Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,548
- 88,536
Unazingua Zoë, unakiwaje single?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa kaka kama mambo yenyewe ndiyo haya si bora niwe single tu aisee
Unazingua Zoë, unakiwaje single?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Utandawazii huu mabinti mnajiinua kutaka haki sawaaa...!! Utaumiaa mwenyewee shauri yakoo... Umri utafika utatamani uolewe hata mke wa tatu...Afu hapa kuna watu wanaleta masikhara eti kuvumilia usaliti, hilo halipo kamweeeeeh
Daima Nazi haishindani na jiwee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Utandawazii huu mabinti mnajiinua kutaka haki sawaaa...!! Utaumiaa mwenyewee shauri yakoo... Umri utafika utatamani uolewe hata mke wa tatu...
Waache tuu mzee wanapazaa sauti hapa JF waonekane majasiri nyuma ya keybod..!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kumbe hata Boyfrnd wake akicheat hawezi muachaa...Daima Nazi haishindani na jiwee
Wakati wanawake mnaendelea kushupaza shingo zenu, pitieni Bible na hasa hiki kifungu, linaweza kuwasaidia sana. View attachment 1522701
Udanganyifu na kuvunja Imani ni doa lisilofutika kiurahisi sio mahusiano tu hata Mambo mengine. Mahusiano mengi watu huishi kimazoea tu ile real intimacy ilishajifia kabisa siku nyingiCheating hupoteza amani, uaminifu na upendo. Nakumbuka kipindi kile mtu akiniambia huyu ndiyo mke wako. Napatwa na hasira ghafla, natamani kumwamia siyo mke wangu
Niliamua kuachana naye tu japo nilimpenda sana. Cheating ni sawa na doa lisofutika kwenye nguo nyeupe
Hii comment imeakisi jina lako, sending love[emoji173]
Hata ikiwa mke wa 10, ila kuvumilia usaliti hapanaah kwa kweli, lazima kisasi kihusike ili kuweka mambo balanced,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Utandawazii huu mabinti mnajiinua kutaka haki sawaaa...!! Utaumiaa mwenyewee shauri yakoo... Umri utafika utatamani uolewe hata mke wa tatu...
Siku hizi Kuna ma dildo, na wanaume wakukufanya tu vizuri pia Kuna mbegu unanunua uzaa kawaida tu mbona acheni kutumia hako ka mstari kuhalalisha vitu visivo faaWakati wanawake mnaendelea kushupaza shingo zenu, pitieni Bible na hasa hiki kifungu, linaweza kuwasaidia sana. View attachment 1522701
Unakosa mema ya dunia, uliza Jael akuambie. Maisha lazima yawe na changamoto vyovyote vile utakavyoamua kuishi, so just have fun. Unless unataka kiungo kisipate matumizi yake...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa kaka kama mambo yenyewe ndiyo haya si bora niwe single tu aisee
Usicheke sana babe..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimecheka hadi nimepaliwa.
Nitafsirie basi, nimekibeba kama kilivyo, huwa tafasiri za Bible zimenikalia pembeni.Kaka usiniambie haujui tafsiri ya hicho kifungu na ukaamua kukichukulia kama kilivyo? Bible is a very mysterious book!
Wewe hunitakii mema kabisa hafu kizazi changu kufanyiwa majaribio na kuanza kusumbuana staki kabisa. Si Bora nikanunue mbegu kwa mwanaume simjui kabisa hukoNielewe bhana mamy
Utafananisha dildo na dyudyu? Yaani hata havifanani. Intimacy na mtu mnaependana ni mbingu ndogo mumy.Siku hizi Kuna ma dildo, na wanaume wakukufanya tu vizuri pia Kuna mbegu unanunua uzaa kawaida tu mbona acheni kutumia hako ka mstari kuhalalisha vitu visivo faa
Sasa kuolewa mke wa 10 na mmeo kucheat kimya kimya kipi kinauma????[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wanawake bhanaa...Hata ikiwa mke wa 10, ila kuvumilia usaliti hapanaah kwa kweli, lazima kisasi kihusike ili kuweka mambo balanced,
Hata wanawake wana moyo was nyama unaohisi maumivu.
Tulia wewe mbegu mbeguu njooo nkupee bhasii[emoji1787]Wewe hunitakii mema kabisa hafu kizazi changu kufanyiwa majaribio na kuanza kusumbuana staki kabisa. Si Bora nikanunue mbegu kwa mwanaume simjui kabisa huko
Unamkomoa nani sasa? Mnajimaliza kwa mikono yenu wenyeweHata ikiwa mke wa 10, ila kuvumilia usaliti hapanaah kwa kweli, lazima kisasi kihusike ili kuweka mambo balanced,
Hata wanawake wana moyo was nyama unaohisi maumivu.
Dildo ndo linafaa???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mtu unatumia madildo alafu unataka tukomae ili uridhikeeeSiku hizi Kuna ma dildo, na wanaume wakukufanya tu vizuri pia Kuna mbegu unanunua uzaa kawaida tu mbona acheni kutumia hako ka mstari kuhalalisha vitu visivo faa
Cariha anaongea hapa ila akikosa dyudyu ya mwanaume mwezi tu hizo temper, hasira na underperformance kazini tunajua wenyewe[emoji39][emoji39]Tulia wewe mbegu mbeguu njooo nkupee bhasii[emoji1787]