Wasio waislamu msilete ujuaji katika mambo ya Uislamu

Wasio waislamu msilete ujuaji katika mambo ya Uislamu

we ndiyo mpuuzi unayeaminishwa uislam ni dini wakati ni mila na desturi za waarabu wa mashariki ya kati
Wewe hauna tofauti na kionngozi wa MALAWI kila unavyozidi kupanua mdomo wako unazidi kuharibu zaidi

Ngoja nikupuuze tu

Asante
 
Hakuna kitu kibaya kama kutoa tuhuma bila uhakika na kile unachokisema,umezungumzia kwamba Bakwata imeacha kuwatoa masheikh 20 huko kwenye kesi,je ulijua hiyo kesi ina uzito kiasi gani? Je ulitaka Bakwata iitishe maandamano ya waislamu wote kuandamana kudai masheikh watolewe,na lau ingefanya hivyo hapa mgekuja na nyuzi hapa kusema waislamu hawafuati sheria za nchi

Naweza sema mmefanikiwa pakubwa sana kuipa Bakwata jina baya hivyo kila jambo ambalo halipo sawa ni lawama kwa BAKWATA


Ndio natambua Bakwata kama taasisi nyingine ina mapungufu na makosa yake lkn si hekima wala busara kuitupia kila jambo baya
Yaani BAKWATA hawawezi kutoa tamko juu ya mamia ya mashehe waliosingiziwa kesi kuachiwa?
Kuwapa mawakili?
Tuhuma Zina uzito kiasi gani, si wapekekwe mahakamani haki ijulikane huko, mashehe wamekaa mahabusu miaka 20 ila BAKWATA wapo wanakula tende na kugombea mazulia

Me sio muislam ila napenda haki,
Waislam wapate haki zao,
Wapate chombo kingine tofauti na BAKWATA kitakachowaongelea

BAKWATA nawachukia mno Toka watumike kubariki mauaji ya Watanganyika oktoba 29,
 
waafrika wengi ni muslims, islam ni attractive kwa waafrika na black people kwa ujumla klk dini nyingine, dini nyingine ni ngumu kuziishi kwani zinataka responsibility sasa mwafrika hataki kuwa responsible na chochote anapenda kuishi kama ndege no rules, no responsibility for his actions, polygamy etc ndiyo maana islam iko attractive sana kwa waafrika, hata kama siyo muslims lkn inafit sana kwenye maisha ya mwafrika ya kila siku, ndiyo maana wako obsessed na islam wakati mwingine bila ya hata kujua.

chukulia tu kwa mfano budhism ya wachina na waasia kama korea na japan, ni ngumu kuifwata na kuiishi kwani inahitaji discipline, wanafanya meditation, abstinance from sex, ukimya unahitajika na siyo makelele sasa unafikiri mwafrika wa kawaida atayaweza hayo? aache kuonyesha dunia kama yeye ni kidume rijali ?

islam is the fastest growing religion in sub-saharan afrika, na sababu ni hiyo, inaendana sana na maisha ya mwafrika, mambo ya umwinyi, ukubwa na kupenda kuabudiwa ni sehemu ya package inayowavutia waafrika, anaweza kuoa na kuacha any time, no responsibility, anaweza ku maintain wanawake wengi kwa mara moja bila ya kuwa responsible na yoyote wala mtoto atakayezaliwa ni jukumu la mwanamke kumlea kwani yeye tayari keshasepa kwa next woman.

so usiwakasikirikie bali ulipaswa uwakaribishe ...
Huenda una la kuzungumza lakini umeshindwa kuunganisha mawazo yako na uhalisia,au umeongea tu kwa mapenzi yako.

Nitagusia machache,hizo dini za sijui Japan buddha,kwamba kuna meditation na discipline, huo ni utamaduni au dini?

Watu wanafuta kumuabudu Mungu mmoja wa kweli,ambaye anataka kuabudiwa na kufuata maamrisho yake na kuacha makatazo yake,na sio meditation

Unazungumzia sijui kuacha sex,wakati biblia inasema nendeni duniani mmkaijaze dunia,je tutaijaza bila sex? Panapo kuwepo ndoa je sex haipo?

BRO UNAONGEA VITU GANI?

