Wanawake wenzangu mnawezaje kumsamehe a cheating husband?

Wanawake wenzangu mnawezaje kumsamehe a cheating husband?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu unazungukaa sanaaa...!! Me sijasema kuoa wake wengi ndo kuliwafanya wawe juu kiimani au kuwainuaa..!! Pia Mungu hakuwahukumu kwa kosa la kuoa wake wengi isipokuwa mambo yao wenyewe mengine

Ndiyo maana nikakuambia muache kusoma story zao juu juu! Nenda kasome vizuri ndiyo utajua nini kiliwapata baada ya wao kufanya hivyo!

Kingine unajua kuwa Suleiman aliua hadi watu wake wa karibu ili tu apate ufalme? Je tuseme Mungu ameruhusu kuua sababu tu Suleiman aliua?
 
I mean from no where tu mwanaume amwambie mwanamke sikutaki nimekuchoka nakupa talaka na mwanamke awe hajafanya kosa lolote.lazima mwanamke agome
Niliyekomenti hivyo ni mimi najua kuwa naweza, mtu aniambie amenichoka halafu mimi nigome.... haiwezekani
 
Jamen mwanaume halingi sisi mbona tuko peace tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeh dea, ngka Leo nkupe tulizo bora na murua ili usini cheat kamweeeh. [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
 
Ataamua yeye either kufuata ushauri wako huu mbovu au atafuata ushari wa wenye akili Kama huo wangu,lakini kaa ukijua hiyo furaha atakayoenda kuitafuta hatokaa aipate, otherwise kama ana asili ya UMALAYA lakini kama hana asili ya UMALAYA kama unavyoonekana wewe,basi furaha yake hataitafuta kwa kulipiza kutoka nje ya ndoa yake
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] kwani mie Malaya dea? Mmmmh umenichoka sasa, but mbna huyo mumewe ni Malaya was kutupwa khaaaaah.
 
Naanza kuamini waliosema wewe dume unajifanya Dada ..

Umesahau hata unachoongea ..!

Kajipange tena
Umeishiwa hoja unaanza personal attacks, khaaaah hebu soma tena comment upya, naamini kuna sehemu hujaelewa poleeeeeeh san
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] kwani mie Malaya dea? Mmmmh umenichoka sasa, but mbna huyo mumewe ni Malaya was kutupwa khaaaaah.
Hahahaaa,wewe najua sio Malaya kabisa ila ushauri wako ulijiekeza kwenye UMALAYA Malaya hivi mpaka nimeshangaa pepo huyu aliyekushawishi utoe huo ushauri ametokea wapi??
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] kwani mie Malaya dea? Mmmmh umenichoka sasa, but mbna huyo mumewe ni Malaya was kutupwa khaaaaah.
Nakwambia umalaya atafanya mwanaume ndoa ikiharibika analaumiwa mke yaani huwa nashindwa kuwaelewa watu.
 
Hahahaaa,wewe najua sio Malaya kabisa ila ushauri wako ulijiekeza kwenye UMALAYA Malaya hivi mpaka nimeshangaa pepo huyu aliyekushawishi utoe huo ushauri ametokea wapi??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiiiih lol, n ushauri tyuuuh.
 
Hii inatokea , ila unapaswa kujua kuwa mwanaume yeyote aliye kamilika hanaga mwanamke mmoja hata awe rais wa nchi .

Kwahivyo unapaswa kumpenda tu mme wako na jua kuwa unaumia sana , ila hakuna namna nyingine!

Samahe maisha yaende mbele maana hautakuta mwanaume asiye toka nje ya ndoa sisi wanaume wote ndivyo tulivyo!
Kwahiyo mimi nina mwanamke mmoja always, sijakamilika?!
 
Ukiona hivyo ujue huu uzi hauni husu. Hakuna maisha mazuri na ya amani kwa sisi tulio oa kama kuto kucheat. Ila daah, acha tu,mwanamke mmoja hatoshi hatoshi, ila sababu ya uana ume wetu tunavumilia.

