Wanawake wenzangu mnawezaje kumsamehe a cheating husband?

Wanawake wenzangu mnawezaje kumsamehe a cheating husband?

Pole sana sana mpendwa..maumivu ya kusalitiwa na uliyempenda, kumuheshimu na kumjali na kuamini inauma sana tena sana..sijui kwanini watu wengine find this post to be funny..inasikitisha sana..
Nikwambie kitu...mama dunia imeisha, dunia imeharibika..ndoa siku hizi imepoteza heshima..watu wanashabikia uzinzi na zinaa...zinaa sio ya kuogopwa tena...ona wanaume wa humu wanavyoshabikia, ona wanawake wenzio wanavyorespond kwa kukata tamaa...kwakweli sijui mustakabali wa familia zitakazo kuja kuwepo after ten years...
Usimuache mumeo, tanguliza kwanza maslahi ya watoto..omba Mungu sana akupe moyo wa kusamehe na hekma ya kukabiliana na jaribu hili..kila mwanamke kwenye ndoa lazima ameshakumbana na jaribu hili..na kama mwanamke hujakumbana nalo jua tuu siku yaja tena sanyingine accidentally unajikuta you are presented with ushahidi kwa bahati mbaya bila hata ya kukusudia..
Jiandae kisaikolojia kuishi na maumivu haya...ila ukimtanguliza Mungu, ukabadili vipaumbele na kuweka furaha yako mbele na wekeza on your well being..kama una shughuli ya kukuingizia kipato focus on it kama huna anza kujishughulisha na kujikeep busy..treat yourself well, nenda kwenye spa, buy yourself gifts..be a little selfish...tumia muda na wanao wapeleke kubembea au kwenye michezo..kua busy mama..siku zitaenda..and you will be fine..
Afya yako ya mwili na akili ni muhimu mnoo kipindi hiki..mimi nakumbuka mpaka nilipigiwa simu na mwalimu wa mtoto akiniuliza kwanini siku hizi sikagui homework za mtoto..nililia kwa uchungu sana nikashtuka kua suala hili linaafect nyanja zote za ustawi wa familia am 35 yrs lakini nilikonda mpaka 46 kgs..presha ilikua chini all the time, nilijichukia, nilijidharau na kujiuliza maswali mengi yasiyo na majibu...i prayed iwe ni ndoto tuu..lakini hapana..it was a reality....bila Mungu kukuongoza katika jaribu hili unaweza kufanya maamuzi mabaya yasiyo sahihi.
Usijisumbue kumueleza mama yako...atakuambia vumilia..
Kumbuka kua hajakukosea wewe kuliko anavyomkosea Muumba wake, wala hawezi kukuumiza wewe kuliko aliyemuumba, haukuja kwenye maisha yake uwe mhesabuji wa dhambi zake sababu hata akiwa mkamilifu huna mbingu ya kumpeleka na akiwamkosefu huna mamlaka au jehanam ya kumpeleka..usijishughulishe na madhambi ya mtu mzima..wewe na wanao muwe kipaumbele kwako...

Nakutakia kheri and i cant wait for the feedback
Bora wewe una experience na Umemshauri vizuriii kulaa Vislay Queen hapa hata mimba hajawai bebaaa vinamshaurii ujingaaa tu...
 
Hapana! Kuna wale wenye maumbile yanayopaswa kufichwa kwa madela yanayofika mikuuni tu! Siyo wote![emoji1787][emoji23][emoji1787]!
Haa haa kwahiyo nikutegeka tu [emoji23][emoji18]
 
Unamshauri mwenzio hivyo, we mbona hufanyi hivyo, usiulize nimejuaje.
Na wewe chepuka tu hapo kilichobaki nikulea watoto cheating haisameheki kabisa hasa mtu uliye mwamini, Hawa viumbe huua nyege za wake zao. Nakuhurumia maskini kiukweli na wewe chepuka tu ngoma droo wallah
 
Huyo mwanaume kama ameomba msamaha,nae ni kiazi..anatakiwa kukana everything....

Na huyo mwanamke kama anajitia hana mapenzi nae tena,ni well and good,na akijitusu tu nae a-cheat akishikwa ndio ndoa inafia hapo hapo siku hiyo hiyo.

