Wanawake wenzangu mnawezaje kumsamehe a cheating husband?

Wanawake wenzangu mnawezaje kumsamehe a cheating husband?

Usiende popote baki humo humo. Kumbuka kina maisha mengine baada ya ujana kinachowazumbua ninyi ni ujana ..sas mnk ata mume angekuja kuchepuka akiwa na above 50 utamuacha au above 60. Utaamuacha jmn wew dad huna wazaz jmn ..mbn mm dingi angu alichepuka above 55 ila maza hakumuacha. Baaada ya kugundulikaa kuchepukaa..vitu vingine vumilia ..na ukikuta mwanamke anatafuta kuondoka ujue yuko vxr kiuchumi ana kaz so aoni tatizo kusepa ..mwisho duniani ujaja kutafuta mapenzi we ar her to surviver only
 
hii mada bwana! tokea siku ile ya kwanza nilitaka kukoment nikaona nisome maoni ya wadau kwanza.

ndugu mleta mada nakupa neno la faraja kwa maana ya POLE.

maoni ya wenzetu mengi yanajitosheleza na unapaswa uyazingatie. muhimu ni kujipa muda nyakati ngumu zipite,na nyakati ngumu huwa hazidumu zinapita tena mapema mno.

nina ushuhuda wa ndugu yangu ama ndugu wa mzazi wangu, mume wake wakati alipokuwa vizuri kiuchumi aliweza kumchukua binti mdogo na kuwa nae kimahusiano. mwanzoni ilikuwa kama siri hivi lakini vile mapenzi yasivyo na siri yaliweza kujulikana.

kwa miaka kumi na nane mwana ume yule alitumia nguvu nyingi kuihudumia ile familia ya mama mdogo, waliweza kuzaa watoto 2 wa nje. yule mke mkubwa pamoja na kukosa huduma muhimu na malezi madogo kwa wanae ailivumilia ili kuinusuru ndoa yake.

leo hii yule mzee ameachana na yule mwanamke wa pili familia imerudiwa na amani ilio kua haipo miaka karibu 20, na hivi karibuni wanakaribia kufanya sherehe ya miaka 50 ya ndoa.

nimewahi kuandika hapa jamii forum nikazodolewa kweli na wadada wakileo, narudia tena kusema wanawake wasiku hizi ni wepesi sana wa kubeba mambo kama haya!! natoa ushauri tena warejeeni bibi zenu waulizeni waliweza kuishi vipi na wanaume zao miaka 50 mpaka 70 ya ndoa nawengine mpaka 80.

vitu kama hivi walikutana navyo san na hata hio nafasi ya kuombwa msamaha hawakuweza kuipata na maisha yakaenda.

nitoe tena mfano mdogo kwangu binfsi, niko kwenye ndoa mwaka wa nne sasa, mke wangu ni mzazi wa miezi 3 sasa,tokea alipokua mjamzito wa mwezi wa 7 aliniomba tusishiriki kwa sababu hayuko frii kufanya hivyo, tokea kipindi kle mpaka sas ni mwezi wa sita sasa sijakutana nae, na mpaka sasa kuna miezi 3 mbele ndio nijaribu hivyo kwa sababu ni uzazi wa upasuaji ambao kwa ushauri walao inatakiwa kukutana baada ya miezi 6.

sasa kwa mwana ume alie mkamilifu hapo utamwambia nini akuelewe miezi zaidi ya 6 no sex, mimi sijafanya chochote lakini si kawaida ya mwanaume kukaa hivyo!

asilimia kubwa ya cheating kwa mwana ume mwanamke ana mchango mkubwa sana, lakini kwangu hii sio hoja, hoja warejeleeni wazazi wenu waulizeniwaliishi vipi na wenza wao?
@Heaven Sent maajabu mengine haya hapa. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
 
Ndo hivi dea, hawa wanaume ni kwenda nao sawa tyuuuh vile wanavotaka. Kmvn mbwai na iwe mbwai, wala hakuna kujali aaaaah
Wewe pia si ni ME...unataka kwenda sawa na nani?
Screenshot_20200801-214541.jpg
 
Haya ndo uendelee kuwa na moyo wa kupondeka ili uje ufikishe miaka 50. In the meantime muache azae nje; wewe shindia tu majani kama mbuzi: watoto hata wakishindwa kwenda shule ni sawa tu: your top priority ni kucelebrate miaka 50. [emoji6][emoji6][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]. Hivi haiwezekani kufikia miaka 50 bila kuteseka kwa miaka 20?
@Heaven Sent maajabu mengine haya hapa. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
 
