excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 22,449
- 17,918
- Thread starter
- #121
nimekupata mkuu..kama ni kusoma, hata wanawake wanasheria,walimu n.k. wanasoma sana pia, na bado ni vidomo domo sana. sasa kwa kuwa wote wawili (lady-lawyer na lady-doctor) ni wasomi na wote wapo bize, mbona ucharuko huonekana zaidi kwa wanawake wanasheria na wa fani zingine tofauti wanawake madaktari?
do u get my point rafiki?
hii issue inazidi kuwa complicated.. tena kwa mazingira ya sasa ya utandawazi mkuu, i got to be extra careful.