Interlacustrine E
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 3,396
- 6,023
"Nawakumbusha Wanaume wote msikubali kujipa unyonge mbele ya mtu aliyepewa kichwa kimoja tu, wakati wewe Mwanaume umepewa vichwa viwili, kimoja cha kufikiria na kingine cha kutia akili"Uwe na pesa,usiwe na pesa Mwanaume atabaki kua Mwanaume tu!! Mimi hata mke wangu ashinde biko bado Mimi nitakua Mwanaume tu,pesa yake haibadilishi uwanaume wangu hata siku moja!! Nawakumbusha Wanaume wote msikubali kujipa unyonge mbele ya mtu aliyepewa kichwa kimoja tu,wakati wwe Mwanaume umepewa vichwa viwili, kimoja cha kufikiria na kingine cha kutia akili!!
Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app