Wanawake wenzangu mnawezaje kumsamehe a cheating husband?

Wanawake wenzangu mnawezaje kumsamehe a cheating husband?

Kuna siku niliimbiwa ekuemeee ekueme ghafla akaanza za Upendo Nkone na sijui nani yule anajiliza liza?... Kila nikijifukunyua sijui kosa langu, nikaona isiwe taabu saa tano asubuhi nikajitwisha huyo nae bar...hata sijui kesi iliishaje na hizo ekuemeee sizisikii tena zaidi ya "hapa nilipo mimi ni kwa neema za Mungu... "

Shemeji kaeni kikao muache hizo pambio mtatuua kwa visukari [emoji1][emoji1][emoji1]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haki shem umenichekesha!

Shem tukijazwa na roho mtakatifu huwa tunaimba tu jamani, sio kwa ubaya.
 
Huu usingo umekuja kujaje?

Umekuja baada ya kuona wanawake wenzangu wanalalamika sana kuhusu mapenzi! Sasa kama hao tu kina wife material wanalalamika mimi ambaye akili zangu nazijua mwenyewe ndiyo nitaweza?
 
Ni Bora nyeupe iitwe nyeupe hafu mda wote hata watoto huwa hawalishwi sumu ni vile tu humzoea mama aliyemlea kumsikiliza ni rahisi na anakuwa kila kitu tofauti na wewe huwa unakuwa busy no bond hapo utahisi mtoto kalishwa sumu kumbe sio

Sitaki kuliamini hili ni vile sijaliweka kwa kina ila wapo wazazi wa hivyo na kwa wingi ni wakina mama, na inakuwa hvyo kwa sababu mama ndio huwa anakuwa karibu zaidi na watoto
 
Hapana Kama mtu hutaki kulea mwanao nikufanyeje na nyie ndo husema tunawadaganya watoto, kwanini nisiweke kumbukumbu sawa ya kila Jambo.
Usiolewe... tafuta mtu zaa naye ishi mwenyewe tu.. kwani kuzaa mtoto mpaka uolewe..!!??? Kama hujaolewa, na huu mtazamo wako nakushauri usiolewe...
KAMA UMEOLEWA POLE YENU
 
Mtoa mada nakushauri utafute mwanaume viwango vya juu kumzidi huyo mumeo,,mpimane mpe mchezo usiku kucha,
Ila wasome miandiko yao humu utadhani sio wao wanaojiua kisa wanawake
Tena aache kulia Lia hovyo, huyo mshenzi kashaharibu mke ajiandae tu kwa mapigo huyo
 
Kabisaaah atafute mwanaume smart, JB, casual, Royal, mwenye Jihogo la kiwango cha uchumi wa kati, afu abiringike nalo kweny show, hadi jamaa amwage waarabu na waafrica, wallah atapata nafuu ya furaha na amani ya moyo,
Then maisha ya ndoa na familia yaendeleeh km kawaida.
Gunia mbili za mkaa zipo usisahau , ni mara mia ukimbie kuliko kufanya haya, umiza mumeo ukiwa mbali huko , sio puani mwake hapo, atakumaliza
 
Leo wanapewa za uso hadi waelewe somo, km n nature yao huu upumbavu basi wajue na wanawake wana nature yao vile vile ambayo ni kulipa kisasi.
Na sisi tunapenda watu tofauti tofauti Tena wenye status kubwa kuliko sisi, wao wafanye yao sisi tukitaka eti tuwavumilie, hafu ujue Kuna wanaume wanakupa connection mjini na michongo hafu umnyime eti unaheshimu mtu asiye jielewa unatulia yeye hatulii Kama bisi kikaangoni.
 
Umekuja baada ya kuona wanawake wenzangu wanalalamika sana kuhusu mapenzi! Sasa kama hao tu kina wife material wanalalamika mimi ambaye akili zangu nazijua mwenyewe ndiyo nitaweza?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti kina wife material!!!!
Utaweza tu dear, uwe na moyo uliopondeka.
 
Ni hawajiamini na ni tegemezi na wanaogopa jamii itawaonaje eti Hawa ndio mwisho huchomwa na mkaa gunia mbili.
Na mumewe kuwa na michepuko daily miungovi Hadi kufanya Mambo ya msingi wamesahau

Kwa kweli mimi mwanamke ambaye anakubali kuwa mchepuko sijui huwa namuonaje! Mume wa mtu sumu jamani machozi ya mwanamke mwenzake anayemuibia mume yatamuandama halafu baadaye aanza kusema ana mikosi kumbe karma inamtafuna!
 
Ndio ushaur gan huu,imagine angekuwa mtu wako wa karibu kama huna ushaur s ukae kimya
Ni very funny unataka ushauri wa kukufurahisha?

Wanadamu tujifunze kupokea vitu vinavyotufurahisha na visivyotufurahisha!

Ushauri ni wangu,reaction ya wewe mpokeaji I have no control over it...it is purely on you!

Haya katupa makosa ya mumewe ya ku-cheat,yeye makosa yake hajatuambia!

