Labda ukweli halisia tunaukimbia wenyewe huku tukiishi ukweli tuliotengenezewa na "control powers"

Eli Cohen

JF-Expert Member
Jun 19, 2023
1,309
4,017
Control powers ndizo zilizotujengea misingi na mipaka ya utafiti na matamanio yetu.

Dini, Mamlaka kuu za kutawala na Secret Societies ndizo hizi control powers.

Hivyo ni vyombo vitatu vinavyotuongoza akili zetu indirectly.

Hivi ndivyo vinavyo kuongoza ili uwe na mafanikio kiasi gani, uujue ukweli kiasi gani na uwapatie pesa kiasi gani huku ukibaki katika circle ya kuwa raia mwema huku pale tunapoenda tofauti na ukweli walio kusetia ndipo pale unapokuwa victim wa misingi yao.

Hivi ukweli ni upi, je ni huu ambao upo katika circle ya maisha yetu au ni ule ambao wachache wameujua na wameutumia kutu-control kwa kiwango wanachotaka wao.

What is the truth?, nini ukweli wa maisha yako?, ukweli wa dhumuni kuwepo hapa duniani lako ni lipi? Ukweli wa uchumi wa ukweli ni upi? Ukweli wa dini ya ukweli ni upi? Ukweli wa the highpower ni upi?

Je tumekuwa wavivu kuujua ukweli halisia au tumekuwa brainwashed kutoutambua na kuufata ukweli wanao turithisha katika institutions zao wanazotujengea.

Pale tutakopoujua ukweli halisia kuhusu sisi na wa uwepo wetu ndipo pale tutakapotambua uhuru wetu wa ukweli, uhuru wa kiakili na amani moyoni, ndipo pale tutakapokuwa matajiri wa imani zetu na wenye mali ambazo sio material bali ambayo ni kutokuwa na ukata.


Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Humanity is just a Project being ran by.........We are enclosed in such away the system itself seems to tougher to be understood..There are patterns that hold up our life..we live under matrix with complex patterns that govern reality..we die following patterns that guide us.. However (some one)?? can hack into the system and reality can be rearanged in any way she/he )wishes.. ..hapa ieleweke kwamba unaweza chezesha patterns za kuhusu death ikamwangukia mwingine katika nyakati tofauti ( Longevity reupgrade) but one day lazima utakufa coz our blue-print ilishafanya makubaliano ya kuishi huku ikiamini one day your body systems will shut down kisha kwenda huko ambako nako kuna a lot of sayings about life after death.

Lakini ukweli ni kwamba humanity was subjected under dynamics of different and multiple constructs ambazo kimsingi ni kukeep busy our understandings huku mambo mengine yanaendelea..

It seems our biological bodies just running under many layers of reality kwa hiyo possibly our common understandings about the current siuations seems to land in a tiny single entity of reality na huenda mwili wetu unajiratibu katika multiple active realities in response to........
Lakini tumeshakuwa limited kuperceive hizo projects zinazoendelea ndo mana tunakamilisha ule msemo wa Possibly humanity is just a project in continuity.

The big question comes, who is behind this ongoing project??..
Utajiuliza kwanini kizazi cha kike idadi yake ni kubwa kuliko kizazi cha kiume katika nyanja yote ya voumbe hai ...possibly life contuinity ni muhimu zaidi ili project iendele kuwa hai.

The project seems to be beneficial katika uelewa wa hali ya juu sana coz an ecosystem designed to harbor our life was set with a lot of conducive enveronments to let you not perish away until your case study is completely evaluated , where now a comand comes possibly from...... (somewhere???? ) to shut down your biological body activies hence your active blue print is taken for the next reupgrade.
And what if our life is just under the dome for the consciousness re-upgrade experiment??
Screenshot_20240224-232300_Instagram.jpg
 
Humanity is just a Project being ran by.........We are enclosed in such away the system itself seems to tougher to be understood..There are patterns that hold up our life..we live under matrix with complex patterns that govern reality..we die following patterns that guide us.. However (some one)?? can hack into the system and reality can be rearanged in any way she/he )wishes.. ..hapa ieleweke kwamba unaweza chezesha patterns za kuhusu death ikamwangukia mwingine katika nyakati tofauti ( Longevity reupgrade) but one day lazima utakufa coz our blue-print ilishafanya makubaliano ya kuishi huku ikiamini one day your body systems will shut down kisha kwenda huko ambako nako kuna a lot of sayings about life after death.

Lakini ukweli ni kwamba humanity was subjected under dynamics of different and multiple constructs ambazo kimsingi ni kukeep busy our understandings huku mambo mengine yanaendelea..

It seems our biological bodies just running under many layers of reality kwa hiyo possibly our common understandings about the current siuations seems to land in a tiny single entity of reality na huenda mwili wetu unajiratibu katika multiple active realities in response to........
Lakini tumeshakuwa limited kuperceive hizo projects zinazoendelea ndo mana tunakamilisha ule msemo wa Possibly humanity is just a project in continuity.

The big question comes, who is behind this ongoing project??..
Utajiuliza kwanini kizazi cha kike idadi yake ni kubwa kuliko kizazi cha kiume katika nyanja yote ya voumbe hai ...possibly life contuinity ni muhimu zaidi ili project iendele kuwa hai.

The project seems to be beneficial katika uelewa wa hali ya juu sana coz an ecosystem designed to harbor our life was set with a lot of conducive enveronments to let you not perish away until your case study is completely evaluated , where now a comand comes possibly from...... (somewhere???? ) to shut down your biological body activies hence your active blue print is taken for the next reupgrade.
And what if our life is just under the dome for the consciousness re-upgrade experiment??
View attachment 2915271
Waaaoh mkuu.

