Wanawake wenzangu mnawezaje kumsamehe a cheating husband?

Wanawake wenzangu mnawezaje kumsamehe a cheating husband?

Sisem Mwanaume achepuke, ila kuchepuka kwa Mwanaume ni tofaut kabisa na kuchepuka kwenu, you don't do sex for fun, au uongo???
Kuchepuka ni kuchepuka tu bila kujali jinsia ile pain unayo feel ni sawa na mkeo maana na yeye ni binadamu ana nyama Kama wewe ana hisia yeye sio jiwe useme halina feeling's hii tabia mbovu za kimfumo dume zinaumiza wanawake Sana, in short usichopenda kufanyiwa usimfanyie mwingine Bora tu muachane
 
Jamani imagine umehangaika from zero mumepitia ups and down nyingi then mtu anataka kuharibu yeye anahangalia starehe zake na Mali zipotee na familia itetereke wee siwezi ruhusu hyo kitu lazima tu mtu aumie siwezi ona jasho langu linapotea hivi kizembe Tena hapo nimeshakuwa mtu mzima, kwa kweli nitafanya tu maamuzi magumu kuliko shetani hyo ya kusema samehe vumilia, sijui madudu gani wallah tukutane kuximu kutoa hesabu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli ifike pahala huruma yetu iwe na mipaka
 
Hii inatokea , ila unapaswa kujua kuwa mwanaume yeyote aliye kamilika hanaga mwanamke mmoja hata awe rais wa nchi .

Kwahivyo unapaswa kumpenda tu mme wako na jua kuwa unaumia sana , ila hakuna namna nyingine!

Samahe maisha yaende mbele maana hautakuta mwanaume asiye toka nje ya ndoa sisi wanaume wote ndivyo tulivyo!
Sisi wote au wewe?
 
bnafsi nachoweza kusema ni kuwa waangarifu kwa upande wa mwanaume na mwanamke pia..unajua kiukweli japo wanaume tuko hivo lakini mwanaume huyohyo Malaya akisikia mkewake anapigwa nje na jamaa fulani unajua roho inauma sana tena sana tu..maisha tusiyafanye kama jaribio hilo ndo lamnsingi kwakuwa kuna muda unaweza ukawa unaenda uko njee na mwisho wa siku ukajikuta unaangukia kwenye magonjwa..hakuna anaependa kuliwa tunda lake iwe mwanamke aua mwanaume..kiukawaida iko hivo
 
Ndo tumeumbwa hivyo na Mungu kuwa na tamaa na kupenda nusu nusu kwa mwanamke,

Mwanaume na mwanamke tumeumbwa tofaut mfumo wa uzazi na hisia pia weka akilini mwanaume alie zoea sex harafu ukajifungua hawezi vumilia miez 3 hadi 4 ndo umpe anaweza shindwa tembea misuli pumb* inauma labda atumie sabuni

Ila kuna kujizuia mtu anaweza na kubaki na mke wake tuu ila inahitaji moyo sana sio wote wanaweza maana sex na mtu mmoja kila siku na milele ni kipaji nacho

Hiyo aya yako ya mwisho tu tayari inaonyesha kuwa kumbe inawezekana kujizuia ila wengine hamtaki tu
 
Kuchepuka ni kuchepuka tu bila kujali jinsia ile pain unayo feel ni sawa na mkeo maana na yeye ni binadamu ana nyama Kama wewe ana hisia yeye sio jiwe useme halina feeling's hii tabia mbovu za kimfumo dume zinaumiza wanawake Sana, in short usichopenda kufanyiwa usimfanyie mwingine Bora tu muachane
[emoji1787][emoji1787]Utaachana na wangapi sasa????? Huionei huruma pu.. yako na wanao kila mmoja kuwa na baba yake kama watoto wa pakaa????
 
[emoji1787][emoji1787]Utaachana na wangapi sasa????? Huionei huruma pu.. yako na wanao kila mmoja kuwa na baba yake kama watoto wa pakaa????

Hahaha mkuu ila nyie kila mtoto kuwa na mama yake ni sawa tu siyo
 
Hiyo aya yako ya mwisho tu tayari inaonyesha kuwa kumbe inawezekana kujizuia ila wengine hamtaki tu
Kizuri kuleni na wenzenu msiwe wachoyo wanawake jmn,🤣🤣🤣
 
Wajue tu pain wanayopata wakisalitiwa ni same na kwa wake zao, usaliti ni mubaya Sana hasa kwa uliye muamini na sio mapenzi tu hata usaliti wa Mambo mengine
Sanaaaaah kila mtu ana moyo was nyama unaohis maumivu.
 
