili moja ingefika ilipofika au tungekuwa bado tunakula mizizi na matunda pori hadi leo tukiishi mapangoni, hata karatasi za kuchapisha kuruani yenyewe zingekuwepo?😛😛
Wewe ni mpuuzi kama wapuuzi wengine tu,kitendo cha wewe kuaminishwa watu walitengeza Uislamu inatosha kujua kwamba ur not thinking by yourself,unalishwa tu mawazo na wengine bila hata kutafakariAchaga ujinga kuufanya uislam ni hakimiliki yenu tu, labda ungekuwa mwarabu hapo ungeeleweka unalinda utamaduni wenu, mila na desturi zenu za huko mashariki ya kati. Na kama ni mbongo ukija na hoja hii basi utakuwa umechanganyikiwa na dini na huujui uislam ulianzishwa wapi. Kasome kitabu how they create islam
Hakuna migogoro yoyote ile kwa waislamu ambao wanajua mafundisho ya dini,migogoro ipo kwa wale ambao hawajitambui na ambao hawana elimu ya dini ya kiislamumigogoro ya mwezi ni ya kila mwaka, sasa mkuu labda ungesaidia kuja na makala ya kufafanua
Umeshiba ubwabwa na tende za BAKWATAHakuna migogoro yoyote ile kwa waislamu ambao wanajua mafundisho ya dini,migogoro ipo kwa wale ambao hawajitambui na ambao hawana elimu ya dini ya kiislamu
Hakuna kitu kibaya kama kutoa tuhuma bila uhakika na kile unachokisema,umezungumzia kwamba Bakwata imeacha kuwatoa masheikh 20 huko kwenye kesi,je ulijua hiyo kesi ina uzito kiasi gani? Je ulitaka Bakwata iitishe maandamano ya waislamu wote kuandamana kudai masheikh watolewe,na lau ingefanya hivyo hapa mgekuja na nyuzi hapa kusema waislamu hawafuati sheria za nchiBAKWATA ni taasisi ya kisiasa tu
Waislam wenyewe wanaipuuza BAKWATA
Mahakama ishatoa mwogozo kuwa BAKWATA asijipe kiherehere cha kujifanya taasisi ya waislam wote.
BAKWATA inakandamiza waislam wenyewe
Mamia ya mashehe wapo gerezani karibia miaka 20 taasisi Yao BAKWATA ipi kimya kila siku wanaenda ikulu kula tende na ubwabwa
Wanatumiwa na mafisadi kulinda mambo Yao.
Juzi hapa taasisi ya dini kubwa kama BAKWATA inatoka kutetea mauaji ya Watanganyika
we ndiyo mpuuzi unayeaminishwa uislam ni dini wakati ni mila na desturi za waarabu wa mashariki ya katiWewe ni mpuuzi kama wapuuzi wengine tu,kitendo cha wewe kuaminishwa watu walitengeza Uislamu inatosha kujua kwamba ur not thinking by yourself,unalishwa tu mawazo na wengine bila hata kutafakari
Kwa mujibu wa imani ya kiislamu,imani yoyote ambayo haimtambui MUNGU MMOJA NI BATILI,Tatizo ni pale mtu anapoamini imani yake ni sahihi na waale wanaofata imani nyingine wamepotoka.