Usinisahau wakati unakula kichuriAsanteni Uongozi mzima wa JamiiForums na Mtani wangu JamiiForums Founder Maxence Melo
Ngoja nijifunze sasa Kuendesha Gari ili nikija Kukabidhiwa Hammer yangu nisishindwe Kuiendesha ( Jokes tu Jamani )
Wenye Wivu mjinyonge na mpasuke.
Cc: Greatest Of All Time, OKW BOBAN SUNZU,
Asante Mwenyezi Mungu
Asanteni Members Wote wa JamiiForums mlionipigia Kura
Asanteni Haters wangu wengi kwani Chuki zenu Kubwa Kwangu ndizo zimenipa Ushindi huu Kiuwepesi hadi napewa Zawadi hii ya Kutukuka
Asanteni Followers wangu 147 hapa JamiiForums
JamiiForums Ibarikiwe na Mbarikiwe.
Hata mimi naanza kuwa serious kuanzia sasa hivi. Ila watukumbuke na sie wachangiaji jamani maana sio wote wanaoweza kuanzisha uzi...Nianze kuwa siriaz mwaka huu 😂😂
Kila la heri and always jinenee na jitabirie mema/ushindimmh unanitia moyo tu acha nakadori nae aingie kule akapambane
nitapambana huku nako nione kama nitavuta uzi kamba ndefu
Nashukuru kura zangu hazikupotea bure!Habari wana JF,
Jamii Forums inatambua mchango wa wanachama wake walioshiriki mijadala vizuri kwa mwaka 2022. Mchakato huo ulikuwa wa wazi na shirikishi. Kwa mujibu wa kura zilizopigwa hapa jukwaani washindi wetu ni kama ifuatavyo.
Jukwaa Mshindi Kura Jokes 47% Kilimo na Uvuvi 68% Technology 93% Celebrities 28% MMU 69% Siasa 49% Michezo 49% Afya 58% Garage 40% Lugha 56% Elimu 54% International & Kenyan 62% & 83% Historia No competitor Photos & Habari na Hoja & Intelligence 83% & 50% & 32% Biashara na uchumi 42% Chef No competitor Sheria No competitor Entertainment 82%
Kwa wote ambao wametajwa katika orodha hii, mnaomba kuingia inbox ili kujua utaratibu wa kuchukua zawadi zenu Mtapokea ujumbe kutoka kwa ID official ya JamiiForums.
NB: Utaratibu wa kuchukua tuzo hautahusisha kufichua utambulisho wa mwanachama yeyote.
Hongereni sana.
Mwana ukomee na weweNimeachiwaa huru sasa,
Usiwaze,kura yangu tayari unayo in advancemmh unanitia moyo tu acha nakadori nae aingie kule akapambane
nitapambana huku nako nione kama nitavuta uzi kamba ndefu
Tutanguzanee na mie Fan wako tukachukue Zawadi zetu.Asanteni Uongozi mzima wa JamiiForums na Mtani wangu JamiiForums Founder Maxence Melo
Ngoja nijifunze sasa Kuendesha Gari ili nikija Kukabidhiwa Hammer yangu nisishindwe Kuiendesha ( Jokes tu Jamani )
Wenye Wivu mjinyonge na mpasuke.
Cc: Greatest Of All Time, OKW BOBAN SUNZU,
Asante Mwenyezi Mungu
Asanteni Members Wote wa JamiiForums mlionipigia Kura
Asanteni Haters wangu wengi kwani Chuki zenu Kubwa Kwangu ndizo zimenipa Ushindi huu Kiuwepesi hadi napewa Zawadi hii ya Kutukuka
Asanteni Followers wangu 147 hapa JamiiForums
JamiiForums Ibarikiwe na Mbarikiwe.




Hongera mkuu kumbe mnapewa mikoko?Asanteni Uongozi mzima wa JamiiForums na Mtani wangu JamiiForums Founder Maxence Melo
Ngoja nijifunze sasa Kuendesha Gari ili nikija Kukabidhiwa Hammer yangu nisishindwe Kuiendesha ( Jokes tu Jamani )
Wenye Wivu mjinyonge na mpasuke.
Cc: Greatest Of All Time, OKW BOBAN SUNZU,
Asante Mwenyezi Mungu
Asanteni Members Wote wa JamiiForums mlionipigia Kura
Asanteni Haters wangu wengi kwani Chuki zenu Kubwa Kwangu ndizo zimenipa Ushindi huu Kiuwepesi hadi napewa Zawadi hii ya Kutukuka
Asanteni Followers wangu 147 hapa JamiiForums
JamiiForums Ibarikiwe na Mbarikiwe.
hahahaaaaaa jitahidi ndugu yangu utapata tu siku mojaHata mimi naanza kuwa serious kuanzia sasa hivi. Ila watukumbuke na sie wachangiaji jamani maana sio wote wanaoweza kuanzisha uzi...
Mods toeni hata 5000 kwa wachangiaji
Kabisaaa.Najua kama hela ipo @cocaatic hataninyima soda apo
Hata Mwenyezi Mungu si tu aliuona bali Aliubariki zaidi na mapema tu Ushindi wangu.GENTAMYCINE na MshanaJR niliona mapema.
❤❤❤❤😋Kabisaaa.
ok ila nikiweka uzi uwe tayari kuutaayarikaUsiwaze,kura yangu tayari unayo in advance
😂 hapa wasimsahau DepalHata mimi naanza kuwa serious kuanzia sasa hivi. Ila watukumbuke na sie wachangiaji jamani maana sio wote wanaoweza kuanzisha uzi...
Mods toeni hata 5000 kwa wachangiaji
AaahahajaHata Mwenyezi Mungu si tu aliuona bali Aliubariki zaidi na mapema tu Ushindi wangu.
Huwezi kuwa Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer GENTAMYCINE halafu Mwenyezi Mungu asikupe Tunu / Shani za Ushindi, Mvuto na Baraka popote utakapokuwa.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!
Nimenyooka na kuwa mdogo km priton, sitaki tena heka heka, natulia kimyaa.Mwana ukomee na wewe
Hivi hauwazoei tu hawa nguchiii wanaojua kukera wenzio?
Usisahau kunitagok ila nikiweka uzi uwe tayari kuutaayarika