Mimi Kuna shoga angu hujiliza halafu ana mwamini mchumba badala nikasema jiandae na Kama hujapigwa tukio lolote jiandae, I'm always positive Ila better kujiandaa, na hii inayomkuta mleta mada ingetakiwa ai experience kabla ya ndoa awe amekubuhu hata asingeumia
Khaaaaah anavumilia vipiiih huyooo? Khaaaaaah
 
Ndo tumeumbwa hivyo na Mungu kuwa na tamaa na kupenda nusu nusu kwa mwanamke,

Mwanaume na mwanamke tumeumbwa tofaut mfumo wa uzazi na hisia pia weka akilini mwanaume alie zoea sex harafu ukajifungua hawezi vumilia miez 3 hadi 4 ndo umpe anaweza shindwa tembea misuli pumb* inauma labda atumie sabuni

Ila kuna kujizuia mtu anaweza na kubaki na mke wake tuu ila inahitaji moyo sana sio wote wanaweza maana sex na mtu mmoja kila siku na milele ni kipaji nacho
Weee toka hapa usilete propaganda zisizo na mantiki, km mmeumbiwa kucheat, jua na wanawake wameumbiwa kulipa kisasi juu ya matendo hayoooh.
Kila mtu ashinde match zake, km huwez battle tuliza [emoji461] chini,
Wala haihitaji hasira n free league.
 
Mhhh unafiki tu huu unafikiria kusamehe ni Kama kukojoa iwe rahisi hivo, maana huyu kampenda Toka moyoni, hivi unajua nature yetu wanawake tukipenda na kuja kupigwa tukio kurudishwa moyo ilivo ngumu.
Sasa Kama hataki kusamehe si avunje ndoa ili mumewe aumie zaidi?? Nyie mnamshauri njia ya kutaka kuwafanya watoto waishi yatima

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Shida ikiyopo ni kwamba kama huwezi kumsamehe mumeo ukaamua kuvunja ndoa ukiwa bado kijana lazima utaingia kwenye mahusiano mapya. Huko nako probability ya kuwa cheated on ni kubwa sana then utavunja uhusiano na kutafta mtu na kuishia kuwa kama vicious cycle.

Wanaume tumekua prizes asset na tunawindwa sana na wanawake,wanashinda kwa waganga kuroga ,kuvaa nguo za kuonyesha maungo hatarishi,show offs za nguvu kwa social media. Mara nyingi sisi ni victims wa kutegwa kiroho ,kimwili nk .

Kama wewe ni mwanamke wa Imani ombea sana ndoa yako,muombee sana mumeo kwa sababu maisha ya sasa ni vita,wewe uko ndani kuna mwingine ana plot kuchukua nafasi yako. Kama huwezi kusamehe omba talaka ila hata huko uendako changamoto ya kupata mwanaume mwaminifu wa kwako mwenyewe haitakuacha.
 
Hii inatokea , ila unapaswa kujua kuwa mwanaume yeyote aliye kamilika hanaga mwanamke mmoja hata awe rais wa nchi .

Kwahivyo unapaswa kumpenda tu mme wako na jua kuwa unaumia sana , ila hakuna namna nyingine!

Samahe maisha yaende mbele maana hautakuta mwanaume asiye toka nje ya ndoa sisi wanaume wote ndivyo tulivyo!
Sikubaliani na wewe hata kidogo!

Mtu mdanganyifu ni yule ambaye hana uhusiano na Mungu.

Mimi niliyemkabidhi Yesu maisha yangu siwezi kuwa na tabia hizo za kishetani, kamwe.

Kwa Yesu kuna raha sana jamani. "Asante Yesu kwa kuniokoa"


JESUS IS LORD!
 
Ukiwa na familia utaelewaa..!! Ukivunjaa uhusiano labda usitafute mwanaume mwingine maana utaishiaa kuliwaa na kuachikaa mpaka unakufaaa... Jikazee mkuu sio kwa ubayaa
Huu ndo ukweli mchungu labda aamue kustaafu mahusiano kitu ambacho hakiwezekani.
 
Weee toka hapa usilete propaganda zisizo na mantiki, km mmeumbiwa kucheat, jua na wanawake wameumbiwa kulipa kisasi juu ya matendo hayoooh.
Kila mtu ashinde match zake, km huwez battle tuliza [emoji461] chini,
Wala haihitaji hasira n free league.

Bebe usijali nita kucheat ila hutojua ndo raha ya ndoa sio ile ya wazi wazi.

Ila na nyie huwa mnatunyoosha sana mara libwata, mugoda, mara usiamshe mechi za ugenini dah
 
Back
Top Bottom