Wanawake wenye profession hizi wana tabia gani mapenzini?

Wanawake wenye profession hizi wana tabia gani mapenzini?

Manesi kweli ni watamu mnooooo!!!!! ila tatizo lao wanakua chakula ya madaktari, ukioa nesi ujue utagongewa mpaka basi
 
Mmmh!
Yamekukuta nn?
Hapana mkuu, hayajanikuta ni utafiti binafsi tu na kutaka kufahamu..

Btw, si baadae nitaoa tu, lazima nikumbane na profession hizo, hata kama ni mama wa nyumbani!
 
mkuu excel kwann diploma tuu na sio waalimu wa level zingine kama cheti na degree????
 
Hao wanasheria huwa tunachapa na kutembea tu, maana wanakuwaga much know sana hivyo ukikaa nae sana atakukera tu. Madakatari utaibiwa sana.

Walimu wako poa. ila wanataka uwe nao kila saa maana wao ratiba haiwabani sana. kila sekunde call, text etc.

Hao wa accounting sina uzoefu nao.

Habari za sasa wana jukwaa..



naombeni kufahamu wanawake wenye hizi profession wana tabia gani katika ndoa zao ama wanapokuwa uchumbani mwao..

1. wanawake wanasheria..

2. wanawake wenye profession za mambo ya fedha kama finance management na accounting..

3. wanawake madaktari na waalimu..

je, hawa wanatumiaje proffession zao katika cheating wakuu???

jamani tuangazieni na wanawake wengine katika profession mbali mbali..!

je kazi anayofanya mwanamke inaweza kumbadilisha na kuwa na tabia fulani???

naombeni maoni yenu wadau!
 
Umesahau wana jeshi tabia zao ni mbaya sana yani ukiwa da demu jua mpo zaidi ya 7 maana wanajionaga wamepinda alafu baadae ndo wanakujaga kujutia
 
Excel umeyakanyaga, una mwanasheria? Atakufunga mi nakwambia

hahahaa! mkuu sikuoni siku hizi.. actually, nina mpango wa kuoa mwalimu, nadhani atanisaidia kukuza familia katika malezi bora///
 
Ngoja niendelee kuona maoni ya wadau. Wangu Engineer mwenzangu. Naona hayumo kwenye list hapo.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mi nadhani mwanamke hata uwe na professional gani ukifika kwako unatakiwa uwe mke.profesional yako ni huko kazini utamshirikisha mwenzako pale au yale umbayo unadhani ni ya muhimu yeye kujua

Kazi isibadili tabia yako

Hiyo ni by default, lakini mara nyingi mambo hayapo hivyo, wengi wanajisikia kutoka na career zao.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
walimu mara nyingi ni waadilifu sanaa
huwa wana upendo wa dhati na wanaridhika na hawana tamaa za ajabu ajabu

Wewe Miss neddy hao walimu unaowaongelea ni wa level gani hasa?????
Maana mwalimu wa shule ya msingi anatofautiana na yule wa sekondari pamoja na chuo.
Walimu wa sasa hivi wamepinda kupita maelezo.
 
Excel, ukioa mwanasheria hata tendo la ndoa inabidi umuombe kwa adabu kwa sababu ukimlazimisha, atasema umembaka na atakufunga.
 
za wanaume nakumbuka sikujibiwaga hili swali

Maengineer wapo powa sana.wapo real, sio mabitozi, hawajisikii kwa kifupi wapo focused zaidi na future. Mume umepata mamaaa.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Eeeh.kama n mhasbu.weeeee!! Jiandae kuhudumia family mwa - mwi.... n full ubahr nakuambia
 
Back
Top Bottom