Humanity is such a big mystery.

Hata sisi wenye haya maisha na uwepo ila bado hatujielewi.

Ahsante for your knowlege

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Kitabu "The Case Against Reality" na mwandishi Donald Hoffman kinadai kwamba ukweli unaoonekana kwetu si uhalisi kamili, bali ni muundo unaotengenezwa na akili zetu ili kuendana na mahitaji yetu ya kuishi. Hoffman anasema kwamba ulimwengu halisi labda ni tofauti kabisa na jinsi tunavyouona.

Anapendekeza nadharia ya "interface ya mtumiaji wa mageuzi" ambayo inaeleza kwamba akili zetu zimebadilika ili kuunda toleo lililorahisishwa la ulimwengu linalotusaidia kuishi na kuzaa. Ulimwengu huu uliorahisishwa ni kama "interface ya mtumiaji" kwenye kompyuta, ambayo hutufanya tuweze kuingiliana na mfumo mgumu zaidi kwa njia rahisi.

Hoffman anatoa mifano kutoka kwa biolojia, saikolojia, na fizikia kuunga mkono nadharia yake. Kwa mfano, anaelezea jinsi macho yetu yanavyofanya kazi kuchuja habari fulani kutoka kwa mazingira yetu, na jinsi ubongo wetu unavyojaza mapengo ili kuunda picha kamili.

Kitabu hiki kinachochea mawazo na kina changamoto jinsi tunavyouelewa ukweli. Hata hivyo, baadhi ya wataalamu wanakosoa nadharia ya Hoffman, wakisema kwamba haina uthibitisho wa kutosha.

Ikiwa ungependa kujifunza zaidi kuhusu nadharia ya Hoffman, unaweza kusoma kitabu chake au kutafuta nakala mtandaoni.
 
Mwandishi anatoa hoja zake kwa kutumia mfanano wa michezo ya video. Katika mchezo wa video, kuna ukweli wa msingi ambao ni nambari na sheria za kompyuta, lakini mchezaji huona ulimwengu wa rangi na sauti unaotokana na nambari hizo. Hoffman anadai kuwa maisha yetu ni sawa na mchezo wa video, na ulimwengu tunaouona ni tokeo la michakato ya ndani ya akili zetu.

Anaendelea kuelezea kuwa mtazamo wetu wa ulimwengu umeumbwa na mageuzi ili kutusaidia kuishi na kuzaa. Kwa mfano, hatuoni mionzi ya ultraviolet kwa sababu haina maana kwa kuona kwetu, lakini ni muhimu kwetu kujua wakati wa kujikinga na jua. Akili zetu huchuja habari nyingi kutoka kwa mazingira na kuonyesha tu inayofaa kwa ajili ya kuishi kwetu.

Hoffman anamalizia kwa kusema kwamba ingawa ulimwengu tunaouona sio kweli kabisa, bado ni muhimu kwetu kuishi maisha yetu kana kwamba ni kweli. Tunaweza kutumia ufahamu wetu wa jinsi akili zetu zinavyofanya kazi ili kufanya maamuzi bora na kuishi maisha yenye maana zaidi.

Ni muhimu kukumbuka kwamba nadharia ya Hoffman ni mpya na bado inajadiliwa na wanasayansi na wanafalsafa. Watu wengine wanakubaliana na hoja zake, wakati wengine wanaona kuwa kuna udhaifu katika nadharia yake. Hata hivyo, "The Case Against Reality" ni kitabu cha kuvutia kinachotuchochea kufikiria upya ulimwengu unaotuzunguka. ASSISTED BY AI
 
There are patterns that hold up our life..we live under matrix with complex patterns that govern reality..we die following patterns that guide us..
📌📌
Well said..!
Bandiko lako linaamsha hisia na kufufua akili ya udadisi kuhusu dunia na ulimwengu kwa ujumla wake. Hakika haya mambo bado ni fumbo kubwa.
 
Kitabu "The Case Against Reality" na mwandishi Donald Hoffman kinadai kwamba ukweli unaoonekana kwetu si uhalisi kamili, bali ni muundo unaotengenezwa na akili zetu ili kuendana na mahitaji yetu ya kuishi. Hoffman anasema kwamba ulimwengu halisi labda ni tofauti kabisa na jinsi tunavyouona.

Anapendekeza nadharia ya "interface ya mtumiaji wa mageuzi" ambayo inaeleza kwamba akili zetu zimebadilika ili kuunda toleo lililorahisishwa la ulimwengu linalotusaidia kuishi na kuzaa. Ulimwengu huu uliorahisishwa ni kama "interface ya mtumiaji" kwenye kompyuta, ambayo hutufanya tuweze kuingiliana na mfumo mgumu zaidi kwa njia rahisi.

Hoffman anatoa mifano kutoka kwa biolojia, saikolojia, na fizikia kuunga mkono nadharia yake. Kwa mfano, anaelezea jinsi macho yetu yanavyofanya kazi kuchuja habari fulani kutoka kwa mazingira yetu, na jinsi ubongo wetu unavyojaza mapengo ili kuunda picha kamili.

Kitabu hiki kinachochea mawazo na kina changamoto jinsi tunavyouelewa ukweli. Hata hivyo, baadhi ya wataalamu wanakosoa nadharia ya Hoffman, wakisema kwamba haina uthibitisho wa kutosha.

Ikiwa ungependa kujifunza zaidi kuhusu nadharia ya Hoffman, unaweza kusoma kitabu chake au kutafuta nakala mtandaoni.
Kabisa mkuu.

Ahsante kwa mchango mkuu

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom