Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,152
- 190,689
Bebe im going to put you on the right spot whenever you need to. Pesa ni jambo moja tu, ishu ni msimamo maana ukikosa msimamo hata ukiwa na pesa zako bado utanyanyasika.Huwa nawaambia kila siku humu, utasikia tafuta pesa...mwanaume pesa. Nikiona mwanaume anaongea hivyo huwa namdharau sana, mwanaume mnajishusha sana thamani siku hizi...yaani mnataka kusema ninyi sio kitu hadi mbustiwe na pesa? Bure kabisa