Andromeda Galaxy
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 8,731
- 14,268
Hizi dini za kigeni zisitugawe na kutugombanisha
acha watu wajadili kila kitu wanachoona ila wewe kazi yako iwe kutoa facts na kutetea ndiyo Dini ilivyoenea kipindi cha mtume,kipindi cha Maswahaba,Kipindi cha Tab"iina na hata Tabi Tabi'iina na hata kipindi chochote tetea Acha kukataza..Huwezi kujadili kuhusu sheria ambayo ndio msingi wa ibada wa dini ya kiislamu,na kutoa maoni yako au mawazo yako
Jadili kuhusu mambo mengine lakini sio msingi wa ibada ambao kutoweko kwake basi kunafanya ibada nzima kuwa batili
Asante,nimekuelewaacha watu wajadili kila kitu wanachoona ila wewe kazi yako iwe kutoa facts na kutetea ndiyo Dini ilivyoenea kipindi cha mtume,kipindi cha Maswahaba,Kipindi cha Tab"iina na hata Tabi Tabi'iina na hata kipindi chochote tetea Acha kukataza..
mtu anayeogopa HOJa hana elimu ya kuitetea