Wanawake wenye profession hizi wana tabia gani mapenzini?

Wanawake wenye profession hizi wana tabia gani mapenzini?

Jaman wanasheria niwazuri sana mm wakwangu in zaidi ya nesi na mwalimu kweli lawyers they are sweet and smart
 
Hao wanasheria huwa tunachapa na kutembea tu, maana wanakuwaga much know sana hivyo ukikaa nae sana atakukera tu. Madakatari utaibiwa sana.

Walimu wako poa. ila wanataka uwe nao kila saa maana wao ratiba haiwabani sana. kila sekunde call, text etc.

Hao wa accounting sina uzoefu nao.

kwa kwel manesi huw ni balaa coz utadanganyw kla cku akjickia kufany yake, utackiaa " ooh hani kwel leo nina shift ya ucku maan wagonjw ni weng"
kumbe ANAPELEKA HUDUMA Sehem afu unaachiw watot!
 
proffesional na tabia sidhani kama vina uhusiano wowote thou kuna malimbukeni ambao vipesa vikiwakubali ndio tabia zinabadilika
 
Maengineer wapo powa sana.wapo real, sio mabitozi, hawajisikii kwa kifupi wapo focused zaidi na future. Mume umepata mamaaa.


Sent from my iPhone using JamiiForums

huhuhuhuuuuui happy me kama kweli
 
walimu mara nyingi ni waadilifu sanaa
huwa wana upendo wa dhati na wanaridhika na hawana tamaa za ajabu ajabu

Iddi munjema...Miss Neddy eti umesemaje..ka sikuelewi vile au humaanishi unachokisema hawa ndo mwendo kasi kwa taarifa yako ,pia madaktari na askari kwani wana chance ya kucheat wapo shift kazini kumbe mwelekeo ni kule kunako 6x6!
Ila mleta mada nae kaleta proffession chache sana cjaona wale wa taaluma yangu kwenye andiko lake.
 
Back
Top Bottom