Niseme tu ukweli,wanawake mna faraja na niwavumilivu mno. Kuna mengi tunakutana nayo huku mtaani, kuna mnayo yasikia mnayapuuza mengine mnayaona kupitia simu zetu lakini mnatusamehe bure...
Kuna siku nilijitusu kutongoza msichana kwa simu, wife akanibamba, kumbe nilitakiwa niwe nafuta sms, wife akaniuliza kistaarabu kabisa
"nikikunyang'anya hiyo simu na nikukutanishe na huyo binti unaweza kumtongoza na akakuelewa na hicho kigugumizi chako?" ile nianze kujitetea akasema "nitafunika ungo ufe..." nikanyamaza kimya [emoji1][emoji1][emoji1][emoji28]
Ahsante Mungu ni mwaka 12 sasa umepita.