Wapi nitapata headphones zenye akili?

Sio headphones mkuu, nadhani unamaanisha zile za kufit maskioni ambazo kimsingi ni earphones/earpiece/earbuds.
Mie pia nakutana na changamoto kama hio maana earphones nyingi mbaya na mbovu (naziitaga manyanga), Moshi na Arusha ndio waweza pata za quality nzuri na brand nyingi maana zinatoka Nairobi.
 
Ni kweli zinazokuja na simu zinakaa sana mimi nimetumia nokia hadi miaka 6 inadunda tu. Tatizo ni mziki ni mwembamba mimi nataka subwoofer za masikioni.
Najiona mimii! Kwa kweli nisiposikia mziki wa Sony XPloD maskioni mwangu sina raha.
Earphone ziwe inner ear nikidownload na kitu cha Selenium Player baaas!!! Watu wananiambiaga tu mwanangu huu mziki kama wa zile gari ziliofungwa speaker kubwa na booster!
 
Skull Candy nishatumia earphone zao zinakita sana. Inshort zilifikia expectation zangu kwa kiasi kikubwa!
 
Ex 088 zilitamba sana chuga,Nairobi pia ndio zilipotokea

Skuiz wanazo fake kariakoo..yani hazipig kabisa
Kiboko ya EX ni Rock zircon hatar hizo alaf bei chee tu.

Sent from my SM-G920P using Tapatalk
 
Zinadumu, material yake yapoje!? Na sound yake iko bassy with clarity. Kuna earphone za LG G4 nazo zina mziki mzuri balaa ila hauna bass sana!
 
Ex 088 zilitamba sana chuga,Nairobi pia ndio zilipotokea

Skuiz wanazo fake kariakoo..yani hazipig kabisa
Kiboko ha EX ni Rock zirkon hatar hizo alaf bei chee tu.

Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Rock Zirkon nazipata wapi mwanetu?

Kuna ninazo zinaitwa Konycoi nilinunua Moshi nazo zimeshazingua yani sikio moja limepungua sauti zinaniboa ila natumia tu nifanyeje. Nilitaka nikajaribu zile AKG japo najua kuna feki ambazo hazipigi ila zinasifiwa sana.
 
Kama ni mpenzi wa Bass Akg atleast hizi zinazokuja na Samsung hazikufai.
 
Rock zircon bongo hakuna,,mim nilinunua ali express mkuu

Zinapiga sana kwa budget poa

Nimechek hao wanaitwa earphonetz nao manazi tu hawana earphone.

Sent from my SM-G920P using Tapatalk
 
Kama ni mpenzi wa Bass Akg atleast hizi zinazokuja na Samsung hazikufai.
Dah Samsung zile earphone zao walizotoa kuanzia galaxy S2 mpaka S4 zile nyeupr za inner ear zilikuwa zina mziki mzuri sana yani well balanced bass and treble na material yake ilikua rubber inadumu sana.

Ila hizo AKG sijawahi zielewa zote nilizokutana nazo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…