Wanawake wenzangu mnawezaje kumsamehe a cheating husband?

Wanawake wenzangu mnawezaje kumsamehe a cheating husband?

Na umewahi fanya utafiti zamani kina mama walikuwa wanabambikia Sana kina baba watoto wasio wao,umejiuliza kwa nini,mwanamke ukimcheat akijua kovu lake ili lipone lazima litibiwe na jinsia ya kiume.ukiona unacheat halafu mkeo hajali Basi jua Kuna kidume kinamkuna kuliko wewe,ndio Ile inaitwa stage ya kulea watoto...mwanamke asipokuwa na mbadala hawezi kumove on endapo tabia za mume zimemchosha..sema wanawake wasiri Sana kuhofu ndoa kuvunjika.hakuna mwanamke mwaminifu kwa mwanaume mzinifu unapewa wa kufanana naye
Acha waendelee kujidanganya.

"To every action there is equal and opposite reaction"

When you do me i do you.


Kitu wasichokijua wanaume ni kwamba wanawake ni watu wenye akili na siri sana.
 
Hongera mkuu, six months bila utam ni kifungo, the good thing is mnaependana. Kusingekuwa na upendo huenda ungeshindwa kuvumilia, usingeamua kwa dhati huenda ungeshakuwa na jiko dogo, but upendo hushinda yote na huvumilia yote.

Wanaume wengi wameshindwa kabisa wake zao wakiwa wajawazito, 80% au zaidi ya cheatings hutokea kipindi hiki ambacho kwa kweli ukimgusa unahisi kabisa unamuonea. Wengine tunavumilia, wengine hawawezi.
Ni kweli boss wangu hawa wenzetu hawa wenzetu wangetusamehe tuu kwa kweli sio hatuwapendi ila inalazimika, nasi kila wakati bali ni kwa nyakati fupi tuu. Lakini uaminifu huunganishwa na upendo kama ulivyosema ni sahihi bila la upendo uaminifu hua ni mdogo.
 
Usimsamehe njoo nikutibu machungu yako kwan ye aweze kuchepuka ana nin na ww ushindwe kuchepuka kunani?[emoji41][emoji41]
 
Haha cocastic bwana!!
Bila ya shaka na wewe ni mhanga kwa namna moja ama nyingine.
Pole wewe ndugu. Ujue tu maisha ni kanuni na kanuni hazibadiliki, watu wanabadilika ila sio kanuni.
Umeshasema n zamani na sio sasa, hebu tupishe hukoo bandiko lefu afu una andika utopolo wa zama za mababu, wakati tupo zama za wajukuu,
Wee baki na mkeo, na ujue ukicheat tyuuh akijua anapeleka nyapu nae nje kukunwa vema. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeh sana.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli ndugu, na hilo ndilo ningependa mjifunze kwao.
Sio kwamba walikua hawatoki la! Na sio kwamba waliokua wanatoka ni wababa tu hapana!
Na hata ule usemi wa kitanda hakizai haramu ndiko ulikotokea. Yote haya yalitokea enzi na enzi ndoa zilidumu na maisha yalienda na leo tupo. Tujifunze kwao.
Na umewahi fanya utafiti zamani kina mama walikuwa wanabambikia Sana kina baba watoto wasio wao,umejiuliza kwa nini,mwanamke ukimcheat akijua kovu lake ili lipone lazima litibiwe na jinsia ya kiume.ukiona unacheat halafu mkeo hajali Basi jua Kuna kidume kinamkuna kuliko wewe,ndio Ile inaitwa stage ya kulea watoto...mwanamke asipokuwa na mbadala hawezi kumove on endapo tabia za mume zimemchosha..sema wanawake wasiri Sana kuhofu ndoa kuvunjika.hakuna mwanamke mwaminifu kwa mwanaume mzinifu unapewa wa kufanana naye
 
Kutokuwa na kipato unamtegemea tu mwanaume
Kuona aibu kuachika kisa jamii
 
Sikusema mke wangu ha-cheat. Nimesema mimi si-cheat. Siwezi kuisemea nafsi yake. Kama una-cheat fanya hivyo na shetani wako. Usitake kuaminisha watu kuwa ku-cheat ni lazima.
Wengi wa waaminifu ni kwa muda kiasi gani? Maana unaweza kujitapa wewe ni mwaminifu kumbe ndoa yako ina miaka miwili tu [emoji23][emoji23]

Ukifikisha miaka 30 kwenye ndoa yako na uwe hujacheat njoo hapa useme maana naungana nawe kwenye hilo la kukataa kwamba kila man anacheat kwa msimamo wa state inayozungumziwa ni ya muda gani pia inategemea sana mkeo yupo vipi ukikutana na asiyemjua Mungu kucheat ni asilimia kubwa tu.
 
  • Thanks
Reactions: amu
basi kasirika usimpende tena kama vipi nawe kachepuke na huyo ambaye utakuwa wake peke yake naye atakuwa wako peke yako tu. yani hadi amekuomba masamaha bado unaona kabisa humuheshimu ....kama humuheshim utena ndio mwisho wa ndoa we jiandae kudanga sasa......eti mwanaume wa peke yako....kwanza sisi hata kama hatutaki inatokea tu kuchepuka japo unapendwa ni ajali tu sasa wewe sassa usimpende tena usimuheshimu kasake mwanaume ambaye utaona unampenda .......
 
