cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,067
- 46,696
Haachiki mtu nikupeana space na kula maishaSasa mbona unakataa talaka??[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haachiki mtu nikupeana space na kula maishaSasa mbona unakataa talaka??[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Natamani nikuite jina la utotoni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We huna nia nzuri kabisa na hii ndoa mkuu, eti talaka!! Are you serious kweli? Atafute tu kipoozeo atulie, ila kama amekolea akataka na mtoto sasa hayo yatakuwa maamuzi yake. Sitomuingilia.
Nguvu zenyewe huna, unataka umuongezee dada wa watu stress wewe.Nipigie pande hilo nimle no strings attached mimi mwenyewe naunga mkono hoja aliwe tu
Haya maswala usiyachukulie serious hivi, walai utakufa kwa pressure... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi siwezi nafukia nafsi yangu nifuraishe jamii huku naumia ndani I will never, Kuna vitu vya kumvumilia mtu Kama maradhi, shida uchumi kuyumba na sio kuvumilia ujinga wa mtu kukuumiza hisia huwa inauma Sana Bora ivunjike mguu Kuna pain Killers sio mtu kukuumiza hisia zako hovyo. Na hisia zinauma jamani, Bora tu na Mimi nifanye yangu kwanza mda wa kumpenda mtu nautoa wapi Mimi. Acha niipende nafsi yangu na wanangu
Nimeukataa unafiki ni mateso makali mno mtu unaishi kwa taabu na dhiki balaaMimi siwezi nafukia nafsi yangu nifuraishe jamii huku naumia ndani I will never, Kuna vitu vya kumvumilia mtu Kama maradhi, shida uchumi kuyumba na sio kuvumilia ujinga wa mtu kukuumiza hisia huwa inauma Sana Bora ivunjike mguu Kuna pain Killers sio mtu kukuumiza hisia zako hovyo. Na hisia zinauma jamani, Bora tu na Mimi nifanye yangu kwanza mda wa kumpenda mtu nautoa wapi Mimi. Acha niipende nafsi yangu na wanangu
Na ukiwa mwenyewe furaha tele ukikutana ha Hawa vidudu mtu sasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nguvu zenyewe huna, unataka umuongezee dada wa watu stress wewe.
Ni hawajiamini na ni tegemezi na wanaogopa jamii itawaonaje eti Hawa ndio mwisho huchomwa na mkaa gunia mbili.Nimegundua wanawake wengi wanaosupport huu ujinga wa eti “mwanaume hawezi kuwa na mwanamke mmoja” ndiyo wale wale ambao wanakubali kuwa michepuko na kusema “akiwa ndani ndiyo wako akiwa nje ni wetu”! Pathetic!
Woooooooow mam km me ur kid, sipendi mapenzi etiiiih lol
Leo wanapewa za uso hadi waelewe somo, km n nature yao huu upumbavu basi wajue na wanawake wana nature yao vile vile ambayo ni kulipa kisasi.
Ni Bora nyeupe iitwe nyeupe hafu mda wote hata watoto huwa hawalishwi sumu ni vile tu humzoea mama aliyemlea kumsikiliza ni rahisi na anakuwa kila kitu tofauti na wewe huwa unakuwa busy no bond hapo utahisi mtoto kalishwa sumu kumbe sioBora iwe ni kweli halisi wengi wanaongeza na uongo uliotukuka hadi mtoto anaonesha chuki za wazi kabisa kwa mzazi wake. I wish wazazi wakitengana wawe na mipaka ya mambo ya kuwashirikisha watoto kwa faida ya watoto hata kama wametengana kwa ubaya.
Kabisaaah atafute mwanaume smart, JB, casual, Royal, mwenye Jihogo la kiwango cha uchumi wa kati, afu abiringike nalo kweny show, hadi jamaa amwage waarabu na waafrica, wallah atapata nafuu ya furaha na amani ya moyo,Mtoa mada nakushauri utafute mwanaume viwango vya juu kumzidi huyo mumeo,,mpimane mpe mchezo usiku kucha,
Ila wasome miandiko yao humu utadhani sio wao wanaojiua kisa wanawake
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Natamani nikuite jina la utotoni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo ni kwamba, nyinyi mkifanya hivyo basi kila kitu kinahamia huko , hisia , akili, mwili , nafsi , roho ..yaani kila kitu, shida inaanzia hapoTena wanaume walivyo na roho nyepesi, akipigwa tuiko la kuchapiwa mkewe huwa anavurugwa kweli kweli, na hakuna rangi wana acha kuona wallah. [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Yuko single mpaka Leo.
Haha sema usikate tamaa, kuwa jasiri kama jackline wolper
Hapana Kama mtu hutaki kulea mwanao nikufanyeje na nyie ndo husema tunawadaganya watoto, kwanini nisiweke kumbukumbu sawa ya kila Jambo.Kuishi maisha huku ukitengeneza ushahidi wa kila kitu unachofanya na mumeo, ni bora usiolewe..!! Unaishi kwenye ndoa kama afisa mpelelezi wa mwenzio kila siku... yaani unaishi kama unaishi na mtuhumiwa...!! BORA USIOLEWE
Huyo Walper mdangaji mwenye waya wake??Yuko single na kaachive Mambo makubwa kuliko hao wanaoteseka moyoni na kukosa furaha huku hata maisha mazuri hawana
Mimi lazima nimpige tukio takatifu siku tukienda mbinguni ni mahesabu tuTena wanaume walivyo na roho nyepesi, akipigwa tuiko la kuchapiwa mkewe huwa anavurugwa kweli kweli, na hakuna rangi wana acha kuona wallah. [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]