cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,067
- 46,699
[emoji23][emoji23]wewe wasema utakuwa na mawivu yakoMimi tutakuwa tunaangalia familia mambo yako siingilii wala kufwatilia
[emoji23][emoji23]wewe wasema utakuwa na mawivu yakoMimi tutakuwa tunaangalia familia mambo yako siingilii wala kufwatilia
Ulikuwa humrizishi wife mkuu?
Aisee! Pole dear.Mimi nafanya ili nifurahi just for fun na sio umalaya
Mimi wivu utakuja pale nione mtu kaja kakushika tako au analeta za kuleta na tena sio wivu hyo namfundisha adab chap tofaut na hapo mama ni dushe dushe ukitaka hlo ukiamka hlo maana mi ndo nachopendea uwe na dem ambae game ni uwakika na ushirikiano[emoji23][emoji23]wewe wasema utakuwa na mawivu yako
Pole mkuu yaitaj koromeo la kumeza na kuzuia machunguSiku zote sababu huwa hazikosekani. Huenda sikumridhisha
"MWANAMKE AKICHEAT, MWANAUME HAMRIDHISHI KITANDANI ILA MWANAUME AKICHEAT NI TAMAA ZAKE"
A wapi Toka lini mtu akakupa furaha na huu ujinga wakusema flani ananipa raha ndio inaumiza watu. Mie hata mwanangu au ndugu yangu sitegemei anipe furaha, furaha na amani ni tunda la ndani la kwako mwenyewekinachompa furaha ni huyo mmewe,Sasa akijidanganya naye kugawa nje ajue ndo imeisha hiyo,
Yes I'm doing for my self na sio kwa ajli ya mwingineAisee! Pole dear.
Yule psychiatric inamsumbua tuu, hajajiua wala nn wapenda kiki hadi kwenye avatarMmmmmh huyo umom mie sijaamin km kajiua kweli, maan hakuna taarifa za ushahidi.
Will pray for you. For sure I promiseYes I'm doing for my self na sio kwa ajli ya mwingine
Kwanini uone wivu na mkataba wetu ilikuwa kuzaa tu kila mtu a mind bussiness zake, Mimi sipendi mtu mwenye wivu nakunifatilia fatilia nyuma ka mkia iha maana hajiamini basiMimi wivu utakuja pale nione mtu kaja kakushika tako au analeta za kuleta na tena sio wivu hyo namfundisha adab chap tofaut na hapo mama ni dushe dushe ukitaka hlo ukiamka hlo maana mi ndo nachopendea uwe na dem ambae game ni uwakika na ushirikiano
Cheating haina sababu basi tuSiku zote sababu huwa hazikosekani. Huenda sikumridhisha
"MWANAMKE AKICHEAT, MWANAUME HAMRIDHISHI KITANDANI ILA MWANAUME AKICHEAT NI TAMAA ZAKE"
Pole sana mkuu, jaribu kujipa moyo na umsamehe mmeo..mim ni mwanaume na nampenda sana mke wangu na pia sijawahi msaliti hata siku moja, lakin hisia za kupenda wanawake wengne zinakuja n najitahd tu kuzikwepa, amin mkuu, katika wanaume 10, 8 wanacheat, ni maumbile na haina maana hawapendi wake zao au wapo tayari kuwaacha! Mungu atusaidieMwenzenu yamenikuta na kusema za ukweli nashindwa kabisa kuelewa namna ya kutoka hapa na kusonga mbele.
Ni mume nilompenda sana sana sana. Mungu katujaalia two beautifull kids na mengine ambayo am greatfull for. Tuliishi kwa upendo,furaha na amani hadi miezi 8 ilopita nilipogundua kuwa nilivyomdhania mume wangu sivyo alivyo.
Kwakuwa nampenda na kumfahamu sana mume wangu, kuna kitu nilikuwa tu nakihisi hakiko sawa kwa muda. Baadae nikagundua he was cheating. Yaani sitaki kuelezea mstuko niloupata na jinsi ninaumia jamani. Japo aliomba sana msamaha and all that ila moyo wangu umekufa ganzi wapendwa.
Mume nilompenda sana kwasasa namuona kama jirani yangu tu, hata hamu nae sina kabisa na hata tendo la ndoa ni kama ananibaka tu. Tushaongea sana, tushakwenda hadi vacation sie wawili tu ila sioni kinachobadilika. Akisafiri kikazi au mimi nikisafiri najisikia amani zaidi and i dont miss him kabisa.
Kuna wakati nilimuomba some alone time nifikirie kuhusu mustakabali wa hii ndoa, alinipa huo muda na kwa kipindi hicho cha wiki moja kichwani mwangu nilishangaa kunazunguka watoto wetu tu na sio mume wangu. Sijamueleza mtu yeyote kuhusu hili hata mama yangu wala mshenga wetu ila linanitafuna hatari.
Wenzangu mnawezaje kusamehe wanaume wanaowacheat na kurudi katika hali zenu za kawaida? Maana mie kwasasa mume wangu namuonaje sijui, nae naona hali hii inamtesa ila ndio hivyo tena[emoji134]
Sijisikii kumpenda wala kumheshimu tena, naona kama hadeserve kwa kutokuithamini na kuivuruga ndoa yetu.
Umomi ni muongo alikuwa anatafta Kiki tu yule inabidi apate tiba ya akili na anatokea huko Tarime ukute mibangi imemuathiri kichwa yake yule Mana kule bangi ni Kama sigaraMmmmmh huyo umom mie sijaamin km kajiua kweli, maan hakuna taarifa za ushahidi.
Bas tuzae tu alaf kila mtu na hamsini zakeKwanini uone wivu na mkataba wetu ilikuwa kuzaa tu kila mtu a mind bussiness zake, Mimi sipendi mtu mwenye wivu nakunifatilia fatilia nyuma ka mkia iha maana hajiamini basi
Jamani why pray for me while I'm enjoying my lifeWill pray for you. For sure I promise
[emoji23][emoji23][emoji23]wewe una mawivu Sana usije niua bure ukinikuta nakula raha zangu huko.Bas tuzae tu alaf kila mtu na hamsini zake
aiseeImekuaje mpaka ukagundua????? Kama ulianza kupekua simu yake na kumfatilia bhasi pole maana hakika ulipata mwanaume anaejielewa akawa anakuheshimu na kukutunza na familia. Unashindwa kumsamehe akati hata mchepuko wake hujawahi kukupigia simu kukutukanaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nenda hata kwa mama yako mzazi umwambie huo upuuuzi kuwa unavunja ndoa kisa mwanaume kacheat nasema Ukija kupata ambae Hacheat jua ni HANISIII NA HANAA HELAAA.
MWANAUME HAKUUMBIWA MWANAMKE MMOJA POLE SANA NA UMSAMEHE MUMEO