Na kama ukikaa humo ndani ndio unajifanya humpendi tena,viburi,etc,unajipoteza tu maana huo usumbufu wa kukaa kama alien ni wako and he never cares what you actually feel maana nobody is in your heart or brain,she will sit on that shit...

Hivi viwanawake mume aki-cheat vinapaniki kupita maelezo ni visichana vya hovyo vyenye feminism ndani na vyenye theory ya mashindano
Nimecheka Sana but nimekuelewa[emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnajipa taabu bure
Maandiko ya Biblia yalishasema jukumu la mke ni kumtii mume wake na la mume ni kumpenda mke wake sasa ninyi siku hizi mmeamua kupenda [emoji23][emoji23][emoji23] yaani mlishavunja kanuni na mtateseka sana.Wewe ulipaswa ukae umwite umwulize kwa upole tu nini kilisabababisha akacheat atawambia na akikwambia ukweli wote usijekimbilia kuwa amekunanga ukazidisha hasira zako dhidi yake maana ndiyo zenu hampendi kuambiwa ukweli.
Wanaume wengi wanatazama sana utii na kujituma nyumbani kwa wake zao ukiteleza kidogo ni simple kumkuta mme keshaanzisha mahusiano ya temporary au permanent .Kila anachokataa mme wako usibishane nae utaumia maana huwa wana maamuzi ya kimya kimya sana na ndiyo hayo uliyoyaona.Ukimpata mwanamme asiyecheat hakikisha wajibu wako kibiblia upo kuanzia kumlinda kwa maombi na kumtii hapo utasalimika ila ukiwa hufuati kanuni hizo si rahisi kumweka mwanamme kwenye himaya yako peke yako.

Mwanamme hata akikwambia sipendi kukuona unacheka na mtu fulani ukijibu kejeli au fyongo ukidhani ni kawaida tu unaweza kula jeuri yako kimya kimya yaani hawachelewi kuhitimisha kwamba huyo mtu umemwona ni muhimu nao wakakutafutia msaidizi nakwambia wanaume mara nyingi huamua mambo kwa kutegea kutotimiza wajibu kwa wanawake wao.Huenda uliwahi kukosea mahali ila ukapuuzia tu ndiyo maana amekutendea hivyo
Fact kuu hii
 
Dada za kuambiwa changanya na zako.Mi sikushauri umuache huo ndo ukubwa na ndio kuolewa.Zinaa ni dhambi lakini sema na Mungu,ameomba msamaha,msamehe kingine usimuamini 100% binadamu mwenzio.Najua unaumia kwa kua uliwekeza akili yako yoote na limoyo hukoo then ukute ile kujisifu kwa Sana kwa mashosti kua wa kwako hanaga Tabia hizoo(malaika)unamuamini.Hao ndo wanaume Dada vumilia tu wangu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dada za kuambiwa changanya na zako.Mi sikushauri umuache huo ndo ukubwa na ndio kuolewa.Zinaa ni dhambi lakini sema na Mungu,ameomba msamaha,msamehe kingine usimuamini 100% binadamu mwenzio.Najua unaumia kwa kua uliwekeza akili yako yoote na limoyo hukoo then ukute ile kujisifu kwa Sana kwa mashosti kua wa kwako hanaga Tabia hizoo(malaika)unamuamini.Hao ndo wanaume Dada vumilia tu wangu.


Sent using Jamii Forums mobile app

Hapo ulipoweka “ Hao ndo wanaume Dada” I bet ulitaka uweke “ wanaume wote mbwa “
 
Kanuni ni moja tu

Ikitokea nikachiti ni kwa siri sana ikitokea mrs akanibamba ataamua mwenyewe kuniacha au kunisamehe lkn mi nikimbamba haina msamaha ni off you go

usiishi na mwanamke mzinzi.......
Azinie na mwanamke hana akili kabisa....

Kikao chema wanaume wenzangu

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Mkosaji ni mume wako, kama amekiri na kuomba msamaha,basi,amani ya Nafsi yako na mwenza wako itategemeana na maamuzi yako ya kusamehe na kupuuza.