Mwenzenu yamenikuta na kusema za ukweli nashindwa kabisa kuelewa namna ya kutoka hapa na kusonga mbele.

Ni mume nilompenda sana sana sana. Mungu katujaalia two beautifull kids na mengine ambayo am greatfull for. Tuliishi kwa upendo,furaha na amani hadi miezi 8 ilopita nilipogundua kuwa nilivyomdhania mume wangu sivyo alivyo.

Kwakuwa nampenda na kumfahamu sana mume wangu, kuna kitu nilikuwa tu nakihisi hakiko sawa kwa muda. Baadae nikagundua he was cheating. Yaani sitaki kuelezea mstuko niloupata na jinsi ninaumia jamani. Japo aliomba sana msamaha and all that ila moyo wangu umekufa ganzi wapendwa.

Mume nilompenda sana kwasasa namuona kama jirani yangu tu, hata hamu nae sina kabisa na hata tendo la ndoa ni kama ananibaka tu. Tushaongea sana, tushakwenda hadi vacation sie wawili tu ila sioni kinachobadilika. Akisafiri kikazi au mimi nikisafiri najisikia amani zaidi and i dont miss him kabisa.

Kuna wakati nilimuomba some alone time nifikirie kuhusu mustakabali wa hii ndoa, alinipa huo muda na kwa kipindi hicho cha wiki moja kichwani mwangu nilishangaa kunazunguka watoto wetu tu na sio mume wangu. Sijamueleza mtu yeyote kuhusu hili hata mama yangu wala mshenga wetu ila linanitafuna hatari.

Wenzangu mnawezaje kusamehe wanaume wanaowacheat na kurudi katika hali zenu za kawaida? Maana mie kwasasa mume wangu namuonaje sijui, nae naona hali hii inamtesa ila ndio hivyo tena[emoji134]
Sijisikii kumpenda wala kumheshimu tena, naona kama hadeserve kwa kutokuithamini na kuivuruga ndoa yetu.
Pole sana.
Ila kubwa katika yote ni kusamehe na maisha yaendelee.
Afya ya Familia yani baba mama na watoto ni kuishi pamoja kwa umoja na upendo, kubwa kwako na la kujivunia nikuina mumeo anajutia kosa alilotenda amejishusha kutaka umusamehe, msamehe na sahau.
 
Unapoteza muda kwa jambo ambalo halibadiriki,wewe umekulia kwenu the same kwake,hio ndio tabia yake halisi na usidhani unaweza kuicontrol. Nyumba ni mwanamke na wewe ndie umekuwa mkewe na anakuheshimu hilo ndio mhimu sana.
Kama anakuomba msamaha usishupaze shingo yako,msamehe na muonye,rudisha moyo,ongeza upendo.
Wengine hata huo msamaha hawaombwi.
Ukimuonya sio ataacha angalau ataficha sana hayo makando,the less you know the better.
Ukikomaa sana unaivunja ndoa mwenyewe ila ujue hata umpate nani yatajirudia tu mambo hayo.
Mwisho. Usijaribu kulipiza, mwanaume hawezi kujari kama amekucheat au lah! Joto la jiwe utaliona na rangi zake zote utaziona.
Word!!!
 
Mwenzenu yamenikuta na kusema za ukweli nashindwa kabisa kuelewa namna ya kutoka hapa na kusonga mbele.

Ni mume nilompenda sana sana sana. Mungu katujaalia two beautifull kids na mengine ambayo am greatfull for. Tuliishi kwa upendo,furaha na amani hadi miezi 8 ilopita nilipogundua kuwa nilivyomdhania mume wangu sivyo alivyo.

Kwakuwa nampenda na kumfahamu sana mume wangu, kuna kitu nilikuwa tu nakihisi hakiko sawa kwa muda. Baadae nikagundua he was cheating. Yaani sitaki kuelezea mstuko niloupata na jinsi ninaumia jamani. Japo aliomba sana msamaha and all that ila moyo wangu umekufa ganzi wapendwa.

Mume nilompenda sana kwasasa namuona kama jirani yangu tu, hata hamu nae sina kabisa na hata tendo la ndoa ni kama ananibaka tu. Tushaongea sana, tushakwenda hadi vacation sie wawili tu ila sioni kinachobadilika. Akisafiri kikazi au mimi nikisafiri najisikia amani zaidi and i dont miss him kabisa.

Kuna wakati nilimuomba some alone time nifikirie kuhusu mustakabali wa hii ndoa, alinipa huo muda na kwa kipindi hicho cha wiki moja kichwani mwangu nilishangaa kunazunguka watoto wetu tu na sio mume wangu. Sijamueleza mtu yeyote kuhusu hili hata mama yangu wala mshenga wetu ila linanitafuna hatari.

