Wanawake, Wanawake, Wanawake! Nimewaita mara 3

Wanawake, Wanawake, Wanawake! Nimewaita mara 3

Siku hizi wanawake wamekuwa niwatu wanafanya vibiashara vyenye kuwapa 10000-50000 kwa siku sasa hiii huwapa Sana confidence wanawake nakuoa kuwa nawao wanaweza kuwa baba ndo maaan sikuiz masingle. Maza wanazid kuongezeka hapa mjini na wengine wanpenda kuwa masingle maza yaaan.

Pia wanaume wengi hapa mjin wamekuja kuwa wavivu mnooo kuliko wanawake so unakuta mwanamke anamvisha anamnunulia pombe na mda mwingine mwanamke ndo anasaidia familia ya mwanaume.

Hiii ni mbaya sana mwanamke kumpita mwanaume kipato niheriii mwanamke akupite umri ila sio kipato bana hawa wanawak hawa wakiwa juuu kifedha.

Bro hata huongeeee nn hakuna kitu atakuelewa . Hiii ilinikuta kipind nipo marioo sitak hela ila nataka mwanamke mwenye hela nilikuwa napigiwa kelele bar daah nakuitwa kaka kuku yaaan
Uwe na pesa,usiwe na pesa Mwanaume atabaki kua Mwanaume tu!! Mimi hata mke wangu ashinde biko bado Mimi nitakua Mwanaume tu,pesa yake haibadilishi uwanaume wangu hata siku moja!! Nawakumbusha Wanaume wote msikubali kujipa unyonge mbele ya mtu aliyepewa kichwa kimoja tu,wakati wwe Mwanaume umepewa vichwa viwili, kimoja cha kufikiria na kingine cha kutia akili!!
 
Hi guys,
Sijawasalimu siku nyingi wacha tu Leo niwasalimu,

Naomba tu nisichokwe, kuna vijitabia kwenye jamii wengine hatuwezi vifumbia macho, wahusika nawasema vizuri tu na wengine humu wenye vijitabia hivyo nawakumbusha tu aiseeh' waachane navyo maana vinaboaa..!!

Kuna hii tabia hasa naona hawa warembo wa sahii ndiyo wamepamba nayo moto khatari, hivi huu ujasiri wadada wa kuwajibu ovyo waume ama wapenzi wenu mbele za watu mnatoa wapi..!?
Good Lord..! Vidada vya sikuhizi havina kheshima jamani mpaka kero.! Yaani unakuwa pahala mpaka pa kuweka uso wako unakosa, kama ndiyo upo ugenini unatamani kuaga.!

Yaani huwa naishiwa pozi mpaka wakati mwingine nalazimika kutoka nje maana najiskia vibaya sana, nawaza tu Mimi nahisi vibaya hivi, je huyu nwanaume wa watu maskiini! Walaqhi' you guys are passing through hell uwiiih'.. Naanza kupunguza kuwahukumu kuna mambo sisi wanawake ndiyo chanzo, vile nisivyopenda mtu anidharau halafu naona mwanaume, Baba, Kichwa cha familia anadhalilishwa kiasi kile mbele za watu, yaani mwanamke hajali kuna watoto ama mgeni, anaropoka tu neno lolote linalomjia kinywani, wanawake wenye hii tabia kuni yenu inachochewa, mlivyoambiwa 'watiini waume zenu' hamkuambiwa bahati mbaya..!

Hivi ni kizazi gani kinatengenezwa sahii.? Ni ukosefu wa malezi.? Ni hizi pesa wanawake wanazomiliki? Ni wanaume kuna mahala mnafeli? Ama ni gani.? Hii kiburi na jeuri wako nayo wanawake wa sahii ni ya dunia nyingine, wametoka nayo wapi, maana khali ndiyo inazidi kuwa mbaya, yaani inafika pahala you can't differentiate the two, hujui here who issa husband, who issa wife maana wote wamemea pembe.!

Naomba niachie hapa sintomaliza, Wanaume ni lazima mfanye jambo haqyamama, Ile 'Manhood' kwenye jamii yetu inaenda kutoweka kwa kasi sana, Ladies punguzeni uzungu jamani, this is too much.!!
Ile 'Manhood' kwenye jamii yetu inaenda kutoweka kwa kasi sana, Ladies punguzeni uzungu jamani, this is too much.!!


MANHOOD kutoweka kwenye jamii" nchi za ulaya zimeshaathirika sana na hali hii,
- wanaume wengi hawahitaji tena ndoa.
- Baadhi ya wanawake nao baada ya kuona ndoa adimu hata boyfriend tu hawataki.
Hii imepelekea hawataki hata kuzaa.
Upweke unazidi kuzikumba hizi nchi.

IPO SIRI KUBWA KWENYE WAZUNGU KUPENDA MBWA HATA KULALA NAO VITANDANI MWAO.

Hivi sasa baadhi ya nchi za ulaya birth rate imepungua sana. Hivyo nguvu kazi pia inapungua pia.

Na sisi tutaelekea huko ikiwa hatutaidhibiti hii hali mapema, na sisi kwetu itatuathiri zaidi kwani mataifa yetu bado ni masikini sana.
 
Kwenye kuitafuta amani wote mpo responsible. Lazma muhakikishe all stressings are out! Vitu ambavyo sio vya lazima muachane navyo concetrate on what works kwa wakati huo na kushirikiana. Mambo ya kuvimbiana ndio yanaua amani katika ndoa nyingi. Ukifanyia jambo zuri mpenzi wako humfanyii favor bali unatekeleza wajibu wako kama patner. First approach towards a happy relationship.
Jana ulisema mwanamke ndio yupo responsible kulinda ndoa, hatakiwi kukosea na mumewe akikosea ni lazima amsamehe
 
Hakunaga haki sawa. Hiyo ni mbinu inayotumika na dunia kuhubiriwa kuharibu jamii
Na kibaya zaidi siku hizi hata wanaume wanadai haki sawa
Haki sawa haitakaa iwepo, we have dix and thats what make the major differences. Mwanamume kuwa imara pia it takes malezi proper. If boys are raised to be men huwezi kuta magoigoi.

