Washindi wa wanachama bora wa JF 2022

Washindi wa wanachama bora wa JF 2022

Uzi utaibua mengi tusiyoyajua. Usiniulize ni kwanini Kwa sababu ni sauti kutoka ndani yangu inaniambia hivyo. Ni sauti ambayo sijui inayotokea wapi ila naisikia Kwa mbali ikinieleza hivyo.(in Mayalla voice)

Kiufupi huu mchakato hakuwa wazi na shirikishi kama mleta mada alivyojielezea. Pia utaendelea kuwa wa kificho kama biashara ya bangi ndio maana zawadi zinatolewa kimya kimya.

Walioshinda wote hongereni ila Kuna washindi ukiwaangalia Kwa makini unagundua Jf sio home of GT Kama vile inavyoaminika. Au ndio kusema kwenye msafara wa mamba na kenge wapo
Watu time shiriki kwa kupiga kura wewe unasema mchakato haukua wa wazi na shirikishi ili bidi uka simamie zoezi zima ofisi za Jf
 
Kujikubali ndo mpangoooooo, [emoji23][emoji23][emoji23]
Life fupi hilii, naenjoy De moment niliyopo. Yajayo itajulikana huko huko.
Hongera mjukuu

Naona hata ban imebidi waifute tu ili uje usherehekee vizuri...

Ila upunguze kuwabana Wanayanga maana siku ile sijui ulikuwa umepatwa na nini [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Ningeshangaa uzi uishe bila shabiki yangu hata mmoja kujitokeza na kutolea tamko kunihusu, shukrani ziwafikie nyote.

Aisei kumbe haya mavitu yana zawadi, mbona mtanikoma kwa nyuzi nitakazokua nashusha kila siku.
Unanitafsiri Mimi kama shabiki Yako? Hapana umekosea Mimi sinaga ujamaa na WANGESE. Pia nakuchukulia kama btch unaetumia a.n.a.l
 
Back
Top Bottom