Wanawake, Wanawake, Wanawake! Nimewaita mara 3

Wanawake, Wanawake, Wanawake! Nimewaita mara 3

Hawa wanawake wa kujibishana watu wanawapataga wapi? Yaani mimi mwanamke anyanyue mdomo wake kuropoka hata tukiwa wawili tu nitamharibu...na siku akiropoka mbele za watu atanitambua mimi ni mtu wa namna gani nitamharibu vibaya sana!!

Atapokea kipigo cha mbwa mwizi!! hao wanaume wanaofanyiwa hivo labda sio wanaume kamili!! Aiseeh Sijui mnanipata lakini najaribu kutengeneza uhalisia wa nitakachokifanya naona hamtanielewa.Ngoja niishie hapa
Hivi vinyimbo vya kipumbavu eti "mwanamke hapigwi bali hupigwa kwa kanga tu" huharibu sana vijana, makofi mawili ma3 humkumbusha Ke atambue haishi na Shost mwenziye.

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna kitu sipendi kama majibu na kauli za hovyo, nakumbuka kuna siku nikiwa dukani alikuja dada mmoja na mmewe yule dada kwa kauli zake inaonesha tu kamzid mumewe kama sio kipato basi ndio kashampanda kichwani. Kaka wa watu mpole(sijui alikua amenywea kutokana na hali ile ya kufokewa na mkewe). Ivi kweli mwanamke unapata wap nguvu ya kuropoka maneno ya hovyo kwa mumeo/baba watoto wako.
Alimwambia mumewe lione linachagua chagua nguo kama chizi fanya haraka unanichelewesha nna mambo mengi mjini hapa sijui nilitokea wapi nikaolewa na wewe mzubao chagua haraka kama hutaki hela yangu ina matumizi mengi. Ilibidi yule kaka aache kuchagua nguo na wakaondoka. Nilimuonea huruma sana yule jamaa
MARIOO huteseka sana, na mimi nasema acha waendelee kuumia sababu wamesahau wajibu wao na kuvaa wajibu ya kike kimahusiano.

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
 
Basi tu watu wanaopenda wengine waonekane wabaya wao wema huwa naona something is wrong somewhere, na hapa JF imekuwa trend's kulaumu zaidi ya kutoa solutions, pia ukisema shida nini sidhani matatizo mengine unatumia tu common sense, hafu ujue duniani hamna jipya zaidi ya ujio wa social network na watu kuchaganyika wa makabila tofauti tofauti ndio unaona Kuna tatizo, kumbe nothing new at all, yote ya zamani tu

Common sense jitahidi iongozwe na hofu ya Mungu kwani zipo common sense za kishetani zinazomuongoza mtu kufanya ya kishetani na akaona sawa tu na itokee upate mpambe ndio hapo anapokuja mwanamke mwenzenu anawakosoa mnavyotenda isivyopaswa mwanamke kumtendea hasa mume wake unaona anawafanya muonekane wabaya yeye aonekane mwema mwenzenu common sense yake inamuongoza kujua wajibu na nidhamu ya mwanamke mbele ya mwanaume publicly hata mkiwa mpo bee haimpress wanaume , bora mjengane wenyewe kwa wenyewe kupunguza kesi za kuletwa magunia ya mkaa majumbani.
 
Hi guys,
Sijawasalimu siku nyingi wacha tu Leo niwasalimu,

Naomba tu nisichokwe, kuna vijitabia kwenye jamii wengine hatuwezi vifumbia macho, wahusika nawasema vizuri tu na wengine humu wenye vijitabia hivyo nawakumbusha tu aiseeh' waachane navyo maana vinaboaa..!!

Kuna hii tabia hasa naona hawa warembo wa sahii ndiyo wamepamba nayo moto khatari, hivi huu ujasiri wadada wa kuwajibu ovyo waume ama wapenzi wenu mbele za watu mnatoa wapi..!?
Good Lord..! Vidada vya sikuhizi havina kheshima jamani mpaka kero.! Yaani unakuwa pahala mpaka pa kuweka uso wako unakosa, kama ndiyo upo ugenini unatamani kuaga.!

Yaani huwa naishiwa pozi mpaka wakati mwingine nalazimika kutoka nje maana najiskia vibaya sana, nawaza tu Mimi nahisi vibaya hivi, je huyu nwanaume wa watu maskiini! Walaqhi' you guys are passing through hell uwiiih'.. Naanza kupunguza kuwahukumu kuna mambo sisi wanawake ndiyo chanzo, vile nisivyopenda mtu anidharau halafu naona mwanaume, Baba, Kichwa cha familia anadhalilishwa kiasi kile mbele za watu, yaani mwanamke hajali kuna watoto ama mgeni, anaropoka tu neno lolote linalomjia kinywani, wanawake wenye hii tabia kuni yenu inachochewa, mlivyoambiwa 'watiini waume zenu' hamkuambiwa bahati mbaya..!

