Wanawake wenzangu mnawezaje kumsamehe a cheating husband?

Wanawake wenzangu mnawezaje kumsamehe a cheating husband?

[emoji23][emoji23][emoji23]wewe una mawivu Sana usije niua bure ukinikuta nakula raha zangu huko.
Hapana mamy naomba tujaribu ujione maana mpaka nikuongeleshe kwanza labda na cha muhim cha kukwambia tofaut na hapo unaeza kuwa na mimi ila ukahisi kama sipo vile uko mwenyew
 
Majukumu ya mume kwa mke:
1. Matunzo/ulinzi
2. Heshima
3. Kumsifia

Majukumu ya mke kwa mume:
1. Cha kwanza utii
2. Kumliwaza
3. Ushauri
4. Kumuombea heri/mema
5. Kumtunzia watoto mkijaaliwa.
6. Kumfichia madhaifu.
7. Kumtumikia
8. Kumuheshima
9. Kumtia Moyo/hamasa
10. Kusamehe
ulinzi kivipi?
 
Ni wanaume tu washindwa hoja hao hafu kuita mwanamke single mother ni ujinga sifa kuu ya mwanamke ni kuzaa awe single au sio single.
Kwanza huu Uzi wamevamia eti wanaume hawatulii sijui Nini blah blah ni haki yao, ingekuwa ni mwanaume mwenzao hapo wangeshamwambia afukuze haraka
Katika ubora single maza.
 
Ni kweli lakini binadamu huwa haishiwi sababu. Cheating ni kosa kubwa sana kwenye mahusiano ambalo wakati wowote linaweza kuvunja ndoa. Ila watu bado wagumu sana kuelewa
Cheating haina sababu basi tu
 
Hapana mamy naomba tujaribu ujione maana mpaka nikuongeleshe kwanza labda na cha muhim cha kukwambia tofaut na hapo unaeza kuwa na mimi ila ukahisi kama sipo vile uko mwenyew
Hahaaa muongo umesema ukinikuta mtu unatembeza kichapo heavy Sasa hivi umebadili gear angani heeeh
 
Ni kweli lakini binadamu huwa haishiwi sababu. Cheating ni kosa kubwa sana kwenye mahusiano ambalo wakati wowote linaweza kuvunja ndoa. Ila watu bado wagumu sana kuelewa
Mimi nikikukuta ndo basi tuendelee kuishi tu kimazoea hata Mambo mengine sikushirikishi yabaki tu mazoea.
 
Umomi ni muongo alikuwa anatafta Kiki tu yule inabidi apate tiba ya akili na anatokea huko Tarime ukute mibangi imemuathiri kichwa yake yule Mana kule bangi ni Kama sigara
Kabisaaah na mie naafiki hili, hayuko sawa kichwani kwake
 
Wakati wanawake mnaendelea kushupaza shingo zenu, pitieni Bible na hasa hiki kifungu, linaweza kuwasaidia sana.
Screenshot_20200731-163224.jpg
 
Ndiyo maana naenjoy kuwa single, hakuna kitu sipendi kama kupewa stress na binadamu mwenzangu tena ambaye najua anafanya makusudi kabisa bora stress za upweke kuliko za mapenzi.
Unazingua Zoë, unakiwaje single?
 
Pole dada
Najua inauma but trust me...muda ndo utakua tiba kwako.
Jipe muda ...endelea tu kujisikia unavyojisikia.

Na ili usaidike zaidi mtumie rafiki yako amjulishe jamaa kuwa asiache kucheat....aendelee tu mpaka hiyo ganzi unayoisikia itakapoondoka just like dat...

Hii solution imehakikiwa kisayansi na wala sio adithi. Nimeitumia na nimemsaidia mpenzi wangu. Siku hizi anajua kabisaaaaa me hawezi toshelezwa na ke mmoja
Ukweli ni suala la muda tu. Inasemekana maumivu ya kuchitiwa huendelea hadi miezi 18 na kuendelea. Hata kama mwanamke atamchekea mumewe huyo, maumivu yapo moyoni. Wanaume wajifunze kuwa ukim cheat mkeo hutapata furaha kwa kuwa mkeo hatakupenda kama alivokuwa anakupenda awali.
 
Oyaa bado kuna Mafeminist wanashupaza shingooo humu????
 
Cheating hupoteza amani, uaminifu na upendo. Nakumbuka kipindi kile mtu akiniambia huyu ndiyo mke wako. Napatwa na hasira ghafla, natamani kumwamia siyo mke wangu
Niliamua kuachana naye tu japo nilimpenda sana. Cheating ni sawa na doa lisofutika kwenye nguo nyeupe
Mimi nikikukuta ndo basi tuendelee kuishi tu kimazoea hata Mambo mengine sikushirikishi yabaki tu mazoea.
 
Cheating hupoteza amani, uaminifu na upendo. Nakumbuka kipindi kile mtu akiniambia huyu ndiyo mke wako. Napatwa na hasira ghafla, natamani kumwamia siyo mke wangu
Niliamua kuachana naye tu japo nilimpenda sana. Cheating ni sawa na doa lisofutika kwenye nguo nyeupe
Afu hapa kuna watu wanaleta masikhara eti kuvumilia usaliti, hilo halipo kamweeeeeh
 
Back
Top Bottom