My Sons Legacy
JF-Expert Member
- Feb 4, 2019
- 3,603
- 11,883
Kwanini Wewe una mkalipia Bwanako/Mumeo as if unamuendesha ??Angalia PM
Ushapata mume tyr...
Hapo umemjumuisha na Mzazi wako wa like!?
Usirudie kusemea wote.. Tumia baadhi,,,,
BtN sielewi hao waropokaji wanaishi wapi? Au unazungimzia hao wa uswahilini a.k a vigodoro,, kila MTU anapata mwenza kulingana na alivo,,, wewe km ni wa vogodoro utapata vigodoro wenzio, saaasa ukiwa km jirani ukasikia wanaropokeana unatoka baluu kuja kupost huku,, wacha watu maisha hao yaendelee huwezi huo mtaa hama naenda sehemu zilizo staarabika...
Kama humkalipii kwanini umechukia hiyo Message, imekuuma eeeh ?


