Washindi wa wanachama bora wa JF 2022

Washindi wa wanachama bora wa JF 2022

Habari wana JF,

Jamii Forums inatambua mchango wa wanachama wake walioshiriki mijadala vizuri kwa mwaka 2022. Mchakato huo ulikuwa wa wazi na shirikishi. Kwa mujibu wa kura zilizopigwa hapa jukwaani washindi wetu ni kama ifuatavyo.

Jukwaa
Mshindi
Kura
Jokes​
47%​
Kilimo na Uvuvi​
68%​
Technology​
93%​
Celebrities​
28%​
MMU​
69%​
Siasa​
49%​
Michezo​
49%​
Afya​
58%​
Garage​
40%​
Lugha​
56%​
Elimu​
54%​
International & Kenyan​
62% & 83%​
Historia​
No competitor​
Photos & Habari na Hoja & Intelligence​
83% & 50% & 32%​
Biashara na uchumi​
42%​
Chef​
No competitor​
Sheria​
No competitor​
Entertainment​
82%​


Kwa wote ambao wametajwa katika orodha hii, mnaomba kuingia inbox ili kujua utaratibu wa kuchukua zawadi zenu Mtapokea ujumbe kutoka kwa ID official ya JamiiForums.

NB: Utaratibu wa kuchukua tuzo hautahusisha kufichua utambulisho wa mwanachama yeyote.

Hongereni sana.
Mbona hamsemi mnatoa zawadi gani?
 
Taikon ulipaswa uwe mmojawapo wa washindi maana nondo zako hapa siyo za kitoto. Inshallah mwaka kesho hutakosa!

Mungu ni Mwema Mkuu.
Kaka Mshana Jr ametuwakilisha watoa nondo.
Naamini wapo wengi humu wanashusha nondo Ila hatuwezi kuwa washindi wote.
Lazima mmoja atuwakilishe.

One love
 
Hahaha si kwa matusi ninayooga...
Hadi nimeyazoea nisipotukanwa naona sijakamilika

😂😂😂
Bila kutukanwa haya mambo hutoyaweza.
Wapo wafuasi watakutukana na Kura watakupa.
Na wapo watakutukana na Kura hawakupi.
Alafu wapo watakuchekea na kukupa maneno matamu huku wakikung'ong'a na Kura hawakupi.
Alafu wapo wanaokuchekea na kukufurahia na Kura watakupa.

Hivyo ndivyo mambo yalivyo kwenye hizi ishu.

Mimi huwaga namjibu MTU atakavyokuja, akitukana nampa anachokitaka. Akija vizuri namjibu vizuri. Hiyo ndio Haki.
 
Mimi huwaga namjibu MTU atakavyokuja, akitukana nampa anachokitaka. Akija vizuri namjibu vizuri. Hiyo ndio Haki.
Ewaaaaaa
Lakini me kuna muda huwa nawa ignore na hii huwa naona inawaumiza sana..
Hapa najipanga kushusha mada moja tata sana...
Lazima kwenye maisha uwe tofauti na wengine yani ufanye vile vitu ambavyo jamii inaviogopa kufanya
 
Back
Top Bottom