Sasa nyie endeleeni kuwapangia akina Davis ratiba za kuosha vyombo na kukaa kaa jikoni halafu muone balaa lake. Treat your boys waweze ku behave like men huko mbeleni.
 
Uwe na pesa,usiwe na pesa Mwanaume atabaki kua Mwanaume tu!! Mimi hata mke wangu ashinde biko bado Mimi nitakua Mwanaume tu,pesa yake haibadilishi uwanaume wangu hata siku moja!! Nawakumbusha Wanaume wote msikubali kujipa unyonge mbele ya mtu aliyepewa kichwa kimoja tu,wakati wwe Mwanaume umepewa vichwa viwili, kimoja cha kufikiria na kingine cha kutia akili!!
Haya ndio maneno
Wanaume msiuze wala kuisaliti nafasi yenu mliyopewa na Mungu. Kumpa mwanamke nafasi yako kwenye nyumba ni sawa na kumchukua mtu ambae hajawahi endesha gari na kumpa bus la abaria awasafirishe kwenda mikoani
 
Mungu aingilie kati tu aisee! Hawa viumbe ni hatari.

Hatari mno ukizembea mahali kidogo kwisha habari yako. Kuna baadhi ya watu hawajui mambo ya kuyafanya/kutofanya on public na mengine ya kutofanya kabisa. Sasa wanawake wapumbavu hufanya yasiopaswa kufanywa tena wanayafanya hadharani kabisa pumbavu zao.

Kuna siku nilikuwa na mpenzi wangu mahali tumekutana tukawa tunapata dinner(kabla tulikua tumepishana), tukiwa tunakula akaanza kuongea pale na jirani kuna watu wanasikia na nilijua hilo kwa kuwa hata sisi tulikuwa tunawasikia. Nilichokifanya kabla hajafika kwnye main point nikamkatisha nikamwambia hapa sio mahali pake kuyazungumza hayo, akutaka kunielewa akafosi kuendelea nikamwambia ishia hapo hapo hapa sio mahali pake au nikupe mic na spika ufanye matangazo? Akaanza kulalama oh mara upendi tuwe na amani nikamwambia naipenda amani sana ila sio mpaka kila aliepo hapa ajue kinachoendelea kati yetu, we are not trading our problems.

Sio kila kitu kinafanyika popote tu sio busara
 
Haki sawa haitakaa iwepo, we have dix and thats what make the major differences. Mwanamume kuwa imara pia it takes malezi proper. If boys are raised to be men huwezi kuta magoigoi.

Sasa nyie endeleeni kuwapangia akina Davis ratiba za kuosha vyombo na kukaa kaa jikoni halafu muone balaa lake. Treat your boys waweze ku behave like men huko mbeleni.

Davis anakusalimia uncle🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wanaume wengi wamekwama pale tulipoaamini silaha ya Mwanaume ni pesa! Na ndiyo maana Mwanaume akikutana na Mwanamke mwenye pesa eti anajiona Kama siyo Mwanaume tena! Huo ni Ujinga wa juu sana!!
Huwa nawaambia kila siku humu, utasikia tafuta pesa...mwanaume pesa. Nikiona mwanaume anaongea hivyo huwa namdharau sana, mwanaume mnajishusha sana thamani siku hizi...yaani mnataka kusema ninyi sio kitu hadi mbustiwe na pesa? Bure kabisa
 
Mwanamke mwenye dharau kwa mume maana yake anaenda kufundisha watoto wake wa kike tabia hio hio ya kudharau wanaume hata wakiwa wakubwa wataishia kuwa wanyanyasaji.

Wale 99.9% wamerithi tabia za mama yao kuna kipindi nilijenga ukaribu na mmoja aise nilikoma, hawapatani na ndugu wa baba hata mmoja.
 
Uwe na pesa,usiwe na pesa Mwanaume atabaki kua Mwanaume tu!! Mimi hata mke wangu ashinde biko bado Mimi nitakua Mwanaume tu,pesa yake haibadilishi uwanaume wangu hata siku moja!! Nawakumbusha Wanaume wote msikubali kujipa unyonge mbele ya mtu aliyepewa kichwa kimoja tu,wakati wwe Mwanaume umepewa vichwa viwili, kimoja cha kufikiria na kingine cha kutia akili!!
Tunatengeneza sheria za kutaka mwanamke afanane na mwanaume.
Tunapuuzia kujaribu kufikiria ni kwanini binadamu wa jinsi ya kike wanazaliwa wengi zaidi kuliko wa kiume.
Tunapenda kuiga kila idea za ulaya hata ambazo zimefeli.
 
Huwa nawaambia kila siku humu, utasikia tafuta pesa...mwanaume pesa. Nikiona mwanaume anaongea hivyo huwa namdharau sana, mwanaume mnajishusha sana thamani siku hizi...yaani mnataka kusema ninyi sio kitu hadi mbustiwe na pesa? Bure kabisa
Amini usiamini,, nguvu ya uchumi ya mwanaume ndiyo inayoenda kuleta heshima kwenye jamii.
Tafuta pesa mdogo wangu. Ukiwa hauna pesa utaambulia dharau nyingi kutoka kwenye jamii.
 
Back
Top Bottom