Mafiningo
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 4,434
- 4,671
Mkeo unamchorea njia za kupita na hakikisha anapita humo ajue au asijue, lakini itasecure ndoa yako na jamii kwa ujumla.Kifupi usiruhusu demokrasia na mwanamke wako.
Mkeo unamchorea njia za kupita na hakikisha anapita humo ajue au asijue, lakini itasecure ndoa yako na jamii kwa ujumla.Kifupi usiruhusu demokrasia na mwanamke wako.
Ndio hivyo mkuu tuwapende na kuwajali lakiini demokrasia hapana.Mkeo unamchorea njia za kupita na hakikisha anapita humo ajue au asijue, lakini itasecure ndoa yako na jamii kwa ujumla.
"Ngoja nikamwambie mke wangu kama atakubali" that statementMtu kusema akaongee na mkewe kwa jambo linalohitaji maamuzi makubwa sio kosa mimi naona. Kumbuka maamuzi yoyote unayofanya yeye yanamgusa moja kwa moja kwa hiyo hakuna ubaya akishirikishwa....anaweza kutoa mchango wa kuboresha idea au akawa na mpango mzuri zaidi.
Mwanaume kuwa kichwa haimfanyi mwanamke kuwa useless kabisa
Kha kweliHahahahah hajiamini huyo 😂😂😂 ila laiti angeijua nguvu ya kuwa mwanaume...You can almost do anything na mke atakusikiliza tu no matter what hata kama atanuna at times.😎
😍😍😍😍Mkeo unamchorea njia za kupita na hakikisha anapita humo ajue au asijue, lakini itasecure ndoa yako na jamii kwa ujumla.
Umeona mbali Bi Dada..! Lakini watakusikia?Hi guys,
Sijawasalimu siku nyingi wacha tu Leo niwasalimu,
Naomba tu nisichokwe, kuna vijitabia kwenye jamii wengine hatuwezi vifumbia macho, wahusika nawasema vizuri tu na wengine humu wenye vijitabia hivyo nawakumbusha tu aiseeh' waachane navyo maana vinaboaa..!!
Kuna hii tabia hasa naona hawa warembo wa sahii ndiyo wamepamba nayo moto khatari, hivi huu ujasiri wadada wa kuwajibu ovyo waume ama wapenzi wenu mbele za watu mnatoa wapi..!?
Good Lord..! Vidada vya sikuhizi havina kheshima jamani mpaka kero.! Yaani unakuwa pahala mpaka pa kuweka uso wako unakosa, kama ndiyo upo ugenini unatamani kuaga.!
Yaani huwa naishiwa pozi mpaka wakati mwingine nalazimika kutoka nje maana najiskia vibaya sana, nawaza tu Mimi nahisi vibaya hivi, je huyu nwanaume wa watu maskiini! Walaqhi' you guys are passing through hell uwiiih'.. Naanza kupunguza kuwahukumu kuna mambo sisi wanawake ndiyo chanzo, vile nisivyopenda mtu anidharau halafu naona mwanaume, Baba, Kichwa cha familia anadhalilishwa kiasi kile mbele za watu, yaani mwanamke hajali kuna watoto ama mgeni, anaropoka tu neno lolote linalomjia kinywani, wanawake wenye hii tabia kuni yenu inachochewa, mlivyoambiwa 'watiini waume zenu' hamkuambiwa bahati mbaya..!
Hivi ni kizazi gani kinatengenezwa sahii.? Ni ukosefu wa malezi.? Ni hizi pesa wanawake wanazomiliki? Ni wanaume kuna mahala mnafeli? Ama ni gani.? Hii kiburi na jeuri wako nayo wanawake wa sahii ni ya dunia nyingine, wametoka nayo wapi, maana khali ndiyo inazidi kuwa mbaya, yaani inafika pahala you can't differentiate the two, hujui here who issa husband, who issa wife maana wote wamemea pembe.!
Naomba niachie hapa sintomaliza, Wanaume ni lazima mfanye jambo haqyamama, Ile 'Manhood' kwenye jamii yetu inaenda kutoweka kwa kasi sana, Ladies punguzeni uzungu jamani, this is too much.!!
Wewe Ni TATIZOUnapenda kulaumu wanawake wewe sijui unataka ku impress wanaume humu as if wewe ni mwanaume, I always prefer a solution taker kuliko a blame person, coz hapa JF mada za kusema wanawake ndio hupata comments nyingi.