Wenzangu mnawezaje kusamehe wanaume wanaowacheat na kurudi katika hali zenu za kawaida? Maana mie kwasasa mume wangu namuonaje sijui, nae naona hali hii inamtesa ila ndio hivyo tena[emoji134]
Sijisikii kumpenda wala kumheshimu tena, naona kama hadeserve kwa kutokuithamini na kuivuruga ndoa yetu.
Pole sana sana mpendwa..maumivu ya kusalitiwa na uliyempenda, kumuheshimu na kumjali na kuamini inauma sana tena sana..sijui kwanini watu wengine find this post to be funny..inasikitisha sana..
Nikwambie kitu...mama dunia imeisha, dunia imeharibika..ndoa siku hizi imepoteza heshima..watu wanashabikia uzinzi na zinaa...zinaa sio ya kuogopwa tena...ona wanaume wa humu wanavyoshabikia, ona wanawake wenzio wanavyorespond kwa kukata tamaa...kwakweli sijui mustakabali wa familia zitakazo kuja kuwepo after ten years...
Usimuache mumeo, tanguliza kwanza maslahi ya watoto..omba Mungu sana akupe moyo wa kusamehe na hekma ya kukabiliana na jaribu hili..kila mwanamke kwenye ndoa lazima ameshakumbana na jaribu hili..na kama mwanamke hujakumbana nalo jua tuu siku yaja tena sanyingine accidentally unajikuta you are presented with ushahidi kwa bahati mbaya bila hata ya kukusudia..
Jiandae kisaikolojia kuishi na maumivu haya...ila ukimtanguliza Mungu, ukabadili vipaumbele na kuweka furaha yako mbele na wekeza on your well being..kama una shughuli ya kukuingizia kipato focus on it kama huna anza kujishughulisha na kujikeep busy..treat yourself well, nenda kwenye spa, buy yourself gifts..be a little selfish...tumia muda na wanao wapeleke kubembea au kwenye michezo..kua busy mama..siku zitaenda..and you will be fine..
Afya yako ya mwili na akili ni muhimu mnoo kipindi hiki..mimi nakumbuka mpaka nilipigiwa simu na mwalimu wa mtoto akiniuliza kwanini siku hizi sikagui homework za mtoto..nililia kwa uchungu sana nikashtuka kua suala hili linaafect nyanja zote za ustawi wa familia am 35 yrs lakini nilikonda mpaka 46 kgs..presha ilikua chini all the time, nilijichukia, nilijidharau na kujiuliza maswali mengi yasiyo na majibu...i prayed iwe ni ndoto tuu..lakini hapana..it was a reality....bila Mungu kukuongoza katika jaribu hili unaweza kufanya maamuzi mabaya yasiyo sahihi.
Usijisumbue kumueleza mama yako...atakuambia vumilia..
Kumbuka kua hajakukosea wewe kuliko anavyomkosea Muumba wake, wala hawezi kukuumiza wewe kuliko aliyemuumba, haukuja kwenye maisha yake uwe mhesabuji wa dhambi zake sababu hata akiwa mkamilifu huna mbingu ya kumpeleka na akiwamkosefu huna mamlaka au jehanam ya kumpeleka..usijishughulishe na madhambi ya mtu mzima..wewe na wanao muwe kipaumbele kwako...

Nakutakia kheri and i cant wait for the feedback
 
Wanadhani hao wamama walikuwa wanavumilia burebure tena walikuwa wachepukaji matata sana tena walikuwa wanazaa nje sana tu.
Tena wengi sana kama umeishi kijijini hizi habari ni nyingi sana, lakini wababa huchukulia kitanda hakizai haramu, mpaka sasa kuna mkaka alikuwa rika moja na ndugu yangu mtata sana kwa baba yake, baada kuuliza kumbe mama alichepuka ni wazee kabisa, halafu mzee alikuwa mtata balaa

Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
 
Haha cocastic bwana!!
Bila ya shaka na wewe ni mhanga kwa namna moja ama nyingine.
Pole wewe ndugu. Ujue tu maisha ni kanuni na kanuni hazibadiliki, watu wanabadilika ila sio kanuni.
Sasa ndo nakuambia km n kanuni au taratibu hata sheria zinavunjwa na sio kubadilishwa,
Kaa na hiyo logic, ila jua uki cheat mkeo akajua lazma apeleke nyapu nje. Hilo halina pingamizi.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Apeleke tuu tena apekeleke sana ilimradi akirudi ile heshima ya mke kwa mume haishuki! Vile sikumtoa bikra mimi vipi niwe na presha
Sasa ndo nakuambia km n kanuni au taratibu hata sheria zinavunjwa na sio kubadilishwa,
Kaa na hiyo logic, ila jua uki cheat mkeo akajua lazma apeleke nyapu nje. Hilo halina pingamizi.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Kwahiyo wewe kila mwanamke akiwa na mavazi yasiyo na staha unategeka?
Basi huna kazi ya kufanya kama upo busy na kutafuta pesa sizani!

Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
Hapana! Kuna wale wenye maumbile yanayopaswa kufichwa kwa madela yanayofika mikuuni tu! Siyo wote!🤣😂🤣!
 
Back
Top Bottom