amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,143
- 31,298
Huwa wanakimbiliaga kumwaga mahela na zawadi kubwa kubwa.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huwa wanakimbiliaga kumwaga mahela na zawadi kubwa kubwa.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha sijawahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi rafiki
Ishu ya kugawana mali ndo chanzo cha vifo ving vya akina mama.ushirikina...kwan hujui kuna kugawana hizo mali? Ndo maan tunasema suluhisho kwa wanawake nao n kucheat tyuuuh, ili iwe balanced.
Kulipiza kisasi kwa mwanaume anae cheat, yaan n jino kwa jino,Hivi unyagoni siku hizi wanafundwa vitu gani?
Hili hajaliongelea, sijui alipewa niniHuwa wanakimbiliaga kumwaga mahela na zawadi kubwa kubwa.
Inasaidia sana mwanamke akijua vizuri na ku appreciate baiolojia na saikolojia ya mwanaume (vivyo hivyo na kwa mwanaume kujua mwanamke). Tujifunze kuishi pamoja kwa namna tulivyoumbwa tu.Sikuhizi Kuna unyago digital sio ule wa mabibi wa kale
Aje hapa aseme.Hili hajaliongelea, sijui alipewa nini
Bible hiyo hiyo inasema alalae na mwanamke ni mpumbavuWakati wanawake mnaendelea kushupaza shingo zenu, pitieni Bible na hasa hiki kifungu, linaweza kuwasaidia sana. View attachment 1522701
Ndio tunavoishi hivo mkuu, hzo bailojia na asili ni maneno tu ya wanadamu, Ila inapokuja suala la furaha biolojia tunaweka mbaliInasaidia sana mwanamke akijua vizuri na ku appreciate baiolojia na saikolojia ya mwanaume (vivyo hivyo na kwa mwanaume kujua mwanamke). Tujifunze kuishi pamoja kwa namna tulivyoumbwa tu.
[emoji23][emoji23][emoji23]Tena Hana akili kabisaBible hiyo hiyo inasema alalae na mwanamke ni mpumbavu
Kaombwa msamaha, na kupelekwa vacation huko mbali, ila till mdada bado ligoga lipo ku mtima teh teh tehKwani hampi mahela mengi?
Mwanaume ukimkamata amecheat wanakimbiliaga kutoa mahela mengi.
Yeye hajaombwa msamaha hata na kipasso?
Nitakufa na utamu wangu mimi[emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe ni bikra?
Toka hukoooooh hatusemi aikimbie ndoa. Soln ni yeye kutafuta furaha na amani nje, huku maisha ya ndoa na familia yakiendelea az normal az easy. KwishneyyyyyyyyyKwanza pole sana kwa kuumiza moyo wako pasi na sababu genuine, ninachoweza kukuhakikishia ni kwamba mumeo pamoja na kukuomba msamaha Sana ila haitakuwa mwisho wa kucheat, ataendelea kucheat tu labda mbinu tu ndo itabadilika kuwa bora zaidi kuliko mwanzo!
Na kama utaamua kuiacha ndoa yako kwa sababu tu mumeo amecheat, basi kuwa na uhakika kabisa baada ya muda fulani kupita utaanza ku-date mume/waume za watu ambao wake zao wakijua hawatawaacha waume zao zaidi zaidi watahakikisha wewe unaachana na waume zao
Utakapokumbuka kurudi kwa mumeo baada ya mateso ya kihisia kutokana na kudate waume za watu,mumeo atakuwa alishaoa mke mwingine ambaye hatakuwa tayari kumuacha mume wako kwa sababu zozote zile, kitakachofuata ni wewe kuuzeeka ukiwa mpweke na mwenye kutamani siku zirudi nyuma Ila haitawezekana tena!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ina maana hujui maana ya hii picha?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] you can say that, but i choose to be discreet on this one dear.
Vacation si material thing aunt.Kaombwa msamaha, na kupelekwa vacation huko mbali, ila till mdada bado ligoga lipo ku mtima teh teh teh
Hakuna hiyo mambo n mbwai na iwe mbwai, hakuna kusamehe hapa. Kisasi tyuuhnili na yeye a feel vyenye km mwenzake. AaaaaaahIshu ya kugawana mali ndo chanzo cha vifo ving vya akina mama.ushirikina...
Na mostly kugawana mali ni mijini tuu huku..na hata huku mijini ni asilimia ndogo snaa.so cha muhimu ni wanawake ku ji elevate tuu