Mgirik
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 13,271
- 13,429
Akili kama hizi ni hovyo kabisa. Yaani ukatoombwe ww ufikirie kuwa unamkomoa mwanaume kwani mnakuwa wote kwenye kukata viuno?Na wewe chepuka tu hapo kilichobaki nikulea watoto cheating haisameheki kabisa hasa mtu uliye mwamini, Hawa viumbe huua nyege za wake zao. Nakuhurumia maskini kiukweli na wewe chepuka tu ngoma droo wallah
Unayetoombwa ni ww, maumivu au raha unapata ww, mimba utabebeshwa ww halafu unasema unamkomoa mumeo inakuja akilini??