Huku kwetu mke mmoja huwa tunasema "Tochi moja" ,yaani likizima tochi moja ujue mnalala giza. Na ukitaka kupima uadilifu wako basi uwe na mke zaidi ya mmoja.

Hili lingine tutalimaliza kimya kimya kama ilivyo ada.
Hahaaa na nilikuchokoza tu uje huku nikusikie wasemaje kuhusu hili
 
Alafu unamtaja Allah kwenye ushauri wako wa hovyo kama huu....! Kwakweli ni hatari Sana

Samahani Sana kama nimekukosea mkuu
Mimi simjui huyo allah namjua Sir God creator of everything.
Wanaume mwajimbafai kuchepuka eeh sie tuki enjoy mnaumia, tuacheni tu enjoy bana
 
Oke wachekini wazungu ni waaminifu 100% maana wao ndoa hazivunjiki.
Muono wa kiPoyoyo, kimbulula, na kipuuzi mwingine huu! Hivi huu ujuha mnautoaga wapi? Aliyekuambia ndoa za wazungu zinadumu ni Nani!? Au ndio kusema unaangalia Sana sinema za kizungu na kuziamini! Toa upumbafu wa kipuuzi kiasi hicho! Ndoa haiangalii rangi ya ngozi Bali utayari wa dhati kutoka moyoni wenye upendo wa dhati! Ktk Hilo, upendo huvumilia yote, haukosi Kuwa na adabu,nk! Hayo matongotonga ya kishamba kuamunishwa wazungu sijui hivi...Mara hivyo uyanawe na yakitokea!
Kwa huyu dada, Kama anapenda kweli mumewe, Basi amsamehe, aongeze bidii ya kumlinda mumewe kwa kumuombea, kujitoa kwa mumewe zaidi! Kibri na dharau na hasira zitamharibu zaidi mumewe na ndoa kwa ujumla!
 
Mwenzenu yamenikuta na kusema za ukweli nashindwa kabisa kuelewa namna ya kutoka hapa na kusonga mbele.

Ni mume nilompenda sana sana sana. Mungu katujaalia two beautifull kids na mengine ambayo am greatfull for. Tuliishi kwa upendo,furaha na amani hadi miezi 8 ilopita nilipogundua kuwa nilivyomdhania mume wangu sivyo alivyo.

Kwakuwa nampenda na kumfahamu sana mume wangu, kuna kitu nilikuwa tu nakihisi hakiko sawa kwa muda. Baadae nikagundua he was cheating. Yaani sitaki kuelezea mstuko niloupata na jinsi ninaumia jamani. Japo aliomba sana msamaha and all that ila moyo wangu umekufa ganzi wapendwa.

Mume nilompenda sana kwasasa namuona kama jirani yangu tu, hata hamu nae sina kabisa na hata tendo la ndoa ni kama ananibaka tu. Tushaongea sana, tushakwenda hadi vacation sie wawili tu ila sioni kinachobadilika. Akisafiri kikazi au mimi nikisafiri najisikia amani zaidi and i dont miss him kabisa.

Kuna wakati nilimuomba some alone time nifikirie kuhusu mustakabali wa hii ndoa, alinipa huo muda na kwa kipindi hicho cha wiki moja kichwani mwangu nilishangaa kunazunguka watoto wetu tu na sio mume wangu. Sijamueleza mtu yeyote kuhusu hili hata mama yangu wala mshenga wetu ila linanitafuna hatari.

Wenzangu mnawezaje kusamehe wanaume wanaowacheat na kurudi katika hali zenu za kawaida? Maana mie kwasasa mume wangu namuonaje sijui, nae naona hali hii inamtesa ila ndio hivyo tena[emoji134]
Sijisikii kumpenda wala kumheshimu tena, naona kama hadeserve kwa kutokuithamini na kuivuruga ndoa yetu.
Utoto unakusumbua . Ukifika miaka 33 na kuendelea utapata majibu ya tatizo lako
 
Back
Top Bottom