Wanawake wenye profession hizi wana tabia gani mapenzini?

Wanawake wenye profession hizi wana tabia gani mapenzini?

Hahahah huo ndio ukweli mkuu watakusumbua sana hususan LAWYERS tena upate ADVOCATE utalia sana kwa scabu atakudominate kwa kila kitu tena wanasheria kwakureason ndio usiseme

Kwahiyo unataka awe ndio mzee kwa kila unachosema hata kama hakina maana au hakijengi?
 
Kutumia sifa ya wenye vipaji maalum


Sent from my iPad using JamiiForums mobile app
ahaa!! kwa hiyo wewe ni mmoja kati ya wale wanaokubali serikali 3 ama nne?
 
I like those behaviors..

endapo mke wangu akija kuwa na tabia shupavu, asipobadilika kiukweli, hatochukua semista mbili ndani mwangu...

lazima adiscontinue ndoa tu!!

Hahahaaaa umenichekesha..kweli ndoa ni taasisi mpaka kuna disco!
 
with my proffession when am at home habari ya kazi inaishia huko huko nyumbani kwanza napiga khanga au tenge, kisha kazi za home zinaanza like kukagua kila nilichoacha maagizo yake yametimia pamoja na usafi, chakula, nguo kisha ni kuoga na kumsubiri mume chumbani. Hapo nikiwa chumbani inategemea kama siku nna nyege jamaa anafaidije nakuwa kama kinda la ndege mdogo mdogo na mambo ya kiutundu utundu nampa nadai hadi wote tunakuwa flaaat hapo profession siiangalii hata.
Ila nikiwa nimeudhika hasa na yeye husbend ataipata na profession yangu na ataomba kukuche mapema, na ikija kwenye cheat heeee full busy na laptop namalizia report za bodi mpenz si unajua deadline na ofcn mambo kibao sijamaliza, huku unang'ong'a kumbe unaangalia zako movie tu huna lolote, au unakodoa macho jf tuu....
Mengine baadae japo si wote wanafanana kila mtu na lake!! hivo ni mie nnavofanyaga
Habari za sasa wana jukwaa..



naombeni kufahamu wanawake wenye hizi profession wana tabia gani katika ndoa zao ama wanapokuwa uchumbani mwao..

1. wanawake wanasheria..

2. wanawake wenye profession za mambo ya fedha kama finance management na accounting..

3. wanawake madaktari na waalimu..

je, hawa wanatumiaje proffession zao katika cheating wakuu???

jamani tuangazieni na wanawake wengine katika profession mbali mbali..!

je kazi anayofanya mwanamke inaweza kumbadilisha na kuwa na tabia fulani???

naombeni maoni yenu wadau!
 
with my proffession when am at home habari ya kazi inaishia huko huko nyumbani kwanza napiga khanga au tenge, kisha kazi za home zinaanza like kukagua kila nilichoacha maagizo yake yametimia pamoja na usafi, chakula, nguo kisha ni kuoga na kumsubiri mume chumbani. Hapo nikiwa chumbani inategemea kama siku nna nyege jamaa anafaidije nakuwa kama kinda la ndege mdogo mdogo na mambo ya kiutundu utundu nampa nadai hadi wote tunakuwa flaaat hapo profession siiangalii hata.
Ila nikiwa nimeudhika hasa na yeye husbend ataipata na profession yangu na ataomba kukuche mapema, na ikija kwenye cheat heeee full busy na laptop namalizia report za bodi mpenz si unajua deadline na ofcn mambo kibao sijamaliza, huku unang'ong'a kumbe unaangalia zako movie tu huna lolote, au unakodoa macho jf tuu....
Mengine baadae japo si wote wanafanana kila mtu na lake!! hivo ni mie nnavofanyaga

nimekupenda bure mkunde! hebu ninong'oneze profession yako mamii!
 
Hahahaaaa umenichekesha..kweli ndoa ni taasisi mpaka kuna disco!

kulaleki, tena ikiwezekana nampa tekniko discontinue! ndani ya semista moja tu!
 
Jiulize kwa nini mawaziri rais wanaoa waalimu.Kwa Sababu lawyers and Dr have ego .Teachers ni watu humble na hawana makuu .its better to have compassion than ego .My hubby is a Dr huwezi kaa with in 5 minutes without kujua wapi amesoma and all that .if you choose compassion success will follow you.Lawyers ,Dr ,politicians they chase success mpaka basi .mwalimu ni mtu aliyetosheka na Maisha yake .
so you dont chase success?
 
:gossip::gossip:
hmm! na hili tabasam! si ntakufa kwa hisia kali mie!
619-06670242em-Close-up-of-African-American-woman-s-smile.jpg

lols!
 
Mwanamke yeyote ukimjali, kumtunza na kumthamini atakupa hadi vya chini ya sanduku. Lakini ukimburuza kama gunia atakutafutia mume mwenza tu
 
mhhh usikariri mwaya wee...kuna engineers nchi hii wana mkwanja MREFUUUUUUU...hehhe,if ur a wife there ur lucky..mana projects zao huwa ni za hela kubwa kubwa tu,miliions to billions,don't underestimate them

Unawaza hela tu. Mxxxiuuuuuuu!!
 
afadhali wafanyabiashara hatumo..hili linawahusu zaidi waajiriwa Excel?
 
Back
Top Bottom