Huo si Mwaka wa calendar ya Hijiria bwashee?Unajua kuhusu huo mwaka ulianza kuhesabiwa kwasababu gani?
Mimi sijui mkuu labda uniambie wewe sababu!!!Unajua kuhusu huo mwaka ulianza kuhesabiwa kwasababu gani?
Tunajadili na hakuna kitu utafanya🤣View attachment 3561352
Kumekuwa na ujinga mwingi sana wa watu ambao hawajui chochote kuhusu Uislamu na kuwa kimbelembele kutoa majibu ya Uislamu,ikiwa wao tu hawajui imani yao vizuri kumjua yupi ni Mungu na yupi ni nabii/mtume ndio wataweza kweli kuujua Uislamu?
Nimepitia post kadhaa kuhusiana na mwandamo wa mwezi,wengi ambao sio waislamu ndio wa kwanza kuiponda Bakwata kwamba ni chombo sijui cha Ccm au sijui cha Serikali,huu ujinga mmeutoa wapi?
Yani kwakuwa tu sikukuu haikuangukia Ijumaa basi ujinga wenu,upuuzi wenu wote mnaulekeza kwa Bakwata, je mnajua kuhusu elimu ya figh ya dini ya kiislamu?
Kama hamjui sasa mnapata wapi gut za kuzungumzia kitu ambacho hamkijui? Yani sawa sawa na Mimi leo kobazi nizungumzie kuhusu Naziri wanazo weka makatekitsi au mafaza au mabraza,though nilipata elimu kidogo kuhusu hili lakini sina gut ya kueleza kama wakatoliki wenyewe
Uislamu katika elimu ya figh/ Sheria ya dini kuhusiana na ibada mbali mbali,inasema kuelekeza njia mbili ambazo waislamu wanaweza kufunga au kufungua kutokana na muandamo wa mwezi
Kuna ile kuona mwezi mahali popote pale na kuna ile kuuona mwezi kutokana na jografia ya zone husika,na hiyo ya kuona kutokana na zone ya nchi husika ukanda husika ndio ambayo imekuwa ikitumika karne na karne,sasa Leo hii Bakwata wakitumia njia hiyo ndio mnawaona vibaraka wa CCM au Serikali?
Stay away from our business!!!
Ni hayo tu!
Huo si Mwaka wa calendar ya Hijiria bwashee?
Kuhusu nini sasa wewe ndie uliesema!Nikuulize wewe
Mtaelewa tuTunajadili na hakuna kitu utafanya🤣
Mimi ndio nilisema?Sasa ulikuwa unamaanisha nini kusema mtoa mada anafuata kalenda hiyo?
Nimekuchanga kidogo tu umepotea hahahaKuhusu nini sasa wewe ndie uliesema!
Kuna jambo ulikusudia kwa kusema mtoa mada anatumia kalenda ya zama za mawe,ndio nataka kujua ulimaanisha niniMimi ndio nilisema?
Au umechanganya madesa?
Tumepoteana mbona hata wewe huelewi unachokiuliza na tunachozungumzia haya twende sawa enhee umesema?????Nimekuchanga kidogo tu umepotea hahaha
Rudi angalia alie QUOTE ni mimi kweli?Kuna jambo ulikusudia kwa kusema mtoa mada anatumia kalenda ya zama za mawe,ndio nataka kujua ulimaanisha nini
Mkuu jambo muhimu ni BAKWATA kubadilika siasa zao zimesha pita na wakati, mpaka wasio waislamu wameshituka, mkuu acha kupangia watu lipi la kujadili kama wanacho jadili sio Fatua au Quran ila upuuzi wa baadhi ya viongozi wetu sioni shida yote, wambie viongozi wa bakwata wabadilike waislamu wame elimika tayari.View attachment 3561352
Kumekuwa na ujinga mwingi sana wa watu ambao hawajui chochote kuhusu Uislamu na kuwa kimbelembele kutoa majibu ya Uislamu,ikiwa wao tu hawajui imani yao vizuri kumjua yupi ni Mungu na yupi ni nabii/mtume ndio wataweza kweli kuujua Uislamu?
Nimepitia post kadhaa kuhusiana na mwandamo wa mwezi,wengi ambao sio waislamu ndio wa kwanza kuiponda Bakwata kwamba ni chombo sijui cha Ccm au sijui cha Serikali,huu ujinga mmeutoa wapi?
Yani kwakuwa tu sikukuu haikuangukia Ijumaa basi ujinga wenu,upuuzi wenu wote mnaulekeza kwa Bakwata, je mnajua kuhusu elimu ya figh ya dini ya kiislamu?
Kama hamjui sasa mnapata wapi gut za kuzungumzia kitu ambacho hamkijui? Yani sawa sawa na Mimi leo kobazi nizungumzie kuhusu Naziri wanazo weka makatekitsi au mafaza au mabraza,though nilipata elimu kidogo kuhusu hili lakini sina gut ya kueleza kama wakatoliki wenyewe
Uislamu katika elimu ya figh/ Sheria ya dini kuhusiana na ibada mbali mbali,inasema kuelekeza njia mbili ambazo waislamu wanaweza kufunga au kufungua kutokana na muandamo wa mwezi
Kuna ile kuona mwezi mahali popote pale na kuna ile kuuona mwezi kutokana na jografia ya zone husika,na hiyo ya kuona kutokana na zone ya nchi husika ukanda husika ndio ambayo imekuwa ikitumika karne na karne,sasa Leo hii Bakwata wakitumia njia hiyo ndio mnawaona vibaraka wa CCM au Serikali?
Stay away from our business!!!
Ni hayo tu!
Wewe kuna kitu ulikusudia,sio kwamba sikijui,ila nilitaka nikuchekeche ujichanganye nikupe za uso,umeshtukaTumepoteana mbona hata wewe huelewi unachokiuliza na tunachozungumzia haya twende sawa enhee umesema?????
😅😅
Naona baada ya Ramadhani umeirudia Wanzuki na komoni mapema mpaka umechanganya madesa mapema hivi utakufa vibaya weweeee nakuhurumia!Kuna jambo ulikusudia kwa kusema mtoa mada anatumia kalenda ya zama za mawe,ndio nataka kujua ulimaanisha nini
Mkuu jambo muhimu ni BAKWATA kubadilika siasa zao zimesha pita na wakati, mpaka wasio waislamu wameshituka, mkuu acha kupangia watu lipi la kujadili kama wanacho jadili sio Fatua au Quran ila upuuzi wa baadhi ya viongozi wetu sioni shida yote, wambie viongozi wa bakwata wabadilike waislamu wame elimika tayari.
[SIZE=5]Waelimike katika nini? Katika kufuata mwezi wa kimataifa au[/SIZE]