Aisee nakuona waajabu mnoo!!! OK labda tu ulihisi ni wa kwako peke ako na ulimuamini Sana! Wanaume hawapo ivo Dada!
Amecheat na mdogo ako wa damu au na mama ako mdogo?
Basi wenzio yanaawakuta dizain hiyo afu yanakwisha maisha yanaenda! Poleeee
 
Haya ndo uendelee kuwa na moyo wa kupondeka ili uje ufikishe miaka 50. In the meantime muache azae nje; wewe shindia tu majani kama mbuzi: watoto hata wakishindwa kwenda shule ni sawa tu: your top priority ni kucelebrate miaka 50. [emoji6][emoji6][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]. Hivi haiwezekani kufikia miaka 50 bila kuteseka kwa miaka 20?
Ndio utaratibu walojiwekea binadamu na wameshauzoea sasa. Tena wako proud kabisa.
 
Wewe una bahati angalau kakiri na kukuomba msamaha. Wengine bahati hiyo hawaipati.

Why dont you just ask for divorce kama humpendi tena na unamuona kama jirani yako?😉
 
Wavumilie tu. Mama zetu walipata shida hizo wakavumulia na ndoa kudumu
 
hii mada bwana! tokea siku ile ya kwanza nilitaka kukoment nikaona nisome maoni ya wadau kwanza.

ndugu mleta mada nakupa neno la faraja kwa maana ya POLE.

maoni ya wenzetu mengi yanajitosheleza na unapaswa uyazingatie. muhimu ni kujipa muda nyakati ngumu zipite,na nyakati ngumu huwa hazidumu zinapita tena mapema mno.

nina ushuhuda wa ndugu yangu ama ndugu wa mzazi wangu, mume wake wakati alipokuwa vizuri kiuchumi aliweza kumchukua binti mdogo na kuwa nae kimahusiano. mwanzoni ilikuwa kama siri hivi lakini vile mapenzi yasivyo na siri yaliweza kujulikana.

kwa miaka kumi na nane mwana ume yule alitumia nguvu nyingi kuihudumia ile familia ya mama mdogo, waliweza kuzaa watoto 2 wa nje. yule mke mkubwa pamoja na kukosa huduma muhimu na malezi madogo kwa wanae ailivumilia ili kuinusuru ndoa yake.

leo hii yule mzee ameachana na yule mwanamke wa pili familia imerudiwa na amani ilio kua haipo miaka karibu 20, na hivi karibuni wanakaribia kufanya sherehe ya miaka 50 ya ndoa.

nimewahi kuandika hapa jamii forum nikazodolewa kweli na wadada wakileo, narudia tena kusema wanawake wasiku hizi ni wepesi sana wa kubeba mambo kama haya!! natoa ushauri tena warejeeni bibi zenu waulizeni waliweza kuishi vipi na wanaume zao miaka 50 mpaka 70 ya ndoa nawengine mpaka 80.

vitu kama hivi walikutana navyo san na hata hio nafasi ya kuombwa msamaha hawakuweza kuipata na maisha yakaenda.

nitoe tena mfano mdogo kwangu binfsi, niko kwenye ndoa mwaka wa nne sasa, mke wangu ni mzazi wa miezi 3 sasa,tokea alipokua mjamzito wa mwezi wa 7 aliniomba tusishiriki kwa sababu hayuko frii kufanya hivyo, tokea kipindi kle mpaka sas ni mwezi wa sita sasa sijakutana nae, na mpaka sasa kuna miezi 3 mbele ndio nijaribu hivyo kwa sababu ni uzazi wa upasuaji ambao kwa ushauri walao inatakiwa kukutana baada ya miezi 6.

sasa kwa mwana ume alie mkamilifu hapo utamwambia nini akuelewe miezi zaidi ya 6 no sex, mimi sijafanya chochote lakini si kawaida ya mwanaume kukaa hivyo!

asilimia kubwa ya cheating kwa mwana ume mwanamke ana mchango mkubwa sana, lakini kwangu hii sio hoja, hoja warejeleeni wazazi wenu waulizeniwaliishi vipi na wenza wao?
Hongera mkuu, six months bila utam ni kifungo, the good thing is mnaependana. Kusingekuwa na upendo huenda ungeshindwa kuvumilia, usingeamua kwa dhati huenda ungeshakuwa na jiko dogo, but upendo hushinda yote na huvumilia yote.

Wanaume wengi wameshindwa kabisa wake zao wakiwa wajawazito, 80% au zaidi ya cheatings hutokea kipindi hiki ambacho kwa kweli ukimgusa unahisi kabisa unamuonea. Wengine tunavumilia, wengine hawawezi.
 