Kama unampenda kweli usije ukajaribu kulipa kisasi kwa kuchepuka,pia usipende kutegemea ushauri kwa watu wengine kwenye masuala ya ndoa maana unaye muomba ushauri yeye mwenyewe yupo kwenye mgogoro japo utakuwa tofauti na wako. Ukisikia "wanaume wote ni mambwa tu" ujue naye kaumizwa ila kiukweli sisi sio mambwa. Tukiomba msamaha ujue ni wa dhati kabisa.

Msamehe baby wako pluziii,anateseka huko alikoView attachment 1521897
Kabisa! Ataombaje msamaha? Wakat alitakiwa atengeneze visa mpaka mwanamke mwenyew ajione mkosaji
 
Ukweli ni kwamba cheating haisahauliki labda kama na wewe unachitiga.

Mkeo au mumeo akikuchiti huwezi sahau maisha yako yote. Ni Mungu tu ndo anayeweza kukupa nguvu za kuvumilia kuendelea kuishi naye, vinginevyo unaweza mvizia mwenzio usiku kalala umchome kisu umuue bure!

It's not that easy
 
Ukweli ni kwamba cheating haisahauliki labda kama na wewe unachitiga.

Mkeo au mumeo akikuchiti huwezi sahau maisha yako yote. Ni Mungu tu ndo anayeweza kukupa nguvu za kuvumilia kuendelea kuishi naye, vinginevyo unaweza mvizia mwenzio usiku kalala umchome kisu umuue bure!

It's not that easy
I agree with you, na Kama ni mwaminifu lazima unaweza kufanya maamuzi magumu, that's why advice people to have vidumuzi, maana hata ukijua utampuuzia na maisha yanaendelea kawaida.
 
Nikisomaga komenti za wababa humu Jf huwa najikuta nakata tamaa na siku yangu inaharibika kabisa. Ndio maana huwa sipendi kufungua nyuzi zinazohusu mambo ya ndoa
Mkuu hayo ni maneno tu yanatamkwa ni tofauti na matendo.. Kuchepuka kupo lakn sio wote wanachepuka wapo wanaume ambao hawana muda kabisa na michepuko yaani malijali lakn hana sababu ya kuchepuka.

Chamsingi ww ni kujiamini ktk mahusiano au ndoa yako na kumuamini mwenzio, halafu acha kupekenyua simu yake, kuna wanawake wapo kwaajili ya kutafuta ubaya tu kwa wenza wao muda wote ni kufukunyua ajue tu ubaya Wa mwenza
 
Unataka upate mwanaume wako peke yako? Asiye cheat? Anayeridhika na mwanamke mmoja? Labda wa ndotoni
wanaume hapa ndo huwa nashangaa sisi tyunasema mwanaume hana mwnamke mmoja ila wao akicheat inakuwa vurugu na hata kuuliwa hivi huwa inakuwaje? hapa
 
Ni bora mara 100 mtu kama amekuchoka avunje ndoa tu kuliko kujitia anakupenda saana kumbe anakupaka mafuta kwa mgongo wa chupa
Tambua kuwa mpaka mwanaume ameamua kuishi na na ww ni anakupenda ila kule anakochepuka ndio anadanganya.

Mchepuko ni sawa na choo cha stand ni sehemu ya kutolea haja ya dharura tu wakat nyumbani una choo cha kudumu na kisafi kuliko cha stand. Usije uka panic na kuharibu kila kitu.
 
Jambo la msingi mwanaume ni kuipenda na kuijali familia yake yaani mke na watoto na kutimiza majukumu yake kama baba kakini hilo jambo unalipa uzito mkubwa kuliko uhalisia wake,ushauri ni kwamba hizo hasira weka pembeni fanya kama hakuna kilichotokea manufaa yake utakuja kuyaona.
kama mwanaume ndo akichitiwa ungetoa ushauri kama huu mkuu??
 
Usipokee kila Ushauri humu.
Wanandoa wengi wamekushauri kuvumilia....na kusamehe.
Wasio na ndoa wamekushauri na ww ulipize....
Asa uamuzi ni wako unataka kukaa upande Upi.
Kweli kabisa.. Atambue kuwa humu pia kuna makahaba, waliozalishwa na wanajitegemea wenyewe kazi kwake kuchambua ushauri
 
Back
Top Bottom