excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 22,449
- 17,918
- Thread starter
- #181
ni kweli but sio kila kitu mara kilichotokea ofisini mara fulani kafukuzwa kazi sijui amina kafanyaje kha inakuwa kero yakwake binafsi niko radhi kusikiliza bila hiana
ushawahi kumueleza ni jinsi gani anavyokutoa kwenye mood anapokuwa anakueleza maswahibu yake?