Wanawake wenzangu mnawezaje kumsamehe a cheating husband?

Wanawake wenzangu mnawezaje kumsamehe a cheating husband?

Mnaachwa vizuri tu eti hamuachi kah
Nje ya ndoa sawa, utaacha, ila kwenye ndoa hata ukionda wewe, mazingira ya utoaji talaka yanaonyesha ww ndio umeachwa japo wewe ndie ulie acha
 
Loh, kule sirudi aisee maana bado sina imani na ww[emoji3][emoji3][emoji3]
Tatizo unamsikiliza sana kaka yako, rudi nyumbani tule maisha. Usingeondoka saa hivi tungekuwa wote hapa Kiwira tunapiga hela kwenye mnada wa ndizi [emoji1][emoji1][emoji1]
 
Nani alisema wachache hyo si kweli Kama wachache iweje wanawake Wana michepuko mingi, hyo ni justification very week kabisa na kuchepuka ni tabia Wala haihusiki na uchache au wingi. Na sisi acha tujimwambafai tu na maisha yetu.
It's very simple kuhusu michepuko, mwanaume mmoja anaweza akawa nao hata 7..

unaweza ukute kundi la wanaume 15 linamiliki wanawake 100 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ... sio weak justification.. ni vile tu umeamua ruka hiki kipengele
 
Kabisaaaaaah dea yaan wee acha tyuuuuuh.
Wajue tu pain wanayopata wakisalitiwa ni same na kwa wake zao, usaliti ni mubaya Sana hasa kwa uliye muamini na sio mapenzi tu hata usaliti wa Mambo mengine
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Talaka anatoa mumeo sio ww, wewe hutoi talaka , ukimchoka ukataka kusepa utaenda omba yeye aruhusu wewe uende zako salama kwa kukupa talaka, mwanamke haachi, anaachwa, kama vile kuoa tu, huoi unaolewa

Teh teh vile vile kama sitaki kuolewa hakuna mwanaume atakayenikamata na kunifunga kamba halafa akanioe
 
Pole sana kwa kuwa na wivu, ila kumbuka mjini hamna Mwanaume wa peke ako labda uumbe wa kwako au wa ndotoni.

Mwanaume hatupendi mazima kwa mwanamke huwa tunapenda vipande vipande mfano, tako, shape, sura , mguu, mnato, shoo kali, mke wa kulea family
 
Teh teh vile vile kama sitaki kuolewa hakuna mwanaume atakayenikamata na kunifunga kamba halafa akanioe
Hujapigwa mistari vizuri , utaolewa tu
Mwanaume akakuamulia haswa anakuoa mchana kweupe
 
Hizi nyakati za utoto wewe una full control, hana shida, atakua mtu mzima , hapo ndio mtihani ulipo, ndio maana nasema hili sio jambo la kuliombea na kama likitoka basi changa karata vizuri, atapokuja kua mtu mzima asilete shida kwako

manake baba yake anaweza kua kakupiga tukio , mtoto anakua mtu mzima nae anakupiga tukio tena.. sio mambo ya kuombea yatokee haya
Wewe nimulee Mimi hafu babake alete kende zake eti ananipiga tukio sijui blah blah gani aisee atabaki tu Kama baba dangote chamoto atakiona wallah it's impossible kwangu labda nisiwepo duniani kipindi hicho.
 
Mie mtu anayelia kusa mapenzi namuona km vile n mtoto hajielewi, sijawah kuwaelewa kabisaaah
Mimi Kuna shoga angu hujiliza halafu ana mwamini mchumba badala nikasema jiandae na Kama hujapigwa tukio lolote jiandae, I'm always positive Ila better kujiandaa, na hii inayomkuta mleta mada ingetakiwa ai experience kabla ya ndoa awe amekubuhu hata asingeumia
 
Ndiko huko anakoenda omba...

Mwanaume akishindwana nawe anakupa talaka
ukishindwan nae unaenda mahakamni kuomba akupe talaka, either ways mume ndio anatoa

Yes mwanaume ndio anatoa ila trust me inaumiza hata mwanaume mkeo aende kuomba talaka
 
Mumeo amekukosea maadam amekuomba msamaha basi msamehe na sahau kwa kuwa hiyo ndio tabia ya wanaume. Wanaume karibu wote tunacheat kasoro wale wasio na hela pamoja na maanisi. Tena wengine wakicheat na kubainika huwa wanamshushia kidogo mke wake. Mume wako kama anafanya yafuatayo msamehe.
Kama alikuomba msamaha,
Kama anatunza familia,
Kama mnafanya tendo la ndoa na unaridhika.
Kwa sisi wakristo neno linatutaka tusitamani mwanamke asiye mke wetu kwa sababu tulivyoumbwa ni kutamani. Tambua huwezi ishi nje ya uumbwaji wako. Ndoa nyingi zipo hivyo tatizo kuna siri ya ndoa basi, ukiachana naye utakaye mpata naye atakuwa hivyo hivyo. Usiombe ushauri kwa mwanamke yoyote unayemjua atakushauri tofauti na mumeo atamchukua. Msamehe mumeo na wala usidhani kama kucheat kwake labda we unamapungufu hauna mapungufu ni udhaifu wetu. Mwisho biblia inakuta umwombee mume wako kwa kawaida anayeombewa huwa ana shida hivyo si wanaume tunashida, mwanaume ameagizwa kukupenda na kukuheshimu. Ukipata nafasi soma 1Petro 3; 5 - 15
Barikiwa sana
 
Nje ya ndoa sawa, utaacha, ila kwenye ndoa hata ukionda wewe, mazingira ya utoaji talaka yanaonyesha ww ndio umeachwa japo wewe ndie ulie acha
As long as siko under the same roof nimekuacha hyo ya mahakamani ni formality tu.
 
Usisahau mama yako ndiye mwenyekiti wa Hilo kundi,, pathetic
Mbona unaingiza wazazi?

Angekua ni wasiku hizi ningestuka

Wanao uchukia huo umalaya tumeona ushauli wao.


Na wenye ku eneza huo UMALAYA uchangiaji wao pia tumeona
 
It's very simple kuhusu michepuko, mwanaume mmoja anaweza akawa nao hata 7..

unaweza ukute kundi la wanaume 15 linamiliki wanawake 100 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ... sio weak justification.. ni vile tu umeamua ruka hiki kipengele
Kikubwa mtu amechepuka basi bila kujali jinsia yake anepata alichokitaka basi.
 
Yes mwanaume ndio anatoa ila trust me inaumiza hata mwanaume mkeo aende kuomba talaka
Mama la mama kusepa lazima iume, wanaume tunapata sana tabu kuchagua mke, ukimchagua alafu akasepa tena ni mtihani mwingine huo , ndio maana wengine hua wanazungusha sana kutia sain, wanafanya kila linalowezekana swala lirudi kwenye level ya familia , kama kuna fain au kitu cha kufanya jambo likae sawa mtu anakua tayari kuliko kuruhu mama la mama asepe
 
Back
Top Bottom