Hivi ni kizazi gani kinatengenezwa sahii.? Ni ukosefu wa malezi.? Ni hizi pesa wanawake wanazomiliki? Ni wanaume kuna mahala mnafeli? Ama ni gani.? Hii kiburi na jeuri wako nayo wanawake wa sahii ni ya dunia nyingine, wametoka nayo wapi, maana khali ndiyo inazidi kuwa mbaya, yaani inafika pahala you can't differentiate the two, hujui here who issa husband, who issa wife maana wote wamemea pembe.!

Naomba niachie hapa sintomaliza, Wanaume ni lazima mfanye jambo haqyamama, Ile 'Manhood' kwenye jamii yetu inaenda kutoweka kwa kasi sana, Ladies punguzeni uzungu jamani, this is too much.!!
Samahani kidogo bibie kabla sijaandika chochote, naona unaandika kwa lafudhi ya Kikenya . Hivi wewe ni Mkenya au unawaiga wa Kenya.

Narudi kwenye mada kidogo.

Haya ni matokeo usawa na kutaka kufanana kwa haki. Umagharibi huo na vitimbi vyake.

Hiyo ni matini, sherehe itakuja pale itakapo bidi.

Ahsante.
 
MARIOO huteseka sana, na mimi nasema acha waendelee kuumia sababu wamesahau wajibu wao na kuvaa wajibu ya kike kimahusiano.

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app

Mda mwingine hata sio umario, maisha ni kama gwaride nyuma geuka wa mwisho anakuwa wa kwanza. Kuna wengine wanapata fedha baada ya kuingia kwnye ndoa na wengine wanaporomoka kifedha humo humo ndani ya ndoa.
 
Nalipita huku na huku nikakutana na Mwanamke akiwambia wenzie,"yeye(mumewe) ni nani nimnyenyekee?"
Nikagundua ya kwamba Ujinga na Upumbavu hukaa kifuani kwa mwanamke ajiinuaye.
Je haijaandikwa wanawake watiiini waume zenu.?

Nikasonga mbele nikitafuta kufahamu zaidi nikamkuta Kijana shupavu na hodari akicheza na wana wa mkewe nyumbani,
Watoto na mke wamebagazwa kwa njaa na ufukara wa hali ya juu.

Akanifuata aning'ate sikio, akanena "kaka najua unanishangaa huyu mwanamke hajishughulishi kwa lolote!!, yeye hukaa nyumbani kusubiri kuletewa tu".

Nami nikamuuliza swali ikiwa ndoa yenu ni agano , Mungu baba wa mbiguni analijua, unadhani atazipitisha wapi baraka za kipato na Mavuno kuja kwa watokao viunoni mwenu?

Enyi wake kwa waume wa kizazi hiki,Jitahidini kila mmoja kwa uwezo wake, baraka za Mungu zipitie kwake, mkitegeana mnajifungia milango ya baraka.
Neno hili likawe baraka kwenu 'Amina!!
 
E bana huyu ni dada yangu mmoja ivi ndio ana tabia hizo. Aisee kampanda mumewe kichwani mpaka aibu tunaona sisi kaka zake. Sijui kamloga? Maana kuna vitu mwanaume mwenzio anaweza kuwa anafanyiwa we ukiangalia hasira zinakupanda vibaya sana!
Kuna siku tupo kwenye harusi watu kibao ndugu, jamaa na marafiki na huyo dada alikuwepo na mume wake. Yaani dada anadiriki kuwaambia watu "huyu ni mwanaume? We unaona kuna mwanaume hapa? Yaani wanaume wakiitwa na huyu atatoka?" Na maneno mengine kama hayo na jamaa anasikia..! Yule jamaa kusema kweli nilishindwa kuelewa ni nini hasa tatizo. Ila sema saa nyingine mwanaume ukiwa mpole sana halafu uwe huna hela aisee utapata tabu sana hapa duniani labda usiwe na mwanamke.
Ni UPUMBAVU Me kudhani hekima ni upole pekee akiwa na mahusiano na Ke, ndiyo yale huongea sauti ya 3 badala ya besi au kushindwa hata kumkalipia Ke akileta UJINGA kisa anaogopa kuachwa.

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
 
Kuna jamaa alkuwa anakula na jamaa zake wapo nje,mwenye mke akaomba maji,aise!!!,kile kibinti kiligoma kufata maji ndani kikamwambia sileti live mbele ya washkaj
 
Mwanaume ndani ya nyumba anahitaji heshma yake ili mambo yaweze kwenda. Kumdharau mwanaume tena mbele za watu inaweza kumuathiri kiasi kikubwa sana na kubadlisha kabisa mfumo wake wa maisha.
Mwanamke akishaanza kumjibu mwanaume kama hivyo hakuna tena mume na mke katika nyumba ila kuna mwanamke na mume
Wanaume msiruhusu hii kitu maana athari zake huwa haziishii kwenu, mama akiwa ndio mlezi namba moja wa jamii kwa hili anaharibu hadi kwa watoto na wajukuu ambao hawana adabu wala heshma
Huwa unanifurahisha mno unavyodadavua hoja zenye mantiki kimahusiano kihekima kama alivyo bibiye Namsund, ikwa una hekima hizi basi Mungu azidi kukulindia ndoa yako milele zote amina.

