You Will be surprised.. mwenzio huko when i was a little boy alikua anasema hvyo hvyo, i knew nothing back then, just imagine upweke ambao ungekua nao wewe kwa kumkosa mzazi mmoja wapo kwa mambo ambayo wewe kama mtoto wala hayakuhusu, hao watoto msione mnawajaza maneno mkadhan wanawaelewa, upweke wa kumkosa mzazi mmoja ambae wanajua yupo hua unawatafuna sana, usiku vitandani wanalia sana tu , wakitembea barabarani huko wakaona watoto wenzao wanatembea na wazazi wao wote wawili hua vinawachoma sana , mtoto atakusikiliza vyema tu , utampa sumu yote chini ya jua, sijui vitisho vyote..siku aje ajue ukweli , afunuliwe , ..rafiki mwanau umemzaa mwenyewe atakua mbogo kwako ,
mwenzio huku hakuamn, alienda analia kunisemea kwa mchungaji , maumivu anayopata mtoto pengine ni zaid hata haya ya wewe kusalitiwa na baba yake,
Omba Mungu yasitokee, it's out of your control likiharibika, Omba uwe na familia bora unayoitamani, Mungu atakupa, ila sio hii ya kujaza watoto sijui bla bla, yule ni baba kwao, kama vile ww ulivyo na baba, wanaweza kua adui yako within seconds tu