Embu mshirikishe mama yako mzazi kama yupo,au bibi yako,kama wote hawapo tafuta mama mtu mzima unayemheshimu mtaani kwako au kazini kwako usikie nini atakwambia.
Nina imani utajifunza makubwa ambayo hukuwahi kuyafikiria na si ajabu ukajiona una bahati sana.
Sisi wanaume nasema sisi sababu,tuko na sifa zinazoendana.hatutosheki na mwanamke mmoja wote,ila ukipata mwanaume anayekula nje na anakumbuka familia yake(mpaka kukuomba msamaha)mama shukuru Mungu.
Maana mimi ni mwanaume,ila kuna baadhi ya wanaume ni mbwaa.anatoka na ukihoji inakuwa tatizo.
Remember the glass is always greener outside the fence,unaweza hisi labda sababu wako ni mfupi,kumbe walaa,kila mtu ana majanga yake mbali mbali.