tinna cute
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 4,630
- 2,315
Acha niwe msoma comment tu.
Hahahahaaaa wewe mwache csta bana wewe pambana na mwanasheria wako
mkuu, mimi niko single, sijaoa mpaka sasa labda baada ya miaka miwili mbele... hapa nafanya tu primary analysis kwa sababu nina mpango wa kuja kuoa mwanamke mwenye profession yake ili angalau tuweze kuongea lugha inayofanana...
ni kama maoni ya katiba tu mkuu yanavyotafutwa!
asante..
ushawahi kuwa mwalimu/kuwa na ndugu mwalimu??
lakini shans, huoni kwamba hiyo itakuwa ni opportunity kwako kumuonesha upendo na kumshauri mambo mbali mbali ili angalau ajisikie furaha kuwa nawe kama malikia wake?
yangekuwa yakwake tu si afadhali anakupa na ya watu wengine mi yananihusu niniSasa, miss shansarie...unategemea matatizo yake amwambie nani? Ni kweli, it's boring kila siku mtu anakuja na matatizo ya kazini kwake, ila wewe ndo mtu wake wa karibu, umpe moyo na nguvu za kufanya kazi katika mazingira aliyonayo.
At the end of the day, nature supercedes it all.
At the end of the day it is just me Karucee out of my court attire preparing meals for my husband when I can. My profession does not determine who I am, but my nature does.
Hahahah huo ndio ukweli mkuu watakusumbua sana hususan LAWYERS tena upate ADVOCATE utalia sana kwa scabu atakudominate kwa kila kitu tena wanasheria kwakureason ndio usiseme
Hakuna mwanasheria tena WAKILI atakae kubali kuolewa na mtu wa EDUCATION
shemeji yako miss neddy ni pilot by profession!
nategemea apotelee angani muda si mrefu! nna huzuni kweli ndugu yangu!
Wanasheria...Wanakua wanadadisi na Mara nyingi wanaamini wanajua zaidi kuliko wewe...wanaweza wakawa sio wadanganyifu kwa vile wana elements za kutunza haki ya Mtu...ila akikugundua unacheza mechi za nje umekwisha...na kikawaida hawajui kusamehe...kwa sababu malipo ya kosa ni kwenda jela au kuuliwa.....umepona utapigwa fain.
Watu wa Fainance....wanakua kikawaida ni watu makini katika kutunza fedha...tabia inayopelekea kutaka kujua kila pesa inayopatikana nyumbani...hichi ndo chanzo cha matatizo ya kuoa mtu wa fedha...kwa sababu wanaume wengi hua hatupendi kudisclose issue zetu za kufedha....Tatizo jengine ni kwamba baadhi yao huamini pesa kua ni kama tools...kitu kinachopelekea kua na matumizi makubwa...ukishindwa kulikabili inapelekea kumfanya aangalie mtu aliekua nazo...Kwa hio kuna mixture of feelings kuhusu watu wa Finance....
Madaktari ni watu wasafi nyumbani...ila ni watu wenye roho ngumu...kama unavyojua kuchezea maiti kwa madokta ni kama kuchezea dagaa au kupasua kuku tu... Baadhi yao hua ni watu Wacha Mungu..kutokana na kuujua Utukufu wa Allah katika kuumba na kujua Khtama ya Binadamu....hii hupelekea kua watu waaminifu na kuwa watulivyu kwenye ndoa....ikitokezea Dokta kua mtu matata ni kazi sana kwani kwao wao hakuna lisilowezekana katika maisha yao...hata kuua ikibidi kwa dokta sio issue...
Kiufupi maisha hayana fomula la msingi ukitaka kuchagua Mchumba Fata dini yake. kama Mtume wetu sisi waislam alivyotutaka....
Professionals sio criteria sahihi sana kuchagua mke...ingawaje Nakutahadharisha sana kuoa Mwanasheria...ni ngumu kuwahandle watu hawa
Ha!ha!ha!ha!ha!haa.. Yatamkuta ya Air Malaysia