Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,548
- 88,539
Itabidi uwe na moyo mgumu tu na mstahimilivu ndomana unakuta wazee wetu mpaka Leo wapo pamoja
Nyinyi vizazi vya sasa mbona mnakuwa na roho nyepesi sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapana kaka mimi niko radhi niitwe majina yote lakini siko tayari kuhandle stress za mtu mzima tena anayenikosea makusudi kabisa
Eti cheating is inevitable, woii si bora nitafute pesa nizunguke duniani nikichoka nife tu nijue moja.
Halafu cha kushangaza badala mtafute namna muache ndiyo kwanza mnatulazimisha wanawake tuvumilie, yaani mmefanya kama kucheat ni kitu ambacho mtu hawezi kuacha ana akiacha atakufa.