Plus,mume ka-cheat,kama mnajitia mmekasirika sana,yanini bado anakaa nae hajachukua divorce?
 
Hizo karata zichange vizuri haswa, uki mess up utakosa vyote, watoto wanakua, wanapata upeo na uelewa wa kuchakata mambo , hutoamini kitakacho tokea , uchange karata vizuri... unaweza dhani unajenga yakaja kukufikisha pabaya, wewe na baba watoto kwa watoto wenu thamana yenu kwao ni moja , watachakata taarifa, watapewa habari na ndugu marafik na watu wa karibu, chonde chonde incase ikawa hivyo changa karata vizuri..Omba Mungu yasitokee

nimesema hivyo Kwasababu nimekua kwenye mazingira yanayo karibia fanania
Mtoto niliyemzaa asikilize waruka njia Yani nishindwe kumhandle mtu niliye mubeba tumboni, that's won't happen to me as long as I am live,
Karata zangu nazipanga vizuri na Tena nakula kingi vizuri, mtu tumezaa wote tumetofautiana hutaki kutoa matunzo eti unanikomoa wee sio Mimi aisee. Ujinga wetu uishie huko Mambo ya kutesa mtoto kisa tofauti zetu hazipo, Tena mwisho wa mwezi ukifika haraka Sana tuma hela, lazima kuwekexa kwa mtoto hayo maujinga yetu hayawahusu kabisa.
 
Haya maswala usiyachukulie serious hivi, walai utakufa kwa pressure... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wala sio serious ni wewe tu, Yani nife kwa vitu rahisi hivi that's never
 
Gunia mbili za mkaa zipo usisahau , ni mara mia ukimbie kuliko kufanya haya, umiza mumeo ukiwa mbali huko , sio puani mwake hapo, atakumaliza
Mbona yeye kafanya huo wake hapa Dar kwangu, tena huko pwani mbali, aaaaah dawa ya moto n moto. Hujui hilo weeeeh
 
Sababu ya Mumeo kuchepuka, ni wewe kukosa Ubunifu ndani ya Nyumba yako, jiangalie wewe wapi sio mbunifu, na ukishalitambua hilo basi utamsamehe tu.

Sijaona kosa la Mumeo, amecheat sababu ndani ameshavizoea, anavyopata ndo vile vile Hakuna Ubunifu ndo maana anatoka nje kupata vipya ambavyo yeye kwake ataona kuna Ubunifu.

Wanawake wengi wanavunja Ndoa zao kwa Kukosa Ubunifu ndani ya Ndoa na likitokea la kutokea lawama anamletea mwanaume kuwa aridhiki ila anasahau ndoa inabebwa na Mwanamke, Nyumba/Familia inabebwa na Mwanaume.
Unaeza ukawa mbunifu sana anakubinua kila style anayotaka mnoo, ukampa heshima sanaa, ukamtunzia watoto vizuri sana, ukamuombea mema mnoo, ukamfurahisha kuliko kawaida... Aisee na bado akachepukaa vizuri tu
 
Na sisi tunapenda watu tofauti tofauti Tena wenye status kubwa kuliko sisi, wao wafanye yao sisi tukitaka eti tuwavumilie, hafu ujue Kuna wanaume wanakupa connection mjini na michongo hafu umnyime eti unaheshimu mtu asiye jielewa unatulia yeye hatulii Kama bisi kikaangoni.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie huwa nasemaga mbwai na iwe mbwai tyuuuh, hapa ni piga nikupige. Kwan shda nn aaaaah
 
Yeah mi nashangaa mtu anayesema eti kuwa single ni upweke woii kuna watu wako kwenye ndoa lakini wana upweke tani kama zote kuliko hata walio single, yaani mimi jamani ni bora hata nipewe stress na kitu gani sijui lakini siyo mwanaume we hawa wanafanya makusudi kwa sababu wameshaona ni haki yao kukosea siku zote.

Hata haka kambwa kangu kakinipa stress nitakaelewa maana ni bahati mbaya hakajui kitu, siyo hawa watu wazima na akili zao.
Shida huku bongo watu wanajua ngono ndio furaha yenyewe kumbe Kuna Mambo mengi mtu unaweza fanya na ukawa bado na furaha tele. Hamna mtu anayeweza kukupa furaha hapa duniani usipokuwa mwenyewe.
Hyo ya mbwa Tena ni Bora hamna rafiki mwema asiye saliti ka mbwa , mbwa ni best friend Hana unafiki
 
Kwann unamshaur mwenzio iv lakin?
Unataka ndoa,kaa ndani jifunze ku-deal na mtu wako!

Hutaki ndoa,aki-cheat ondoka nenda kaolewe na wasio-cheat!

Simple solution kabisa!

Hizi katikati katikati hapa unazotuletea ni kutupotezea muda...

Binti yangu akirudi nyumbani eti "nimerudi mume wangu kani-cheat",kwanza nachapa,then nafukuzia mbali kabisa.

Huwezi kua huna akili kiasi hiki....
 
Mimi lazima nimpige tukio takatifu siku tukienda mbinguni ni mahesabu tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kabisaaaah n kupiga average tyuuuh.
 
Back
Top Bottom