Je,uislamu unazungumziaje kuhusu familia,UISLAMU umeweka mkazo mkubwa sana katika kulinda familia,huko kuachana sio kwamba ni sehemu ya dini,wala hakuna mafundisho yakuoa nna kuacha hovyo hovyo,tofautisha mafunzo ya dini na vitendo vya watu binafsi

BRO UNAZUNGUMZA NINI?
 
Yaani BAKWATA hawawezi kutoa tamko juu ya mamia ya mashehe waliosingiziwa kesi kuachiwa?
Kuwapa mawakili?
Tuhuma Zina uzito kiasi gani, si wapekekwe mahakamani haki ijulikane huko, mashehe wamekaa mahabusu miaka 20 ila BAKWATA wapo wanakula tende na kugombea mazulia

Me sio muislam ila napenda haki,
Waislam wapate haki zao,
Wapate chombo kingine tofauti na BAKWATA kitakachowaongelea

BAKWATA nawachukia mno Toka watumike kubariki mauaji ya Watanganyika oktoba 29,
Got you ,mistari yako ya mwisho kwenye comment yako yanaonyesha kwamba una chuki tu na Bakwata,kwahiyo hakuna ambalo litaeleweka kwako kwakuwa ni chuki tu binafsi

Hatuna la kujadili tena

Asante
 
Screenshot_20260112-083444 (1).jpg
 
Kama ambavyo tunaswali na kuskia ibada yote ingali haiwahusu waache wajadili Alimradi itikadi zao haziamui ibada zetu.

Usiwe kama babu kwenye picha hapo juu
 
Got you ,mistari yako ya mwisho kwenye comment yako yanaonyesha kwamba una chuki tu na Bakwata,kwahiyo hakuna ambalo litaeleweka kwako kwakuwa ni chuki tu binafsi

Hatuna la kujadili tena

Asante
Sawa Shehe wa BAKWATA
 
Hakuna migogoro yoyote ile kwa waislamu ambao wanajua mafundisho ya dini,migogoro ipo kwa wale ambao hawajitambui na ambao hawana elimu ya dini ya kiislamu
kwahiyo wasiojua huna habari nao mkuu?
 
BRO UNAONGEA VITU GANI?
Je,uislamu unazungumziaje kuhusu familia,UISLAMU umeweka mkazo mkubwa sana katika kulinda familia,huko kuachana sio kwamba ni sehemu ya dini,wala hakuna mafundisho yakuoa nna kuacha hovyo hovyo,tofautisha mafunzo ya dini na vitendo vya watu binafsi
BRO UNAZUNGUMZA NINI?

somalia na wasomali have the lowest iq in the world, i.e wasomali wana intelligence ndogo kuliko wote duniani, ni ~ 60, binadamu wa kawaida anayeweza kufanya simple task kwa mfano ukarani ana angalau iq ya kuanzia 80 ...
 
View attachment 3561352

Kumekuwa na ujinga mwingi sana wa watu ambao hawajui chochote kuhusu Uislamu na kuwa kimbelembele kutoa majibu ya Uislamu,ikiwa wao tu hawajui imani yao vizuri kumjua yupi ni Mungu na yupi ni nabii/mtume ndio wataweza kweli kuujua Uislamu?

Nimepitia post kadhaa kuhusiana na mwandamo wa mwezi,wengi ambao sio waislamu ndio wa kwanza kuiponda Bakwata kwamba ni chombo sijui cha Ccm au sijui cha Serikali,huu ujinga mmeutoa wapi?

Yani kwakuwa tu sikukuu haikuangukia Ijumaa basi ujinga wenu,upuuzi wenu wote mnaulekeza kwa Bakwata, je mnajua kuhusu elimu ya figh ya dini ya kiislamu?

Kama hamjui sasa mnapata wapi gut za kuzungumzia kitu ambacho hamkijui? Yani sawa sawa na Mimi leo kobazi nizungumzie kuhusu Naziri wanazo weka makatekitsi au mafaza au mabraza,though nilipata elimu kidogo kuhusu hili lakini sina gut ya kueleza kama wakatoliki wenyewe

Uislamu katika elimu ya figh/ Sheria ya dini kuhusiana na ibada mbali mbali,inasema kuelekeza njia mbili ambazo waislamu wanaweza kufunga au kufungua kutokana na muandamo wa mwezi

Kuna ile mkiona mwezi fungeni na ukionekana mwezi fungeni. Na hiyo ya kuona kutokana na zone ya nchi husika au ukanda husika ndio ambayo imekuwa ikitumika karne na karne,sasa Leo hii Bakwata wakitumia njia hiyo ndio mnawaona vibaraka wa CCM au Serikali?