Kha kweli
Mimi nadhani hii sio issue ya ku impress watu, hili ni tatizo kubwa na linaloendelea kuweka mizizi kwenye jamii. Nia ya kulijadili ni kutaka kujua shida ni nini, wapi tunakosea na nini kifanyike.Unapenda kulaumu wanawake wewe sijui unataka ku impress wanaume humu as if wewe ni mwanaume, I always prefer a solution taker kuliko a blame person, coz hapa JF mada za kusema wanawake ndio hupata comments nyingi.
Maskini. Duniani hapa kuna wanaume wanateseka!Hakuna kitu sipendi kama majibu na kauli za hovyo, nakumbuka kuna siku nikiwa dukani alikuja dada mmoja na mmewe yule dada kwa kauli zake inaonesha tu kamzid mumewe kama sio kipato basi ndio kashampanda kichwani. Kaka wa watu mpole(sijui alikua amenywea kutokana na hali ile ya kufokewa na mkewe). Ivi kweli mwanamke unapata wap nguvu ya kuropoka maneno ya hovyo kwa mumeo/baba watoto wako.
Alimwambia mumewe lione linachagua chagua nguo kama chizi fanya haraka unanichelewesha nna mambo mengi mjini hapa sijui nilitokea wapi nikaolewa na wewe mzubao chagua haraka kama hutaki hela yangu ina matumizi mengi. Ilibidi yule kaka aache kuchagua nguo na wakaondoka. Nilimuonea huruma sana yule jamaa
Basi tu watu wanaopenda wengine waonekane wabaya wao wema huwa naona something is wrong somewhere, na hapa JF imekuwa trend's kulaumu zaidi ya kutoa solutions, pia ukisema shida nini sidhani matatizo mengine unatumia tu common sense, hafu ujue duniani hamna jipya zaidi ya ujio wa social network na watu kuchaganyika wa makabila tofauti tofauti ndio unaona Kuna tatizo, kumbe nothing new at all, yote ya zamani tuMimi nadhani hii sio issue ya ku impress watu, hili ni tatizo kubwa na linaloendelea kuweka mizizi kwenye jamii. Nia ya kulijadili ni kutaka kujua shida ni nini, wapi tunakosea na nini kifanyike.
Haya mambo magumu sana, japo sio mara zote lakini matatizo mengi yanadababishwa na sie wanaume. Msiniulize maswali mengi ila binafsi naamini hivyo. Wanaume ndio tumewafikisha hapo hao baadhi ya wanawake.
Wewe tu akili yako ilivokutima vile nimeandika usichokipenda basi 50/50 wakati Mimi sijawaza hyo 50/50 jifunzeni kutofautiana mitazamo mtajaenda sehemu mzalilike bure, na hyo thinking yako imesababishwa na binary system ya malezi tu you don't wanna think outside za box imagine wagunduzi wa vitu mbalimbali duniani wasingejiomgeza na kufikiria tofauti na jamii dunia ingefika hapa ilipo kweli?Wewe Ni TATIZO
Unaiabudu Sanaa 50/50
Jiwe gizani Mzee BabaKwanini Wewe una mkalipia Bwanako/Mumeo as if unamuendesha ??
Kama humkalipii kwanini umechukia hiyo Message, imekuuma eeeh ?
Vita ya kuandamwa na Ke wenzio haiwezi kukwepeka Mama, cha muhimu potezea wala usibishane nao maana hapo bado akina Cariha, Rebecca, n.k hawajawasili waliojaa vinasaba vya "full feminism"Nimeandika pale 'wanawake wenye tabia hiyo'..!
Sweetheart please, I'm not so good in this kind of convos..!!
Huyo kaka naye alimuacha tu??Hakuna kitu sipendi kama majibu na kauli za hovyo, nakumbuka kuna siku nikiwa dukani alikuja dada mmoja na mmewe yule dada kwa kauli zake inaonesha tu kamzid mumewe kama sio kipato basi ndio kashampanda kichwani. Kaka wa watu mpole(sijui alikua amenywea kutokana na hali ile ya kufokewa na mkewe). Ivi kweli mwanamke unapata wap nguvu ya kuropoka maneno ya hovyo kwa mumeo/baba watoto wako.
Alimwambia mumewe lione linachagua chagua nguo kama chizi fanya haraka unanichelewesha nna mambo mengi mjini hapa sijui nilitokea wapi nikaolewa na wewe mzubao chagua haraka kama hutaki hela yangu ina matumizi mengi. Ilibidi yule kaka aache kuchagua nguo na wakaondoka. Nilimuonea huruma sana yule jamaa
Usinyamaze bibiye, we njoo tu tuicheze ngoma pa1 ili tuujue utamu wake vizuri wala si kuhadithiwa mlibwende wangu.Niliwahi kuongea na mdada mmoja kuhusu hii tabia akasema 'ingia ndoani ndio utaelewa' nikaishia kunyamaza. I