Na wanawake wanacheat kimya kimya pasipo kujua mume.Sasa kuolewa mke wa 10 na mmeo kucheat kimya kimya kipi kinauma????[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wanawake bhanaa...
Nakwambia njia zipo nyingi kuliko kubaki na mwanaume suruali Tena asiye na hizo nguvu za kuridhisha mkewe daily kuruka ruka tu ili aonekane kidumeDildo ndo linafaa???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mtu unatumia madildo alafu unataka tukomae ili uridhikeee
Wee umesikiaaa wapiiii....[emoji1787][emoji1787]
Atakaeumia ktk kucheat kwa mwanamke ndo anakomolewa. KhaaaaaahUnamkomoa nani sasa? Mnajimaliza kwa mikono yenu wenyewe
[emoji23][emoji23][emoji23] aa wapi unafikiri mbegu ni mbegu Kuna mbegu chafu hizo sizitaki mimiTulia wewe mbegu mbeguu njooo nkupee bhasii[emoji1787]
Haya mama badala ya kumheshimu mumeo anakulaa puss moja mwaka mzimaa unaanza kubwabwaja[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nakwambia njia zipo nyingi kuliko kubaki na mwanaume suruali Tena asiye na hizo nguvu za kuridhisha mkewe daily kuruka ruka tu ili aonekane kidume
Nyie hizo akili hamnaa...!![emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na wanawake wanacheat kimya kimya pasipo kujua mume.
[emoji23][emoji23][emoji23]hapa yenyewe Mimi bikra mbona nime survive jamani siku zote hzoCariha anaongea hapa ila akikosa dyudyu ya mwanaume mwezi tu hizo temper, hasira na underperformance kazini tunajua wenyewe[emoji39][emoji39]
Kwanini ale pus.s moja lazima abadili badili, na Mimi nitafte tofauti, tofauti hizi Mambo za kutaka kujimilikisha viungo vya wengine staki na siwezi, kwanini tupangiane matumizi ya viungo vya mwili lakini, kila mtu atumie atakavyo.[emoji23][emoji23]Haya mama badala ya kumheshimu mumeo anakulaa puss moja mwaka mzimaa unaanza kubwabwaja[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unakosa mema ya dunia, uliza Jael akuambie. Maisha lazima yawe na changamoto vyovyote vile utakavyoamua kuishi, so just have fun. Unless unataka kiungo kisipate matumizi yake...
Naona umeamua kumtoa ngeo binti wa watu. Kama aliolewa na bikra ndio apate kuhoji tofouti na hapo haruhusiwi kuhoji kabisa kama ameshindwa atafute talaka maisha yaendelee.Utajijua bwana...
Muache uende huko duniani udhani wa huko ndio hawa-cheat ndio utaelewa vizuri...
Achika,wanawake wengine wamchukue na wewe uchukuliwe na hao wanaume ambao "hawacheat" wa kufikirika!
Hivi mwanaume ku-cheat ni ishu siku hizi?
Kwanza ulijuaje ana-cheat kwa kidhibiti kipi,tuanzie hapo maana utatuletea utoto wa nilikagua simu,ulitokana nayo wapi to begin with?
Rejea mada husika.Atakaeumia ktk kucheat kwa mwanamke ndo anakomolewa. Khaaaaaah
Aaah wapi!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hapa yenyewe Mimi bikra mbona nime survive jamani siku zote hzo
We muda wote unafuatilia nyayo za mumeo utaacha kumfumania kweli?Kusamehe ni ngumu, esp kama ulishamfuma zaidi ya mara moja na habadiliki...au anachepuka na mwanamke mmoja zaidi ya mwaka, hapo mnaishi tu ila upendo hamna
Tinazo tunawapumbaza tu mnajifanya kusimamia kucha huku tunawachora moyoni tunawaza baby mwingine huko, hafu na wewe unajiona kidume kweliNyie hizo akili hamnaa...!![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Very true hutaweza aminiAaah wapi!![emoji23][emoji23]
Ila siumekubali naomba nije PMWewe hunitakii mema kabisa hafu kizazi changu kufanyiwa majaribio na kuanza kusumbuana staki kabisa. Si Bora nikanunue mbegu kwa mwanaume simjui kabisa huko
Una ndoa ama unabwabwaja humu ndani?Na wewe chepuka tu hapo kilichobaki nikulea watoto cheating haisameheki kabisa hasa mtu uliye mwamini, Hawa viumbe huua nyege za wake zao. Nakuhurumia maskini kiukweli na wewe chepuka tu ngoma droo wallah
Kwamba hakuna wanawake wanaoinitiate suala la talaka?kuvunja ndoa mwanamke hawezi kukubali
Uje pm kufanyaje, je una hela za kutosha maana Mimi naangalia hela tuIla siumekubali naomba nije PM