Wewe ukowapi boss kanunue power bank aina ya Oraimo ni og na imaraKutokana na umeme kutokuwa wa uhakika ni vyema kuangalia plan B.
Ni Wapi wanauza power bank za uhakika zisizo feki zenye guarantee?
Wadau wenye kujua tujulishane.
Asante brotherWewe ukowapi boss kanunue power bank aina ya Oraimo ni og na imara
Au njoo tukuuzie dukan tunazo nichek pmWewe ukowapi boss kanunue power bank aina ya Oraimo ni og na imara
Sijawahi Kuona swali la kipuuzi kama hiliKama hamna umeme na hiyo power bank utaicharge wapi?
Napima iQ yako, naona iko below 50Sijawahi Kuona swali la kipuuzi kama hili
Nenda mlimani city uhakika paleKutokana na umeme kutokuwa wa uhakika ni vyema kuangalia plan B.
Ni wapi wanauza power bank za uhakika zisizo feki zenye guarantee?
Wadau wenye kujua tujulishane.
Upo sasa brother , Hata sasahivi wamegundua betri za magari ya umeme zenye kuhifanyi chaji kwa umbali mrefu zaidi wa safari kuliko betri zote za kipindi hiki .Kuhusu suala la Powerbank Wachina tuwape maua yao,
Ni kweli wanaweza wasiwe wazuri kwenye bidhaa nyingine lakini kwenye masuala ya Battery wachina wako juu kuliko wazungu...
Hata kampuni nyingi za Ulaya na Marekani zinapofikiria suala la battery za uhakika kwenye product zao wanatumia zaidi makampuni ya China
Chukua Oraimo au Xiaomi wako vizuri sana
Zaidi sana Oraimo. Hutojutia.
Powerbank za Xiaomi huwa ni nzuri, around 80,000 hivi unaweza pata yenye Mah 20,000 na fast charging ya 50W ambayo ni multipurpose kusukuma vitu vingi tofauti na simu, Vitu vya kisasa vyenye usb C power delivery kama Laptop, Monitor, Feni etc utasukuma.Kutokana na umeme kutokuwa wa uhakika ni vyema kuangalia plan B.
Ni wapi wanauza power bank za uhakika zisizo feki zenye guarantee?
Wadau wenye kujua tujulishane.
China sababu ya Bei, ila Japan hana mpinzani tech ya battery.Kuhusu suala la Powerbank Wachina tuwape maua yao,
Ni kweli wanaweza wasiwe wazuri kwenye bidhaa nyingine lakini kwenye masuala ya Battery wachina wako juu kuliko wazungu...
Hata kampuni nyingi za Ulaya na Marekani zinapofikiria suala la battery za uhakika kwenye product zao wanatumia zaidi makampuni ya China
Chukua Oraimo au Xiaomi wako vizuri sana
Zaidi sana Oraimo. Hutojutia.
Yeah sure ni miaka 5 nilinunua oraimo enzi hizo niliku chaka tu chaka site ila bado ipo mpaka leo ina nisaidia kwa jinsi tanesco wanavyo tunyoosha na mgao.. bado ipo vizuri kama sikosei nilichukua elfu 45 au 55Kuhusu suala la Powerbank Wachina tuwape maua yao,
Ni kweli wanaweza wasiwe wazuri kwenye bidhaa nyingine lakini kwenye masuala ya Battery wachina wako juu kuliko wazungu...
Hata kampuni nyingi za Ulaya na Marekani zinapofikiria suala la battery za uhakika kwenye product zao wanatumia zaidi makampuni ya China
Chukua Oraimo au Xiaomi wako vizuri sana
Zaidi sana Oraimo. Hutojutia.
Unajua maana ya power bank?Kama hamna umeme na hiyo power bank utaicharge wapi?