Haya ndo uendelee kuwa na moyo wa kupondeka ili uje ufikishe miaka 50. In the meantime muache azae nje; wewe shindia tu majani kama mbuzi: watoto hata wakishindwa kwenda shule ni sawa tu: your top priority ni kucelebrate miaka 50. [emoji6][emoji6][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]. Hivi haiwezekani kufikia miaka 50 bila kuteseka kwa miaka 20?
Kuvumilia hayo yote mpaka uwe na akili ya kufanana nayo maisha yenyewe mafupi hivi nikaikose mbingu kwa upuuzi wa mtu mmoja eti navumilia aende tu na asirudi nyuma! Eti kala raha zote mie nakufa na genye zangu eti kachoka huko aniletee marapu rapu yake daa, Mungu anisaidie sana huo moyo ulio pondeka, ila simsemei mtu kila mtu huoana na wakufanana naye.

Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
 
Wanaume wenye mbwembwe utasikia ohoo mwanaume hana mwanamke mmoja uliza sasa nguvu zenyewe ddk 10 hafiki,dushe lenyewe inch 2,kinachokupa wanawake ni pesa tu,wapo wanaume wenye nguvu zao,mishedede ya maana,akitulia na mke kitandani Hadi raha na ni waaminifu,Kama ambavyo wacha Mungu wapo ndivyo ambavyo wanaume waaminifu wapo ...
 
hii mada bwana! tokea siku ile ya kwanza nilitaka kukoment nikaona nisome maoni ya wadau kwanza.

ndugu mleta mada nakupa neno la faraja kwa maana ya POLE.

maoni ya wenzetu mengi yanajitosheleza na unapaswa uyazingatie. muhimu ni kujipa muda nyakati ngumu zipite,na nyakati ngumu huwa hazidumu zinapita tena mapema mno.

nina ushuhuda wa ndugu yangu ama ndugu wa mzazi wangu, mume wake wakati alipokuwa vizuri kiuchumi aliweza kumchukua binti mdogo na kuwa nae kimahusiano. mwanzoni ilikuwa kama siri hivi lakini vile mapenzi yasivyo na siri yaliweza kujulikana.

kwa miaka kumi na nane mwana ume yule alitumia nguvu nyingi kuihudumia ile familia ya mama mdogo, waliweza kuzaa watoto 2 wa nje. yule mke mkubwa pamoja na kukosa huduma muhimu na malezi madogo kwa wanae ailivumilia ili kuinusuru ndoa yake.

leo hii yule mzee ameachana na yule mwanamke wa pili familia imerudiwa na amani ilio kua haipo miaka karibu 20, na hivi karibuni wanakaribia kufanya sherehe ya miaka 50 ya ndoa.

nimewahi kuandika hapa jamii forum nikazodolewa kweli na wadada wakileo, narudia tena kusema wanawake wasiku hizi ni wepesi sana wa kubeba mambo kama haya!! natoa ushauri tena warejeeni bibi zenu waulizeni waliweza kuishi vipi na wanaume zao miaka 50 mpaka 70 ya ndoa nawengine mpaka 80.

vitu kama hivi walikutana navyo san na hata hio nafasi ya kuombwa msamaha hawakuweza kuipata na maisha yakaenda.

nitoe tena mfano mdogo kwangu binfsi, niko kwenye ndoa mwaka wa nne sasa, mke wangu ni mzazi wa miezi 3 sasa,tokea alipokua mjamzito wa mwezi wa 7 aliniomba tusishiriki kwa sababu hayuko frii kufanya hivyo, tokea kipindi kle mpaka sas ni mwezi wa sita sasa sijakutana nae, na mpaka sasa kuna miezi 3 mbele ndio nijaribu hivyo kwa sababu ni uzazi wa upasuaji ambao kwa ushauri walao inatakiwa kukutana baada ya miezi 6.

sasa kwa mwana ume alie mkamilifu hapo utamwambia nini akuelewe miezi zaidi ya 6 no sex, mimi sijafanya chochote lakini si kawaida ya mwanaume kukaa hivyo!

asilimia kubwa ya cheating kwa mwana ume mwanamke ana mchango mkubwa sana, lakini kwangu hii sio hoja, hoja warejeleeni wazazi wenu waulizeniwaliishi vipi na wenza wao?
Umeshasema n zamani na sio sasa, hebu tupishe hukoo bandiko lefu afu una andika utopolo wa zama za mababu, wakati tupo zama za wajukuu,
Wee baki na mkeo, na ujue ukicheat tyuuh akijua anapeleka nyapu nae nje kukunwa vema. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeh sana.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom