A cheating husband or wife will never change, they change techniques, so whatever decision you make jua tu kwambe he is doing the same thing!
But, I will do anything for my children, stay together, be a wife, and wait, make sure:
- Huongezi Mtoto tena.
- Kua tu mke responsible and good.
- Jaribu Kuwa positive na maisha!
Madhara ya kuachana:
- Maumivu kwa watoto ukiolewa tena.
- Ngumu sana kupata mapenzi ya dhati.
- Unaweza tumiwa vibaya na wanaume.
Ukishindwa kabisa Mama yangu, maisha haya mafupi, kama waweza kaa na watoto peke yako, uka avoid mahusiano mapya, mme akawatunza, wewe Mwambie akupishe hapo aende kwa hao wanawake wake!
Mke wangu alionyesha ku cheat toka 2010 nikajikaza sana for 7 years siongei Ila naugua, mwaka 2016 bila sababu nikaondoka home!
Najuta kupoteza mda wangu wa kuishi na machungu na maumivu, bora ningeondoka! Maisha ya ndoa ni utumwa sana sana, Yani Acha tu!