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
 
Ha
Haya mambo ndio yanasababisha watu tusiopenda ujinga tuonekane violent. Mwanamke asiyejua kutumia mdomo kwa hekima ni kama kaa la moto utosini mwa mume. Huondosha asili kabisa ya mwanaume kwa kumgeuza ndondocha.

Sie tusiokubali kukaliwa hugawa kichapo tu kuweka rekodi sawa.
Nimekupa like za kutosha hadi nimechoka mkuu maana unatembea mule mule inavyotakiwa Me tuwe kiuhalisia kama walivyokuwa Baba zetu wahenga, big up broo.

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
 
Hi guys,
Sijawasalimu siku nyingi wacha tu Leo niwasalimu,

Naomba tu nisichokwe, kuna vijitabia kwenye jamii wengine hatuwezi vifumbia macho, wahusika nawasema vizuri tu na wengine humu wenye vijitabia hivyo nawakumbusha tu aiseeh' waachane navyo maana vinaboaa..!!

Kuna hii tabia hasa naona hawa warembo wa sahii ndiyo wamepamba nayo moto khatari, hivi huu ujasiri wadada wa kuwajibu ovyo waume ama wapenzi wenu mbele za watu mnatoa wapi..!?
Good Lord..! Vidada vya sikuhizi havina kheshima jamani mpaka kero.! Yaani unakuwa pahala mpaka pa kuweka uso wako unakosa, kama ndiyo upo ugenini unatamani kuaga.!

Yaani huwa naishiwa pozi mpaka wakati mwingine nalazimika kutoka nje maana najiskia vibaya sana, nawaza tu Mimi nahisi vibaya hivi, je huyu nwanaume wa watu maskiini! Walaqhi' you guys are passing through hell uwiiih'.. Naanza kupunguza kuwahukumu kuna mambo sisi wanawake ndiyo chanzo, vile nisivyopenda mtu anidharau halafu naona mwanaume, Baba, Kichwa cha familia anadhalilishwa kiasi kile mbele za watu, yaani mwanamke hajali kuna watoto ama mgeni, anaropoka tu neno lolote linalomjia kinywani, wanawake wenye hii tabia kuni yenu inachochewa, mlivyoambiwa 'watiini waume zenu' hamkuambiwa bahati mbaya..!

Hivi ni kizazi gani kinatengenezwa sahii.? Ni ukosefu wa malezi.? Ni hizi pesa wanawake wanazomiliki? Ni wanaume kuna mahala mnafeli? Ama ni gani.? Hii kiburi na jeuri wako nayo wanawake wa sahii ni ya dunia nyingine, wametoka nayo wapi, maana khali ndiyo inazidi kuwa mbaya, yaani inafika pahala you can't differentiate the two, hujui here who issa husband, who issa wife maana wote wamemea pembe.!

Naomba niachie hapa sintomaliza, Wanaume ni lazima mfanye jambo haqyamama, Ile 'Manhood' kwenye jamii yetu inaenda kutoweka kwa kasi sana, Ladies punguzeni uzungu jamani, this is too much.!!
Baada ya miaka 30, tutaanza kuunda vyama vya kutetea wanaume! Believe me! Na hii nayo ni mifumo inayowekwa eti haki za wanawake!
 
E bana huyu ni dada yangu mmoja ivi ndio ana tabia hizo. Aisee kampanda mumewe kichwani mpaka aibu tunaona sisi kaka zake. Sijui kamloga? Maana kuna vitu mwanaume mwenzio anaweza kuwa anafanyiwa we ukiangalia hasira zinakupanda vibaya sana!
Kuna siku tupo kwenye harusi watu kibao ndugu, jamaa na marafiki na huyo dada alikuwepo na mume wake. Yaani dada anadiriki kuwaambia watu "huyu ni mwanaume? We unaona kuna mwanaume hapa? Yaani wanaume wakiitwa na huyu atatoka?" Na maneno mengine kama hayo na jamaa anasikia..! Yule jamaa kusema kweli nilishindwa kuelewa ni nini hasa tatizo. Ila sema saa nyingine mwanaume ukiwa mpole sana halafu uwe huna hela aisee utapata tabu sana hapa duniani labda usiwe na mwanamke.
Mwanamke anasema huyo sio mwanaume inakuaje wanaishi kama mume na mke
Wanaume vaeni viatu vyenu msikubali wanawake kuwadharau. Hili ni kosa kubwa sana
 
Back
Top Bottom