Stay away from our business!!!

Ni hayo tu!
We try to stay away from your business, but unfortunately you bring your business to us here.

I frankly give zero fvcks about your business, until you make your business my business by bringing it here.
 
We try to stay away from your business, but unfortunately you bring your business to us here.

I frankly give zero fvcks about your business, until you make your business my business by bringing it here.
What matters most is that you’ve heard my message
 
Mara nyingi nawapuuza, sababu kuu ya kupuuza ni mihemko ya dini.
Mtu ana shupaza shingo kuongelea kitu hajui..
Basi tujadiliane, anatoa maneno ya hovyo chuki na matusi, huwa nawaacha..

Katika harakat zangu za maisha nishakuwa na mchizi, best kabisa mkristu geto 1 tupo A level hapo, siku tukianza kuiongelea physics ama namba tutaichambua wee, tutasolve wee.
Tukizungumzia dini, tunachangia vifungu tunavyojua, tunaelekezana wee, vifungu asivyovielewa namuelewesha.. hatujawahi pigizana kelele hata siku 1.

Sehemu pekee tulikuwa tunapiga stori za ushabiki ni boli, yeye barca mie mpenzi mkubwa wa falsafa za diego simeone
 
Mara nyingi nawapuuza, sababu kuu ya kupuuza ni mihemko ya dini.
Mtu ana shupaza shingo kuongelea kitu hajui..
Basi tujadiliane, anatoa maneno ya hovyo chuki na matusi, huwa nawaacha..

Katika harakat zangu za maisha nishakuwa na mchizi, best kabisa mkristu geto 1 tupo A level hapo, siku tukianza kuiongelea physics ama namba tutaichambua wee, tutasolve wee.
Tukizungumzia dini, tunachangia vifungu tunavyojua, tunaelekezana wee, vifungu asivyovielewa namuelewesha.. hatujawahi pigizana kelele hata siku 1.

Sehemu pekee tulikuwa tunapiga stori za ushabiki ni boli, yeye barca mie mpenzi mkubwa wa falsafa za diego simeone
Ujinga wa watu wengi humu ni kushindana au kuoneshana ujuaji,yani mtu anasoma post tayar ego yake inamuelekeza kureact in a negative way,huu ni utamaduni wa hovyo sana

Lau tungekuwa tunajadiliana na kuelimishana au kukosoana kwa hekima na busara,tungekuwa na mijadala yenye tija na faida kubwa sana

Kama ulivyo wewe nami huwa napuuzia sana mambo ya hovyo,nikiona kuna haja ya kusema kitu na kuweka walau mambo sawa ndio nafungua uzi kama hivi.
 
Ujinga wa watu wengi humu ni kushindana au kuoneshana ujuaji,yani mtu anasoma post tayar ego yake inamuelekeza kureact in a negative way,huu ni utamaduni wa hovyo sana

Lau tungekuwa tunajadiliana na kuelimishana au kukosoana kwa hekima na busara,tungekuwa na mijadala yenye tija na faida kubwa sana

Kama ulivyo wewe nami huwa napuuzia sana mambo ya hovyo,nikiona kuna haja ya kusema kitu na kuweka walau mambo sawa ndio nafungua uzi kama hivi.
Wengi wetu hatuna busara unakuta mkristu katukana, muislam nae anakuja anatukana, yani vurugu tupu.. ilibidi tujue pembeni ya hizi dini sisi ni watu wamoja ukitoa hapa jf tunapoleta ujuaji, kashfa na mengine, kwenye maisha kila siku tuna ndugu, jamaa, marafiki ambao sio dini zetu na tunaishi nao bila kutukanana, sasa iweje umtukane mtu kwenye keyboard?
 
Tatizo mnalazimisha kwenye hizo pumba za muarabu, mngeendelea wenyewe huko na mikanzu yenu usingeskia mtu akiwasema, Sasa ila unakuta ramadhani mnalazimisha watu wasile chakula huko Zanzibar, watu wasiotaka kujihusisha na chochote kwenye hiyo dini ya muarabu
 
Back
Top Bottom